Mimi mwenzenu ni mwanachuo wa chuo fulani nachukua fani ya utabibu degree hapa Tanzania, nilitokea kumpenda dada mmoja zaidi ya miaka minne iliyopita na kwa kuwa sikuwahi kuwa na mpenzi hapo kwanza kwa sababu zangu binafsi sikuchelewa kumweleza lililonisibu moyoni.
Yule dada wakati huo wote tukiwa form five alinikatalia kwa madai kwamba yeye anasoma kwanza ndo mambo kama hayo yaje baadaye(tulikuwa shule tofauti wakati huo ila nyumbani wilaya moja). Nilikubaliana naye kwa kumsisitiza kwamba bado ataendelea kuwa moyoni mwangu na sitaweza kumpenda mwingine. Baada tu ya kumaliza form 6 niliendelea kumsumbua kuhusu hilo na akashikilia msimamo wake kwa mba haamini wanaume hivyo nimwache kwanza achukue bachelor yake hayo mambo kwake anaamini yana muda wake tu. Kwa kweli kwa nilivyompenda yule mrembo niliendelea kumsisitizia suala hilo na kujitahidi kuwasiliana naye mara kwa mara kwani tulikuwa mikoa tofauti. Yeye hakufanya vizurikwenye masomo yake hali iliyopelekea abadili mchepuo toka sayansi na kwenda arts kwa mwaka mmoja an alipofanya mtihani alifanya vizuri hivyo kujiunga na chuo kikuu fulani pale mji kasoro bahari.
Nimekuwa nikimsisitizia huyo dada kuhusu mapenzi yangu kwake pamoja na kumsaidia kwa mambo madogomadogo kwa matumaini ipo siku atabadili msimamo wake, ila cha ajabu wajameni ni mpaka leo hii msimamo wake upo vilevile kwa madai kwamba nyumbani ndiye pekee aliyesoma hivyo wanamtegemea sana hataki kuwaangusha kwa kuanza mapenzi kabla hajamaliza na vilevile alishawhi kuwa na jamaa huko akiwa o'level na jamaa akampa kibuti hivyo hawaamini tena wanaume eti anaogopa wanaweza kumfanya akafeli chuo bure halafu akawaangusha nyumbani kwake.
sasa wapenwa huyu dada nimemfia kinoma na sijawahi kuona kama yeye ktk maisha yangu yote, Nimejaribu ku-tune my mind set otherwise but i completely failed. NIFANYEJE??
Yule dada wakati huo wote tukiwa form five alinikatalia kwa madai kwamba yeye anasoma kwanza ndo mambo kama hayo yaje baadaye(tulikuwa shule tofauti wakati huo ila nyumbani wilaya moja). Nilikubaliana naye kwa kumsisitiza kwamba bado ataendelea kuwa moyoni mwangu na sitaweza kumpenda mwingine. Baada tu ya kumaliza form 6 niliendelea kumsumbua kuhusu hilo na akashikilia msimamo wake kwa mba haamini wanaume hivyo nimwache kwanza achukue bachelor yake hayo mambo kwake anaamini yana muda wake tu. Kwa kweli kwa nilivyompenda yule mrembo niliendelea kumsisitizia suala hilo na kujitahidi kuwasiliana naye mara kwa mara kwani tulikuwa mikoa tofauti. Yeye hakufanya vizurikwenye masomo yake hali iliyopelekea abadili mchepuo toka sayansi na kwenda arts kwa mwaka mmoja an alipofanya mtihani alifanya vizuri hivyo kujiunga na chuo kikuu fulani pale mji kasoro bahari.
Nimekuwa nikimsisitizia huyo dada kuhusu mapenzi yangu kwake pamoja na kumsaidia kwa mambo madogomadogo kwa matumaini ipo siku atabadili msimamo wake, ila cha ajabu wajameni ni mpaka leo hii msimamo wake upo vilevile kwa madai kwamba nyumbani ndiye pekee aliyesoma hivyo wanamtegemea sana hataki kuwaangusha kwa kuanza mapenzi kabla hajamaliza na vilevile alishawhi kuwa na jamaa huko akiwa o'level na jamaa akampa kibuti hivyo hawaamini tena wanaume eti anaogopa wanaweza kumfanya akafeli chuo bure halafu akawaangusha nyumbani kwake.
sasa wapenwa huyu dada nimemfia kinoma na sijawahi kuona kama yeye ktk maisha yangu yote, Nimejaribu ku-tune my mind set otherwise but i completely failed. NIFANYEJE??