Nisaidieni kuwaelewa Wakenya!

Nisaidieni kuwaelewa Wakenya!

Subiri nikipata nafasi nitatafuta tafsiri ya haya yote, nakupa mchache ya haraka tu
kabla - qabl
lugha - lugha
asili - al'asl
So out of over 70 you have only 3 and screaming here like a little child that swahili is Arabic sasa fanya percentage calculations kuona the tiny Arabic influence on swahili how it looks microscopic and fix your brain for yourself.
 
So out of over 70 you have only 3 and screaming here like a little child that swahili is Arabic sasa fanya percentage calculations kuona the tiny Arabic influence on swahili how it looks microscopic and fix your brain for yourself.
Mwambie kiswahili ni kibantu. Hata muundo wa sentensi za kiswahili ni wa kibantu.
 
Do you rove corruption??
Binafsi sijawahi kuwaelewa, kwa mfano Raisi wa Kenya au Kiongozi wao yoyote akihutubia Taifa la Kenya anatumia English, lkn akifanya kampeni za kisiasa anatumia Kiswahili, au hata akiwa nje ya nchi na kuongea na Wakenya diaspora huo anatumia Kiswahili, sasa kwa nini? Kuna anayeweza kunisaidia hii paradox? Kwa mfano Raisi wao kaapishwa kahutubia Taifa english, lkn akiwa anatafuta kura anatumia Kiswahili, sasa kwa nini?
 
Makabila yaliyopo Tanzania

  1. Alagwa
  2. Akiek
  3. Akie Northern Tanzania
  4. Arusha
  5. Assa
  6. Barabaig
  7. Balouch Coastal Tanzania
  8. Bembe
  9. Bena
  10. Bende
  11. Bondei
  12. Bungu
  13. Burunge
  14. Chaga
  15. Datooga
  16. Dhaiso
  17. Digo
  18. Doe
  19. Fipa
  20. Gogo
  21. Goa Coastal Tanzania
  22. Goma people
  23. Gorowa
  24. Gujirati Coastal Tanzania
  25. Gweno
  26. Ha
  27. Hutu Western Tanzania Kagera
  28. Hadza
  29. Hangaza
  30. Haya
  31. Hehe
  32. Holoholo people
  33. Ikizu
  34. Ikoma
  35. Iraqw
  36. Isanzu
  37. Jiji
  38. Jita
  39. Kabwa
  40. Kagura
  41. Kaguru
  42. Kahe
  43. Kami
  44. Kamba Northern Tanzania
  45. Kara (also called Regi)
  46. Kerewe
  47. Kikuyu
  48. Kimbu
  49. Kinga
  50. Kisankasa
  51. Kisi
  52. Konongo
  53. Kuria
  54. Kutu
  55. Kw'adza
  56. Kwavi
  57. Kwaya
  58. Kwere
  59. Kwifa
  60. Lambya
  61. Luguru
  62. Luo
  63. Maasai
  64. Machinga
  65. Magoma
  66. Mahanji
  67. Mbulu (in Arusha)
  68. Makonde
  69. Makua
  70. Makwe
  71. Malila
  72. Mambwe
  73. Manyema
  74. Manda
  75. Mahara
  76. Mediak
  77. Matengo
  78. Matumbi
  79. Maviha
  80. Mbugwe
  81. Mbunga
  82. Mbugu
  83. Meru (Wameru of the slopes of Mt. Meru in Arumeru District)
  84. Mosiro
  85. Mpoto
  86. Msur Zanzibar
  87. Mwanga
  88. Mwera
  89. Ndali
  90. Ndamba
  91. Ndendeule
  92. Ndengereko
  93. Ndonde
  94. Nyanja people Southern Tanzania
  95. Ngas Northern Tanzania
  96. Ngasa
  97. Ngindo
  98. Ngoni
  99. Ngulu
  100. Ngazija (Zanzibar island)
  101. Ngurimi
  102. Ngwele
  103. Nilamba
  104. Nindi
  105. Nyakyusa
  106. Nyasa people in Mbeya
  107. Nyambo
  108. Nyamwanga
  109. Nyamwezi
  110. Nyanyembe
  111. Nyaturu
  112. Nyiha
  113. Nyiramba
  114. Omotik
  115. Okiek people
  116. Pangwa
  117. Pare
  118. Pimbwe
  119. Pogolo
  120. Rangi
  121. Rufiji
  122. Rungi
  123. Rungu
  124. Rungwa
  125. Rwa
  126. Safwa
  127. Sagara
  128. Sandawe
  129. Sangu
  130. Segeju
  131. Swengwear
  132. Shambaa
  133. Shirazi
  134. Shubi
  135. Sizaki
  136. Suba
  137. Sukuma
  138. Sumbwa
  139. Sungu Tanga
  140. Temi
  141. Tongwe
  142. Twa Western Tanzania
  143. Tutsi Western Tanzania
  144. Tumbuka
  145. Vidunda
  146. Vinza
  147. Wanda
  148. Washihiri Zanzibar
  149. Wamanga Zanzibar and Mafia island
  150. Wanji
  151. Wangarenaro Arusha
  152. Ware
  153. Yaaku people Northern Tanzania
  154. Yao
  155. Zanaki
  156. Zaramo
  157. Zigula
  158. Zinza
  159. Zyoba
  160. Zulu people Southern Tanzania
Santee tena ngoja tuwape na location kabisa
bqzythkcaae2oih.jpg
 
