nisaidieni nipate kazi

nisaidieni nipate kazi

wewe wawapi?huoni kama huyo ni binti kula kwngu wala co hatari hata wewe ukitaka kula kwangu poa tu mi nitakupa msosi na mambo yote yanyotakiwa kupewa wala bure na kama huna kitu cha kucoment next day usipoteze muda wako
 
mimi ni binti mwenye miaka 25 nimemaliza elimu yangu ya juu UDSM in wildlife
science and conservation lakini mpaka sasa sijapata kazi nimeaply mnooo.
Nisaidieni waungwana mwenye uwezo wa kufanya ni pate kazi niko tayari kufanya kazi mkoa wowote ulee.
Mungu awabariki


Hahahahahaaaaaaaaaaa!!!!!! Angalia wanafiki wataanza kuomba rushwa ya ngono! Maana hawa jamaa hawana dogo. Kaa njonjo dear. Halafu usichoke kutafuta utapata
 
Hahahahahaaaaaaaaaaa!!!!!! Angalia wanafiki wataanza kuomba rushwa ya ngono! Maana hawa jamaa hawana dogo. Kaa njonjo dear. Halafu usichoke kutafuta utapata
...Unamjaza hofu au??? Yeye ni mtu matured akiombwa ana hiari kukubali au kukataa kila matamu yana machungu Alois!!!!
 
Back
Top Bottom