Nisaidieni, najihisi kabisa nimepewa limbwata

mwenzetu ni malaika wa kiume nini?
 
mwenzetu ni malaika wa kiume nini?
Sina umalaika wowote lakini huwa sitetemekei nyapu.
Wanawake ndio wanatakiwa watutetemekee but tumejidharau badala yake sisi wanaume tulio wachache kuliko wao ndio kutwa tunajishusha hadhi kwao
 
Hapana wewe sio mshamba na siwezi kukuita mshamba kwa sababu hiyo mkuu, ni kawaida kila mtu na mapendekezo yake.


Wanaume tunatofautiana, ila wanaume woote huwa tuna misimamo... Nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Huwa tunafanana tu kwenye kusimamia kila unakikubali
 
Wamakonde ndiyo mambo yao hayo. Pole mkuu nenda kanisani kaokoke.
 
Mkuu

Hujarogwa hata ,ni vile upweke wako ulijibiwa na Mungu mwenyezi!!

Tupo wanaume wengi tumeoa lakini ni wapweke katika ndoa hizo!coz wake zetu hujifanya bize sana baada ya kuzaa na kujifanya hawana mpango na Sisi, Bahati mbaya ni kuwa wakati MWINGINE hatupati wale wa kutuliwaza,ukishapata wa kukuliwaza unajikuta umetekwa kiakili na starehe anayokupatia!!

Hujarogwa umepata liwazo baada ya ubize wa mkeo!

Cha msingi tunza wanao tuma matumizi kama Baba Ili kuepuka karma!
 
Hapo sasa anayajua mambwata ya marambiki? Hebu awaache watu walio pewa limbwata wateseke nalo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
🤣🤣🤣🤣Nimependa hapo unasomesha watoto wa mwenzio wako hujui anaendeleaje.....
Upewa ma warudi mekundu
Upewe Ulinzi
Specie Yako itunzwe for future generations...
Binafsi nimekupenda sana😁😁😁
 
Well said....Upweke ni tatizo kuu la ndoa nyingi,wazungu Wana msemo wao "If you don wanna die lonely don Marry."watu ni wake na waume wa occasion tu kwenye jamii.
 
Duuuuh. Tokea 2020.

Nikajua unasema wiki iliyopita.

Sio mchezo
 
Utakuwa na ww single maza
 
Kama tayari umelijua Hilo limbwata limeisha nguvu Sasa kinachofuata kwako Ni majuto tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…