Nisaidieni nampenda sana Giggy Money

Nisaidieni nampenda sana Giggy Money

Sina mengi nisaidieni kumwambia, nampenda mwambieni nitatoa mahari anayotaka yeye, afu mwambieni ndoa tutafungia Saadani, mwambieni niko tayari na nipo kwa ajili ya kumpa Raha, siitaji kulelewa ila kumlea.



Ukishajua anavyovipenda na wewe ukaweza kuvifanya mtaishi tuu
Kila la heri
 
We ukimuoa Giggy mi ntamuoa Mwajuma Cha Pombe wa Mbagala. Kila mtu abebe ugonjwa wake wa moyo
 
Sina mengi nisaidieni kumwambia, nampenda mwambieni nitatoa mahari anayotaka yeye, afu mwambieni ndoa tutafungia Saadani, mwambieni niko tayari na nipo kwa ajili ya kumpa Raha, siitaji kulelewa ila kumlea.

Duh binafsi nampenda sana gigy sababu dada yule sio mwongo. Akigongwa anakwambia nimegongwa haijalishi utamfanya nn.

Akikupenda hajali una nn anachojali ni nafsi yake tu ifurahi. Nampenda sababu ni real hana kufeki
 
Kuna mwanangu mwarabu kapiga sana huyo Kwa $100 tu
 
Back
Top Bottom