Nisaidieni ndugu zangu; napitia mateso wakati NSSF wanayo pesa yangu. Nachukuaje michango yangu?

Nisaidieni ndugu zangu; napitia mateso wakati NSSF wanayo pesa yangu. Nachukuaje michango yangu?

Toka wachukue kadi ya mwanangu kwa ajili ya kulipa likizo ya uzazi Ni miezi 6 Sasa..Nikifuata kadi yangu wananiambia Subiri utalipwa mara Pesa yako ipo tayari Mara lete benk statement..UKWELI NSSF WABABAISHAJI SANA.
Pole sana ndugu...kwanza ukifika hapo ukianza kujieleza wanadharau wanakuona kama umechanganyikiwa unakuta mpaka wanakonyezana... Yani kama una roho nyepesi unaweza kufanya kitu ukajutia baadae.
 
Pole sana ndugu...kwanza ukifika hapo ukianza kujieleza wanadharau wanakuona kama umechanganyikiwa unakuta mpaka wanakonyezana... Yani kama una roho nyepesi unaweza kufanya kitu ukajutia baadae.
Ushamba umewajaa tu msomi kupenda tabia ya kujimwambafai ni ulimbukeni.wanabinunua midomo utadhani Wana hela ...
 
Wewe nisaidie kama una roho ya kusaidia mbona nimeeleza kila kitu...ni kitu kibaya na dhambi sadists kujificha kwenye mgongo wa utaratibu hata Mungu hapendi
Wewe mtakatifu, sina uwezo wa kukusaidia kwasababu sipo nssf ndio maana nimeuliza utaratibu ukoje? Usiwe pessimist.
 
Niwakumbushe tu Jana ndio tumebariki matumizi ya kikokotoo kipya kile kilichostopishwa kipindi kile hivyo from July mosi ni kikokotoo kipya
 
Naona wamebadisha sheria tarehe 22 May 2022.Na wamerudisha lumpsum amount
 
Sina kazi karibu mwaka wa pili sasa. Kula yangu ni ya shida pakulala ni shida kila kitu kimekuwa shida.

Nimekuwa na mipango mingi lakini nashindwa fanya lolote sababu pesa sina kabisa.

Lakini nina pesa yangu ipo NSSF baada ya kupoteza kazi yangu walinipa mafao ya 33% kwa miezi 6 then baada ya hapo sijapewa lolote.

Nimeandika barua kwa branch manager naambiwa kila nikienda nivute subira nitajibiwa lakini nazungushwa tu miezi sasa.
Nimeshakaa miezi zaidi ya 18 kwa nini hawataki kunipa pesa zangu jamani.

Mwenye ushauri, mbinu au connection anisaidie jamani maisha ni magumu yakiamua kukupiga hakuna ujanja utafanya.

Nisaidieni nadhalilika hapa DSM nipate pesa nifanye biashara au nifuge kuku.
ni muda gani umepita tangu umalize kipindi cha 33.3% ya miezi 6?
 
Pole Sana! Ukiwashtaki Vipi hawawezi kujitafakari!

au Muungane Wawili watatu wenye Shida Zinazofanana Hlf Fungueni Mashtaka!

Mie Mwenyewe Wananikera Sana! Natafakari niwaibukie Vipi?
Unajua chochote kweli au unafikiri mahakamni huwa porojo na siasa?
 
Mkuu napenda sana kuanza upya ila sio rahisi ku-survive bila kuwa na kitu mfukoni. Hiyo pesa ningeipata nilikuwa naweza hata kuwa na factory ya kuzalisha chakula nna uwezo wa kuwa na mini supermarket au hata kununua babaj nizungushe chombo mwenyewe mjini uku hela nyingine naweka akiba.
Kwahiyo utaanza paka uipata hiyo pesa unachelewa mkuu, hiyo ihesabu kama bad debts huwanze upya, kila mtu kupitia hali kama yako kwa dizaini tofauti tu move pl z acha kuwomboleza omboleza
 
Huu ujinga upo Tanzania pekee. Wakati wa kuchangia sio hiyari, ni lazima. Lakini unapofika muda wa kuchukua pesa yako, wanatka uwabembeleze kijinga utafikiri pesa hiyo wanakupa msaada.
Tena wanakuwa na kauli chafu na dharau sana
 
Kwahiyo utaanza paka uipata hiyo pesa unachelewa mkuu, hiyo ihesabu kama bad debts huwanze upya, kila mtu kupitia hali kama yako kwa dizaini tofauti tu move pl z acha kuwomboleza omboleza
Mkuu sasa naanzia wapi kazi nimetafuta mpaka nimechoka biashara sina mtaji...kila mtu kashanifungia vioo watu hawataki mizinga
 
Ni ujinga sana, tatizo ni uoga wetu kudai haki zetu.
Huu ujinga upo Tanzania pekee. Wakati wa kuchangia sio hiyari, ni lazima. Lakini unapofika muda wa kuchukua pesa yako, wanatka uwabembeleze kijinga utafikiri pesa hiyo wanakupa msaada.
 
Back
Top Bottom