Unamaana hii?
Rove: travel constantly without a fixed destination; wander.
Mr uchwara asked the white journalist in Uganda. Mishipa ilimsimama unaambiwa......we mtafute YouTube utoe stress
 
Mwambie kiswahili ni kibantu. Hata muundo wa sentensi za kiswahili ni wa kibantu.
Ni ubishi tu wa kipumbavu kiswahili is typically bantu language mpaka kizulu kipo ndani sasa unashangaa mpaka waarabu wana maneno ya kibantu kwenye lugha yao?
 
So out of over 70 you have only 3 and screaming here like a little child that swahili is Arabic sasa fanya percentage calculations kuona the tiny Arabic influence on swahili how it looks microscopic and fix your brain for yourself.

Like I said, will get back with full report, Arab has influence on your way of life, the way you eat, food you eat, how you excrete faeces in the toilet, how you work (you inherited their laziness too)....everything.
 
una nifundisha nini kuusu kenya mkuu-kenya naijua ndani na inje huna vyakuniambia usilishe watu tango pori kua kenya wote wanafahamu kiengerezaa c kweli fanya risachi tena ndugu-idadi ni wengi ila wasio jua kiengereza wapo-isipo kia wakenya uisi kiengereza ni cha kwao-
Sawa kabisa.
 
Katika hayo maneno yote uliyoyaandika hapo nitajie maneno angalau matano tu ya kiarabu
Maghreb - Magaribi
Masharik - Mashariki
Shariah - Sheria
jamhuriyah- Jamhuri
Dhibi /Dibb- Fisi

Now you know you know nuthin dimwit.

Kenya ndio Nchi ijulikanayo duniani kwa kiswahili.
 
Like I said, will get back with full report, Arab has influence on your way of life, the way you eat, food you eat, how you excrete faeces in the toilet, how you work (you inherited their laziness too)....everything.
Wewe huijui Tanzania. Fanya research kidogo ndugu. Tanzania ipo na diversity ya culture sana.
 
Makabila yaliyopo Tanzania

  1. Alagwa
  2. Akiek
  3. Akie Northern Tanzania
  4. Arusha
  5. Assa
  6. Barabaig
  7. Balouch Coastal Tanzania
  8. Bembe
  9. Bena
  10. Bende
  11. Bondei
  12. Bungu
  13. Burunge
  14. Chaga
  15. Datooga
  16. Dhaiso
  17. Digo
  18. Doe
  19. Fipa
  20. Gogo
  21. Goa Coastal Tanzania
  22. Goma people
  23. Gorowa
  24. Gujirati Coastal Tanzania
  25. Gweno
  26. Ha
  27. Hutu Western Tanzania Kagera
  28. Hadza
  29. Hangaza
  30. Haya
  31. Hehe
  32. Holoholo people
  33. Ikizu
  34. Ikoma
  35. Iraqw
  36. Isanzu
  37. Jiji
  38. Jita
  39. Kabwa
  40. Kagura
  41. Kaguru
  42. Kahe
  43. Kami
  44. Kamba Northern Tanzania
  45. Kara (also called Regi)
  46. Kerewe
  47. Kikuyu
  48. Kimbu
  49. Kinga
  50. Kisankasa
  51. Kisi
  52. Konongo
  53. Kuria
  54. Kutu
  55. Kw'adza
  56. Kwavi
  57. Kwaya
  58. Kwere
  59. Kwifa
  60. Lambya
  61. Luguru
  62. Luo
  63. Maasai
  64. Machinga
  65. Magoma
  66. Mahanji
  67. Mbulu (in Arusha)
  68. Makonde
  69. Makua
  70. Makwe
  71. Malila
  72. Mambwe
  73. Manyema
  74. Manda
  75. Mahara
  76. Mediak
  77. Matengo
  78. Matumbi
  79. Maviha
  80. Mbugwe
  81. Mbunga
  82. Mbugu
  83. Meru (Wameru of the slopes of Mt. Meru in Arumeru District)
  84. Mosiro
  85. Mpoto
  86. Msur Zanzibar
  87. Mwanga
  88. Mwera
  89. Ndali
  90. Ndamba
  91. Ndendeule
  92. Ndengereko
  93. Ndonde
  94. Nyanja people Southern Tanzania
  95. Ngas Northern Tanzania
  96. Ngasa
  97. Ngindo
  98. Ngoni
  99. Ngulu
  100. Ngazija (Zanzibar island)
  101. Ngurimi
  102. Ngwele
  103. Nilamba
  104. Nindi
  105. Nyakyusa
  106. Nyasa people in Mbeya
  107. Nyambo
  108. Nyamwanga
  109. Nyamwezi
  110. Nyanyembe
  111. Nyaturu
  112. Nyiha
  113. Nyiramba
  114. Omotik
  115. Okiek people
  116. Pangwa
  117. Pare
  118. Pimbwe
  119. Pogolo
  120. Rangi
  121. Rufiji
  122. Rungi
  123. Rungu
  124. Rungwa
  125. Rwa
  126. Safwa
  127. Sagara
  128. Sandawe
  129. Sangu
  130. Segeju
  131. Swengwear
  132. Shambaa
  133. Shirazi
  134. Shubi
  135. Sizaki
  136. Suba
  137. Sukuma
  138. Sumbwa
  139. Sungu Tanga
  140. Temi
  141. Tongwe
  142. Twa Western Tanzania
  143. Tutsi Western Tanzania
  144. Tumbuka
  145. Vidunda
  146. Vinza
  147. Wanda
  148. Washihiri Zanzibar
  149. Wamanga Zanzibar and Mafia island
  150. Wanji
  151. Wangarenaro Arusha
  152. Ware
  153. Yaaku people Northern Tanzania
  154. Yao
  155. Zanaki
  156. Zaramo
  157. Zigula
  158. Zinza
  159. Zyoba
  160. Zulu people Southern Tanzania
Upussie.... unajua kuongea ngapi?
 
