Sina mengi nisaidieni kumwambia ,nampenda .mwambieni nitatoa mahari anayotaka yeye,afu mwambieni ndoa tutafungia saadani,mwambieni Niko tayari na nipo kwa ajili ya kumpa Raha ,siitaji kulelewa Ila kumleaaaaaaa
Beauty iko kwenye macho iko nayo mwenye yule anahusikaSina mengi nisaidieni kumwambia, nampenda mwambieni nitatoa mahari anayotaka yeye, afu mwambieni ndoa tutafungia Saadani, mwambieni Niko tayari na nipo kwa ajili ya kumpa Raha, siitaji kulelewa Ila kumleaaaaaaa.
Kitakacho kukuta.......View attachment 2086438
Nampenda hivyo hivyo na nimechakata kwanza kabla ya kuamuaBoss wangu katika ubora wake.
"Hatimae mzee wa Msata kadondokea kwenye penzi la Giggy mihela"
NB Michezo anayocheza hutaiweza kucheza,km nakuona kwnye lile lidude lake akiwa amevaa kibukta[emoji3][emoji3]
Kweli ndio maana hata vichaa hupata mimba, sasa huyu unampeleka wapiSina mengi nisaidieni kumwambia, nampenda mwambieni nitatoa mahari anayotaka yeye, afu mwambieni ndoa tutafungia Saadani, mwambieni Niko tayari na nipo kwa ajili ya kumpa Raha, siitaji kulelewa Ila kumleaaaaaaa.