figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
tcha hapo himo panalipa.nunua ndizi kwa reja reja vijijini,nenda kauze kwa jumla pale MWIKA kila jumanne na ijumaa.inalipa sana.au fungua mgahawa hapo njia panda.uwe unauza soup asubuhi mchana msosi jioni makongoro kwa kuwa upo moshi weka ndani angalau kret1 ya soda za cocacola na nyingine ya bia serengeti.ukishindwa kabisa fungua genge hapo mbele ya kituo cha police holili.mia