Upussie.... unajua kuongea ngapi?
hapo tunakuonesha namna gani tanzania ipo na ethinic groups nyingi but we are united. Nyie makabira ni chini ya 40 lakini fujo mwanzo mwisho. Kiswahili kimetuunganisha as a one Nation. Tanzania is both a country and Nation but kenya is only a country.
 
hapo tunakuonesha namna gani tanzania ipo na ethinic groups nyingi but we are united. Nyie makabira ni chini ya 40 lakini fujo mwanzo mwisho. Kiswahili kimetuunganisha as a one Nation. Tanzania is both a country and Nation but kenya is only a country.
Chenu chii motoni
 
Watz bana huwa mnatuponda sisi wakenya sana kwa kupenda kuongea lugha zetu za asili. Sasa tukiongeza kiswahili au hata kiingereza bado mnanung'unika tangazeni msimamo basi.
Nadhani tatizo ni ninyi kushindwa kutuelewa au kukataa kile tunachowaambia, kwamba katika mkusanyiko wa watu wengi lazima kuwe na lugha moja itakayoweza kueleweka kwa wote, yaani zaidi ya 95% ya watu hao.waweze kuitumia kwa ufasaha, hiyo ndiyo sifa kubwa ya kuitwa kwamba hiyo ndiyo lugha rasmi ya mkusanyiko huo, kama ni nchi hiyo itakuwa ndiyo lugha rasmi au lugha ya taifa hilo, kwahiyo ni lazima na muhimu sana kwa serikali husika kuitumia lugha hiyo katika shughuli zake za ndani ya nchi. Hii haina maana kwamba lugha zingine hasa za makabila zisiwepo, lakini zisitumike katika shughuli za serikali, hasa katika maeneo ambayo wanayoielewa hiyo lugha ni chini ya 95% ya watu waliopo mahali hapo.

Tatizo la Kenya ni kwamba, wanaokielewa kiingereza kwa ufasaha nchi nzima sio zaidi ya 60%, wanaokielewa kiswahili kwa ufasaha sio zaidi ya 80%, kati ya hizi lugha mbili, hakuna hata moja yenye sifa ya kuwa universal language hapo Kenya, hili pia ni sababu ya kuifanya Kenya kutokuwa na umoja wa kitaifa na kutengeneza matabaka ya watu hapo kwenu.
Watz bana huwa mnatuponda sisi wakenya sana kwa kupenda kuongea lugha zetu za asili. Sasa tukiongeza kiswahili au hata kiingereza bado mnanung'unika tangazeni msimamo basi.
 
hapo tunakuonesha namna gani tanzania ipo na ethinic groups nyingi but we are united. Nyie makabira ni chini ya 40 lakini fujo mwanzo mwisho. Kiswahili kimetuunganisha as a one Nation. Tanzania is both a country and Nation but kenya is only a country.
Umaskini(Ujamaa) umewaunganisha.
 
Back
Top Bottom