Nisaidieni, najihisi kabisa nimepewa limbwata

Kuna wanaume very cheap, ukutane na mwanamke siku hiyo hiyo na umle aiku hiyo hiyo?
Hilo ndio jambo limenishinda.

Mwanamke mrahisi kivile simtaki kabisa na naona kinyaa.
Kabisaaa huo ujasiri sijui huwa wanautoa wapi hata hizo hisia sijui huwa zinatoka wapi.
Lkn wapo wanawake wa hivyo na hao ni wale ambao wapo kimkakati.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipewa limbwata huwezi kujitambua mpaka uandike ujumbe huu. Ni saikolojia yako
 
Endelea kusomesha watoto wa wanaume wenzio acha mtoto wako afe, ndiyo uanaume huo.
 
Nakimbilia wapi sasa? Mwaka wa 4 sijaingia kwangu
Endelea Sasa....yaan kilicho niumiza ni wewe kusomesha watoto wa mwanaume mwenzako..

Alaf haujihusishi na damu yako your bloodstream yako..

Roho imeniuma sana datc nikiifikilia familia yangu Huwa sitongozi ovyo ovyo na siku zote husita sana kufanya maamuzi ovu najua nyuma yangu Kuna watu wanajua value yako......

NB:
Kama wale watoto ni wako wakuwazaa Rudi Kwa ajili Yao ni faraja Kwa watoto kua na mtu wa kumuita baba..

Kwa Sasa ni hayo tu

Wasalaam
 
pole sana mkuu, isije ikawa wife wako ndio kasuka mchezo upotelee mbali
 
Miaka 3 imepita hana mawasiliano na wife wake na anachapa ke wengine anaacha. Huyo hana mpango na wife wake.
 
Miili ya watu wawili imekutwa ndani ikiwa na majeraha katika Mtaa wa Oysterbay, Kata ya Dodoma Makulu kwenye chumba ambacho mwanamke aliyeuawa alikuwa amepanga huku aliyefanya mauaji hayo bado hajafahamika.
 
Mm kipindi nakua kua secondary mpaka university kijana mstaarab na mpole sana akili darasani very humble nilikuaga na bahati ya kutongozwa sana na mabinti ila Mimi ndio nazingua mpak washikaji wakawa wana nisema mbona hawapati izo bahati wao....

NB:
understand determination one can turn a desert in to evergreen Forest...
 
Kuna kabila huwa siligusi.
Wamakonde na Wazaramo ninawaomba radhi sana.
Kwa kweli haya mambo kuomba Mungu. Mwanaume mwenye staha hawezi mkaribisha mchepuko kwenye makazi anayoishi na mke wake. Ndo maana alimdharau akamfanyia huo ujinga maana alishaona akili zake mbili.

Cha kufannya hapo atafute mchungaji au ndugu zake huyo mke wamuombee msamaha na aseme alikokuwa. Lkn hata asiposamehewa apambane tu na hali yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wanaume wengine mafalla sana.
Kwanza mwanamke asiye mke au mke mtarajiwa asichafue kitanda chako, maisha yangu yote nimelishinda hili.

Fanyia uchafu lodge au hotelini.
Usisogeze uchafu kitandani mwako unapotarajia kulalia na mkeo.

TUnajidhalilishaga sana wanaume, tunakuwa very cheap mnoo, wanawake wametujua kuwa hajui kukataa uchi, haya ni matusi.

Mwanaume unapaswa kuwa na msimamo..
No ni noo na ndio ni ndio
 
Kabla huyajoa hakikisha umemaliza mishangazi, maguberi guberi lweny mapenzi, makonki wa KUNYANDUANA ndio uoe, hapo unakuwa si mshamba wa mapenzi wala KUTO...MBANA.. hakuna kipya utaona.

Pole mkuu, kukubali una tatizo ndio hatua ya kwanza ya kutatua tatizo, tafuta wazee, mtafute mkeo myazungumze hayo, wao wameona mengi watajua namna ya kukunasua, kama kweli mambo ya kiswahili pambana.
Ila mpaka umepata mashaka ni aidha hujarogwa au umepona.
 
Mkuu acha nibaki kuwa mshamba daima.
Sijawahi kufakamia mishangazi, niliwahi kuwekwa kona ambayo huwezi kuchomoa na mishangazi kama 3 kwa wakati tofauti lkn ashukuriwe Mungu nilivuka viunzi.

Kwenye suala la mahusiano huwa nina kauchaguzi kabaya sana.
Kimsingi ninacheka sana na kufurahi na watu wengi, ndio asili yangu but suala la mapenzi na sex daima uchaguzi wangu ni mgumu sana.

Huu ni msimamo wangu wa kudumu na sijawahi kutetereka.

Ninaposema mishangazi ieleweke naongekea mwanamke aliyenizidi umri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…