Nisaidieni kuwaelewa Wakenya!

Subiri nikipata nafasi nitatafuta tafsiri ya haya yote, nakupa mchache ya haraka tu
kabla - qabl
lugha - lugha
asili - al'asl
So out of over 70 you have only 3 and screaming here like a little child that swahili is Arabic sasa fanya percentage calculations kuona the tiny Arabic influence on swahili how it looks microscopic and fix your brain for yourself.
 
So out of over 70 you have only 3 and screaming here like a little child that swahili is Arabic sasa fanya percentage calculations kuona the tiny Arabic influence on swahili how it looks microscopic and fix your brain for yourself.
Mwambie kiswahili ni kibantu. Hata muundo wa sentensi za kiswahili ni wa kibantu.
 
Do you rove corruption??
 
Santee tena ngoja tuwape na location kabisa
 
Unamaana hii?
Rove: travel constantly without a fixed destination; wander.
Mr uchwara asked the white journalist in Uganda. Mishipa ilimsimama unaambiwa......we mtafute YouTube utoe stress
 
Mwambie kiswahili ni kibantu. Hata muundo wa sentensi za kiswahili ni wa kibantu.
Ni ubishi tu wa kipumbavu kiswahili is typically bantu language mpaka kizulu kipo ndani sasa unashangaa mpaka waarabu wana maneno ya kibantu kwenye lugha yao?
 
So out of over 70 you have only 3 and screaming here like a little child that swahili is Arabic sasa fanya percentage calculations kuona the tiny Arabic influence on swahili how it looks microscopic and fix your brain for yourself.

Like I said, will get back with full report, Arab has influence on your way of life, the way you eat, food you eat, how you excrete faeces in the toilet, how you work (you inherited their laziness too)....everything.
 
Sawa kabisa.
 
Katika hayo maneno yote uliyoyaandika hapo nitajie maneno angalau matano tu ya kiarabu
Maghreb - Magaribi
Masharik - Mashariki
Shariah - Sheria
jamhuriyah- Jamhuri
Dhibi /Dibb- Fisi

Now you know you know nuthin dimwit.

Kenya ndio Nchi ijulikanayo duniani kwa kiswahili.
 
Like I said, will get back with full report, Arab has influence on your way of life, the way you eat, food you eat, how you excrete faeces in the toilet, how you work (you inherited their laziness too)....everything.
Wewe huijui Tanzania. Fanya research kidogo ndugu. Tanzania ipo na diversity ya culture sana.
 
Upussie.... unajua kuongea ngapi?
 
Upussie.... unajua kuongea ngapi?
hapo tunakuonesha namna gani tanzania ipo na ethinic groups nyingi but we are united. Nyie makabira ni chini ya 40 lakini fujo mwanzo mwisho. Kiswahili kimetuunganisha as a one Nation. Tanzania is both a country and Nation but kenya is only a country.
 
Chenu chii motoni
 
Watz bana huwa mnatuponda sisi wakenya sana kwa kupenda kuongea lugha zetu za asili. Sasa tukiongeza kiswahili au hata kiingereza bado mnanung'unika tangazeni msimamo basi.
Nadhani tatizo ni ninyi kushindwa kutuelewa au kukataa kile tunachowaambia, kwamba katika mkusanyiko wa watu wengi lazima kuwe na lugha moja itakayoweza kueleweka kwa wote, yaani zaidi ya 95% ya watu hao.waweze kuitumia kwa ufasaha, hiyo ndiyo sifa kubwa ya kuitwa kwamba hiyo ndiyo lugha rasmi ya mkusanyiko huo, kama ni nchi hiyo itakuwa ndiyo lugha rasmi au lugha ya taifa hilo, kwahiyo ni lazima na muhimu sana kwa serikali husika kuitumia lugha hiyo katika shughuli zake za ndani ya nchi. Hii haina maana kwamba lugha zingine hasa za makabila zisiwepo, lakini zisitumike katika shughuli za serikali, hasa katika maeneo ambayo wanayoielewa hiyo lugha ni chini ya 95% ya watu waliopo mahali hapo.

Tatizo la Kenya ni kwamba, wanaokielewa kiingereza kwa ufasaha nchi nzima sio zaidi ya 60%, wanaokielewa kiswahili kwa ufasaha sio zaidi ya 80%, kati ya hizi lugha mbili, hakuna hata moja yenye sifa ya kuwa universal language hapo Kenya, hili pia ni sababu ya kuifanya Kenya kutokuwa na umoja wa kitaifa na kutengeneza matabaka ya watu hapo kwenu.
Watz bana huwa mnatuponda sisi wakenya sana kwa kupenda kuongea lugha zetu za asili. Sasa tukiongeza kiswahili au hata kiingereza bado mnanung'unika tangazeni msimamo basi.
 
Umaskini(Ujamaa) umewaunganisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…