mwenzetu ni malaika wa kiume nini?Kuna wanaume very cheap, ukutane na mwanamke siku hiyo hiyo na umle siku hiyo hiyo?
Afya mcheki saa ngapi?
huwezi kufikiria kuwa analika kirahisi na hayupo sqlama?
Hilo ndio jambo limenishinda.
Mwanamke mrahisi kivile simtaki kabisa na naona kinyaa.
Sina umalaika wowote lakini huwa sitetemekei nyapu.mwenzetu ni malaika wa kiume nini?
Ooh ndo maana kumbe wewe makonde !Hatunaga baya[emoji1787] Kama unabisha njoo ujaribu kwangu Kama hujalea hawa watoto watano[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana wewe sio mshamba na siwezi kukuita mshamba kwa sababu hiyo mkuu, ni kawaida kila mtu na mapendekezo yake.Mkuu acha nibaki kuwa mshamba daima.
Sijawahi kufakamia mishangazi, niliwahi kuwekwa kona ambayo huwezi kuchomoa na mishangazi kama 3 kwa wakati tofauti lkn ashukuriwe Mungu nilivuka viunzi.
Kwenye suala la mahusiano huwa nina kauchaguzi kabaya sana.
Kimsingi ninacheka sana na kufurahi na watu wengi, ndio asili yangu but suala la mapenzi na sex daima uchaguzi wangu ni mgumu sana.
Huu ni msimamo wangu wa kudumu na sijawahi kutetereka.
Ninaposema mishangazi ieleweke naongekea mwanamke aliyenizidi umri
MkuuKuna binti anaishi Msasanu, Uswahilini kule Makangira, huyu dada mwenye watoto 3 nilikutana naye mwaka 2019 siku chache kabla ya XMas.
Nilimfahamu miaka mingi nyuma tukisoma enzi hizo Kinondoni Muslim yeye alikuwa mbele yangu madarasa mawili, nilishawahi kumtokea lakini akanikataa enzi hizo alikuwa mzuri kichizi.
Baada ya kama miaka 15 ndipo nikakutana naye tena, nilikutana naye mitaa ya Masaki, nikiwa natoka Shopper's Plaza kupata mahitaji kwa ajili ya XMas yeye alikuwa ndio analipia vitu vyake na mimi niko kwenye que nyingine.
Basi tukasalimiana na kuchangamkiana, tukapeana na namba. Tukawa tunapiga story za mwisho za kuagania.
Basi, sikuwa na gari, nikamwambia niite Bolt ili inipeleke home. Akasema atanipeleka kama nitamruhusu.
Muda huo wife mtoto walikuwa Moshi wameenda kula sikukuu. Basi akanifikisha hadi home.
Sasa nikawa nimemkaribisha wine, na mimi nimejifungulia K Vant yangu. Nikatoa na sausages nikazichoma kwenye oven fasta tukawa tunakunywa huku tunapiga story.
Akaomba nimmiminie KVant kidogo kwenye wine yake, basi tukaendelea hivyo. Kuja kushtuka ni asubuhi ya alfajiri, tuko uchi, tumechapana sana dudu.
Yeye kakata moto kabisa, nikamfunika nikamkumbatia, kisha nikapitiwa na usingizi mzito.
To make a story short.
Mke wangu akahamishiwa Dodoma, akaenda na dogo, nikabaki mwenyewe. Nikaona nitafute studio apartment mitaa ya Regent Estate ambapo nitamfaidi huyu mwanamke badala ya awe anakuja kwangu.
Dada akaivuruga akili yangu kabisa, wote tukajikuta tunaishi pamoja kwenye studio apartment, mwiezi na miezi ikapita.
Mawasiliano na mke wangu yalikuwa yanaendelea vizuri lakini moyoni kanitoka kabisaaaaaa.
Kuna siku akarudi ghafla nyumbani, akakuta nyumba iko valuvalu na kijana tu. Akamuuliza baba yuko wapi, akasema hajarudi tangu juzi, hela anatuma kwa Mpesa.
Basi akanipigia kisha akaanza kunitukana matusi makubwa, nikamjibu tu, kwanzia sasa sirudi tena hapo. Na kweli sijawahi kurudi tangu 2020.
Sasa akili zimekaa sawa, niko na huyu dada wa Kimakonde na watoto wake watatu, nawasomesha, nawalisha na kuwavisha, wakati sijui mwanangu anaendeleaje.
Natamani niondoke nirudi nyumbani, lakini nashindwq, mke wangu alishabadilisha namba na hataki hata kunisikia.
Najaribu nipate mwanamke mwingine niachane na huyu Mmakonde, kila ninayempata mapenzi yetu hayadumu tunaishia kuachana tu.
Naombeni msaada wenu wakuu wangu.
Matusi, kashfa na kebehi rukhsa, najua katika hayo nitaambulia msaada
Hapo sasa anayajua mambwata ya marambiki? Hebu awaache watu walio pewa limbwata wateseke nalo.Hajarogwa huyu, Kwanza wamakonde tunaendaga kurogea Nchumbijiii kwenye origin yetu, Angeendewa huko angesahau hata Kama aliwahi kuwa na familia.....awaulize waliowapa wamakonde mapagala Yao walinde walivyoyasahau[emoji1787][emoji1787]
Huyu kakolezwa tu na mapenzi matamu, kauli nzuri, mapishi, usafi na ukarimu....kurogwa hajarogwa.
Well said....Upweke ni tatizo kuu la ndoa nyingi,wazungu Wana msemo wao "If you don wanna die lonely don Marry."watu ni wake na waume wa occasion tu kwenye jamii.Mkuu
Hujarogwa hata ,ni vile upweke wako ulijibiwa na Mungu mwenyezi!!
Tupo wanaume wengi tumeoa lakini ni wapweke katika ndoa hizo!coz wake zetu hujifanya bize sana baada ya kuzaa na kujifanya hawana mpango na Sisi, Bahati mbaya ni kuwa wakati MWINGINE hatupati wale wa kutuliwaza,ukishapata wa kukuliwaza unajikuta umetekwa kiakili na starehe anayokupatia!!
Hujarogwa umepata liwazo baada ya ubize wa mkeo!
Cha msingi tunza wanao tuma matumizi kama Baba Ili kuepuka karma!
Huyu ni mwanaume wa kipekee 😁😁😁😁Duuuuh. Tokea 2020.
Nikajua unasema wiki iliyopita.
Sio mchezo
Utakuwa na ww single maza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimependa hapo unasomesha watoto wa mwenzio wako hujui anaendeleaje.....
Upewa ma warudi mekundu
Upewe Ulinzi
Specie Yako itunzwe for future generations...
Binafsi nimekupenda sana[emoji16][emoji16][emoji16]
Uko sahihi..Kuna tatizo?Utakuwa na ww single maza
watu wengine kwa kujisifu halafu ukute hauna maajabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatunaga baya[emoji1787] Kama unabisha njoo ujaribu kwangu Kama hujalea hawa watoto watano[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yopa vanuuu🤣🤣🤣Hatunaga baya🤣 Kama unabisha njoo ujaribu kwangu Kama hujalea hawa watoto watano🤣🤣🤣🤣
watu wengine kwa kujisifu halafu ukute hauna maajabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vayope sanaaa.Yopa vanuuu🤣🤣🤣