nisaidieni kupata net income apa

nisaidieni kupata net income apa

mkonowapaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
1,492
Reaction score
768
wadau polen na matatzo ya hapa na pale personal,family au official..ndo maisha!

kuna mtu apa kapata kazi kwenye taasisi ya serikali mshahara kias cha 1,102,000 gross anahitaji kujua baada ya makato yote atabaki na net kias gani...nijuzeni

pia anafanya kazi sekta binafs kwa mshahara wa 1,396,000 gross anajishauri aende huko serikalini au abaki...nimejaribu kumshaur aende serikalini bado anajishauri..hajaamua..nipeni mawazo yenu nitamprintia..
 
toa 10% social security. pia toa kodi - PAYE calculator check kwenye website ya TRA
 
Kuna deduction kama hizi
PAYE % 15 - 30
NHIF or Medex ama nyingine Inategemea
NSSF/LAPF/PPF 10%


Ila mshauri aende serikalini kuna security ya kazi na safari kibao, shule na mambo mengi.

Wafanyakazi wa serikali hatuishi kwa mishahara
 
Gross TShs 1,102,000
Social Security (110,200)
Taxable 991,800
Tax payable (991,800 -720,000)x30% + 112,500= 194,040
Net Pay 1,102,000 - 110,200 - 194,040 =797,760 kabla ya makato ya bima ya afya
 
wadau polen na matatzo ya hapa na pale personal,family au official..ndo maisha!

kuna mtu apa kapata kazi kwenye taasisi ya serikali mshahara kias cha 1,102,000 gross anahitaji kujua baada ya makato yote atabaki na net kias gani...nijuzeni

pia anafanya kazi sekta binafs kwa mshahara wa 1,396,000 gross anajishauri aende huko serikalini au abaki...nimejaribu kumshaur aende serikalini bado anajishauri..hajaamua..nipeni mawazo yenu nitamprintia..

Mimi sijui Calculation za Serikalini kwasababu kuna jamaa yangu tulikuwa tunafanya naye sector binafsi alikuwa anapata Gross ya 1,230,200 baadaye akapata kazi Serikalini tena Wizara ya Fedha. Mshahara wake ni Gross 438,000 lakini anadai kutokana na mshahara huo ndiyo uliyomuwezesha kujenga nyumba na magari kadhaa. Hivyo nikipata namna wanavyo calculate nitakujuza.
 
wadau polen na matatzo ya hapa na pale personal,family au official..ndo maisha!

kuna mtu apa kapata kazi kwenye taasisi ya serikali mshahara kias cha 1,102,000 gross anahitaji kujua baada ya makato yote atabaki na net kias gani...nijuzeni

pia anafanya kazi sekta binafs kwa mshahara wa 1,396,000 gross anajishauri aende huko serikalini au abaki...nimejaribu kumshaur aende serikalini bado anajishauri..hajaamua..nipeni mawazo yenu nitamprintia..

Kwa gross ya 1,102,000/=, itakua:
Gross 1,102,000
PPF/NSSF 110,200
Tax 194,040
Net Pay 797,760

Kwa Gross ya 1,396,000, itakua:
Gross 1,396,000
PPF/NSSF 139,600
Tax 273,420
Net Pay 982,980

Nafikiri umenisoma!?
 
akapata kazi Serikalini tena Wizara ya Fedha. Mshahara wake ni Gross 438,000 lakini anadai kutokana na mshahara huo ndiyo
uliyomuwezesha kujenga nyumba. na magari kadhaa.
Kama alikwambia ni mshahara pekee aliuwa anakudanya
 
Mimi sijui Calculation za Serikalini kwasababu kuna jamaa yangu tulikuwa tunafanya naye sector binafsi alikuwa anapata Gross ya 1,230,200 baadaye akapata kazi Serikalini tena Wizara ya Fedha. Mshahara wake ni Gross 438,000 lakini anadai kutokana na mshahara huo ndiyo uliyomuwezesha kujenga nyumba na magari kadhaa. Hivyo nikipata namna wanavyo calculate nitakujuza.

hao ndo wezi wadogowadogo tunaowasema wanaila serikali ya JK.
ukienda serikalini kwa kigezo cha safari,posho n.k huna tofauti na akina RA sema unakuwa hujapata pa kuanzia.
ni mbaya kutamani ufisadi.
 
ulivyomshauri kuwa aende serikalini ulimpa sababu za ushauri wako? au kuna ushauri ulimpa unaficha kusema hapa jamvini?
 
BASIC SALARY = 771,400.00
HOUSING ALLOWANCE = 115,710.00
OTHER ALLOWANCES = 214,890.00

GROSS PAY = 1,102,000.00

LESS: NSSF = 110,200.00
HOUSING ALLOW. = 115,710.00

TAXABLE PAY = 876,090.00

TAX DUE (876,090 - 720,000)*30%+112,500 = 159,327.00

TOTAL DEDUCTIONS (NSSF+TAX DUE) = 269,527.00

NET PAY/TAKE HOME = 832,473.00

Hapa ndugu kuna hicho kitu kinaitwa housing allowance (ambayo huwa ni 15% ya Basic Salary) huwa haikatwi kodi. Hivyo huyu jamaa akipa hiyo kwa Serikali ni bora kuliko ile nyingine kwa Private Sector. Bila kuficha, Serikalini kuna fursa nyingi kuliko huko kwingine. Hapa utaona kuwa tofauti ya mshahara itakuwa ndogo sana, hivyo jamaa atakuwa na muda wa kutosha Serikalini kuliko private sector (kule mjomba wanakukamua mpaka mwisho).

Wakuu nilikuwa nimeweka kwenye jedwali lakini bahati mbaya limegoma.
 
Gross TShs 1,102,000
Social Security (110,200)
Taxable 991,800
Tax payable (991,800 -720,000)x30% + 112,500= 194,040
Net Pay 1,102,000 - 110,200 - 194,040 =797,760 kabla ya makato ya bima ya afya

correct.....
 
BASIC SALARY = 771,400.00
HOUSING ALLOWANCE = 115,710.00
OTHER ALLOWANCES = 214,890.00

GROSS PAY = 1,102,000.00

LESS: NSSF = 110,200.00
HOUSING ALLOW. = 115,710.00

TAXABLE PAY = 876,090.00

TAX DUE (876,090 - 720,000)*30%+112,500 = 159,327.00

TOTAL DEDUCTIONS (NSSF+TAX DUE) = 269,527.00

NET PAY/TAKE HOME = 832,473.00

Hapa ndugu kuna hicho kitu kinaitwa housing allowance (ambayo huwa ni 15% ya Basic Salary) huwa haikatwi kodi. Hivyo huyu jamaa akipa hiyo kwa Serikali ni bora kuliko ile nyingine kwa Private Sector. Bila kuficha, Serikalini kuna fursa nyingi kuliko huko kwingine. Hapa utaona kuwa tofauti ya mshahara itakuwa ndogo sana, hivyo jamaa atakuwa na muda wa kutosha Serikalini kuliko private sector (kule mjomba wanakukamua mpaka mwisho).

Wakuu nilikuwa nimeweka kwenye jedwali lakini bahati mbaya limegoma.

sasa hapo ndipo penye uonevu,sisi huku kwenye private sector wanatulima kodi kwa kila allowance(labda uchukue kama rent advance) lakini wao wanaofaidi kodi zetu wanainjoi relief kama hizo,.....ntaandamana
 
Back
Top Bottom