Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru wa kufanya hivyoNajua kwamba ana huwo uhuru, lkn nimeuliza logic ya kufanya hivyo!
Wewe kama sio chizi basi ni mwenda wazimu, Kenya lugha ya taifa ni kiswahili, na kimetajwa katika katiba yao, wananchi wengi wa Kenya hasa vijijini hawajui kabisa kiingereza, nenda pwani kwa wadigo, waduruma, wakamba, waswahili, au nenda kaskazini kwa Pokot na turkanas, lakusikitisha hata rais wao anapohutubia taifa anatumia English, ukweli ni kwamba Kenya inamatabaka ya watu, tabaka la matajiri na walioelimika ambao wengi wapo mijini hawakipendi kiswahili, na tabaka la watu masikini wasio na elimu ambao ndiyo wengi wanaoishi vijijini na slums za mijini, hawa hutumia kiswahili na serikali haiwajali sana hawa, kwahiyo wanapotaka kura, huenda vijijini na kwenye slums na hutumia kiswahili, wanapokuwa katika ofisi kubwakubwa hutumia English
Mjinga wewe, utasemaji watu wachache ndiyo wanaofahamu kuzungumza lugha ya taifa, sasa kuna maana gani ya kuitaja kuwa ndiyo lugha ya taifa wakati wananchi wengi hawaijui, kwani mlilazimishwa kuifanya iwe lugha ya taifa lenu?, tatizo wakenya wengi uwezo wenu wa kufuatilia na kujua mambo kwa undani ni mdogo sanaUchizi unaanzia kwako ambaye hutaki elewa Kenya most of us we are speaking English wenye kiswahili ni wachache sana na kwa hiyo kaa kando wewe kama huewi
Sio kweli, nchi inaweza kuwa na lugha nyingi, lakini lazima kuwe na lugha moja ambayo ndiyo inayotambulika kama lugha ya taifa na lazima shughuli zote za serikali hasa za ndani ya nchi lazima zitumie lugha hiyo, na lazima itambulike kikatibaMradi ujumbe umemfikia aliyelengwa...Sio Kenya pekee yake...Kuna inchi nyingi hutumia zaidi ya lugha moja as official languages..eg Canada,Rwanda etc
Kwa maana hiyo wamewapa kipaumbele wazungu na kuwatenga mamilioni ya wakenya vijijini na kwenye slums ambao kwa kiingereza ni shida?, ila ni ukweli kwamba, tabaka la juu la wakenya serikalini na wafanya biashara, hawakipendi kiswahili, na ndiyo tabaka linalothaminiwa na serikali kwa sababu ndiyo hao hao humo serikalini, ndiyo wanaolengwa na hizo hotuba za wanasiasa, hao huko vijijini na kwenye slums hakuna anayewajali zaidi ya kura na kufanya maandamano.Watu Wa mataifa ya nje wanaoishi Kenya ni Wengi hasa wazunguu.. Ambao wengi wao wanamiliki ardhi kubwa ya Kenya na hivyo wamefanywa kua moja ya RAIA Wa Kenya japo lugha ya kiswahili bado hawaielewi vizuri.. Kwahiyo kwenye masuala yanayohusu taifa kwa ujumla ni lazima watumie lugha ya kiingereza na kutumia lugha ya kiswahili kama wazungu wako excluded au hilo jambo linawahusu zaidi wakenya wenyewe
Unasifia ukoloni[emoji23][emoji23] kuna wakenya English broken, kiswahili broken kilugha hawajui yani shida tupuuUchizi unaanzia kwako ambaye hutaki elewa Kenya most of us we are speaking English wenye kiswahili ni wachache sana na kwa hiyo kaa kando wewe kama huewi
Hii pia nishida kubwaKwa maana hiyo wamewapa kipaumbele wazungu na kuwatenga mamilioni ya wakenya vijijini na kwenye slums ambao kwa kiingereza ni shida?, ila ni ukweli kwamba, tabaka la juu la wakenya serikalini na wafanya biashara, hawakipendi kiswahili, na ndiyo tabaka linalothaminiwa na serikali kwa sababu ndiyo hao hao humo serikalini, ndiyo wanaolengwa na hizo hotuba za wanasiasa, hao huko vijijini na kwenye slums hakuna anayewajali zaidi ya kura na kufanya maandamano.
Mjinga wewe, utasemaji watu wachache ndiyo wanaofahamu kuzungumza lugha ya taifa, sasa kuna maana gani ya kuitaja kuwa ndiyo lugha ya taifa wakati wananchi wengi hawaijui, kwani mlilazimishwa kuifanya iwe lugha ya taifa lenu?, tatizo wakenya wengi uwezo wenu wa kufuatilia na kujua mambo kwa undani ni mdogo sana
Lugha ya mama Lazima as long as yupo nyumbani, lakini kama anawahotubia wamaasai hawezi tumia lugha yake ya mama ila atazungumza kwa kiswahili au kiingereza. It's common sense though not common to all.Nadhani lugha za taifa ni English na kiswahili na ana uhuru wa kuchagua nini aongee. Na pia ni kushukuru Mungu hata anaongea hizo mbili kuliko akiamua kucharanga kilugha cha nyumbani.
Sasa kama unafuatilia mambo utasemaje kwamba wakenya wanaofahamu kiswahili ni wachache kuliko wanaofahamu kiingereza?, ni sawa na kusema Kenya ni nchi ya watu weusi lakini wananchi wake waliowengi ni wazungu weupe, jaribu kufikiria kabla ya kuzungumzaShame on you kwa kusema Kenyan hatufuatilii mabo wacha hii kitu bro
Toa mfano mmoja Kiongozi akiwahotubia wakenya kwa lugha wasioelewa. Just one example and I will forever take you seriously.kenya ina viongozi wa ajabu-kiongozi ambae anaongea na wanaichi wake awezi kutia lugha ngeni ili hali lugha ilio ya wengi ipoo-kuna wazee ambao madkini shule awakuziona kuna wengine kwa baht mbaya awakuweza kupata kukifahmu kiengereza -huu ni u mbu mbu mbu wa kiwango cha kusto jielewa-ckweli kua wakenya wote ligha ya kimalikia wana ifahamu
Hivi wewe ushawahi toka nje ya Tanzania?Watu Wa mataifa ya nje wanaoishi Kenya ni Wengi hasa wazunguu.. Ambao wengi wao wanamiliki ardhi kubwa ya Kenya na hivyo wamefanywa kua moja ya RAIA Wa Kenya japo lugha ya kiswahili bado hawaielewi vizuri.. Kwahiyo kwenye masuala yanayohusu taifa kwa ujumla ni lazima watumie lugha ya kiingereza na kutumia lugha ya kiswahili kama wazungu wako excluded au hilo jambo linawahusu zaidi wakenya wenyewe