mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 248
- 539
- Thread starter
-
- #21
Pole sana ndugu...kwanza ukifika hapo ukianza kujieleza wanadharau wanakuona kama umechanganyikiwa unakuta mpaka wanakonyezana... Yani kama una roho nyepesi unaweza kufanya kitu ukajutia baadae.Toka wachukue kadi ya mwanangu kwa ajili ya kulipa likizo ya uzazi Ni miezi 6 Sasa..Nikifuata kadi yangu wananiambia Subiri utalipwa mara Pesa yako ipo tayari Mara lete benk statement..UKWELI NSSF WABABAISHAJI SANA.
Ushamba umewajaa tu msomi kupenda tabia ya kujimwambafai ni ulimbukeni.wanabinunua midomo utadhani Wana hela ...Pole sana ndugu...kwanza ukifika hapo ukianza kujieleza wanadharau wanakuona kama umechanganyikiwa unakuta mpaka wanakonyezana... Yani kama una roho nyepesi unaweza kufanya kitu ukajutia baadae.
Wewe mtakatifu, sina uwezo wa kukusaidia kwasababu sipo nssf ndio maana nimeuliza utaratibu ukoje? Usiwe pessimist.Wewe nisaidie kama una roho ya kusaidia mbona nimeeleza kila kitu...ni kitu kibaya na dhambi sadists kujificha kwenye mgongo wa utaratibu hata Mungu hapendi
ni muda gani umepita tangu umalize kipindi cha 33.3% ya miezi 6?Sina kazi karibu mwaka wa pili sasa. Kula yangu ni ya shida pakulala ni shida kila kitu kimekuwa shida.
Nimekuwa na mipango mingi lakini nashindwa fanya lolote sababu pesa sina kabisa.
Lakini nina pesa yangu ipo NSSF baada ya kupoteza kazi yangu walinipa mafao ya 33% kwa miezi 6 then baada ya hapo sijapewa lolote.
Nimeandika barua kwa branch manager naambiwa kila nikienda nivute subira nitajibiwa lakini nazungushwa tu miezi sasa.
Nimeshakaa miezi zaidi ya 18 kwa nini hawataki kunipa pesa zangu jamani.
Mwenye ushauri, mbinu au connection anisaidie jamani maisha ni magumu yakiamua kukupiga hakuna ujanja utafanya.
Nisaidieni nadhalilika hapa DSM nipate pesa nifanye biashara au nifuge kuku.
Unajua chochote kweli au unafikiri mahakamni huwa porojo na siasa?Pole Sana! Ukiwashtaki Vipi hawawezi kujitafakari!
au Muungane Wawili watatu wenye Shida Zinazofanana Hlf Fungueni Mashtaka!
Mie Mwenyewe Wananikera Sana! Natafakari niwaibukie Vipi?
Mimi nimeeleza utaratibu walioniambiaWewe mtakatifu, sina uwezo wa kukusaidia kwasababu sipo nssf ndio maana nimeuliza utaratibu ukoje? Usiwe pessimist.
Sawa, all the best.Mimi nimeeleza utaratibu walioniambia
Miezi 19ni muda gani umepita tangu umalize kipindi cha 33.3% ya miezi 6?
Subiri ikishafika miaka 2 ( umebakiza miezi 6)Miezi 19
Kwahiyo utaanza paka uipata hiyo pesa unachelewa mkuu, hiyo ihesabu kama bad debts huwanze upya, kila mtu kupitia hali kama yako kwa dizaini tofauti tu move pl z acha kuwomboleza ombolezaMkuu napenda sana kuanza upya ila sio rahisi ku-survive bila kuwa na kitu mfukoni. Hiyo pesa ningeipata nilikuwa naweza hata kuwa na factory ya kuzalisha chakula nna uwezo wa kuwa na mini supermarket au hata kununua babaj nizungushe chombo mwenyewe mjini uku hela nyingine naweka akiba.
Tena wanakuwa na kauli chafu na dharau sanaHuu ujinga upo Tanzania pekee. Wakati wa kuchangia sio hiyari, ni lazima. Lakini unapofika muda wa kuchukua pesa yako, wanatka uwabembeleze kijinga utafikiri pesa hiyo wanakupa msaada.
Mkuu sasa naanzia wapi kazi nimetafuta mpaka nimechoka biashara sina mtaji...kila mtu kashanifungia vioo watu hawataki mizingaKwahiyo utaanza paka uipata hiyo pesa unachelewa mkuu, hiyo ihesabu kama bad debts huwanze upya, kila mtu kupitia hali kama yako kwa dizaini tofauti tu move pl z acha kuwomboleza omboleza
Naomba nisaidie hii ndio imekaaje? Na anaefuzu vigezo ni yupi?Naona wamebadisha sheria tarehe 22 May 2022.Na wamerudisha lumpsum amount
Mkuu ofisi za watu unaweza ishia kufungwa usipate waekukuwekea dhamanaWawashie moto ofisini kwao
Au umeshindwa hilo ?
We kinukishe ila usiharibu mali zao toa maneno makali ila sio matusiMkuu ofisi za watu unaweza ishia kufungwa usipate waekukuwekea dhamana
Huu ujinga upo Tanzania pekee. Wakati wa kuchangia sio hiyari, ni lazima. Lakini unapofika muda wa kuchukua pesa yako, wanatka uwabembeleze kijinga utafikiri pesa hiyo wanakupa msaada.