mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
wadau polen na matatzo ya hapa na pale personal,family au official..ndo maisha!
kuna mtu apa kapata kazi kwenye taasisi ya serikali mshahara kias cha 1,102,000 gross anahitaji kujua baada ya makato yote atabaki na net kias gani...nijuzeni
pia anafanya kazi sekta binafs kwa mshahara wa 1,396,000 gross anajishauri aende huko serikalini au abaki...nimejaribu kumshaur aende serikalini bado anajishauri..hajaamua..nipeni mawazo yenu nitamprintia..
kuna mtu apa kapata kazi kwenye taasisi ya serikali mshahara kias cha 1,102,000 gross anahitaji kujua baada ya makato yote atabaki na net kias gani...nijuzeni
pia anafanya kazi sekta binafs kwa mshahara wa 1,396,000 gross anajishauri aende huko serikalini au abaki...nimejaribu kumshaur aende serikalini bado anajishauri..hajaamua..nipeni mawazo yenu nitamprintia..