Wakuu habari zenu,
Naomba usiache kuchangia kwenye uzi huu ili niweze kupata msaada wa kukabili changamoto nazopitia.
Case yangu iko hivi: Nina uhitaji wa kiasi cha pesa kisichopungua milioni 30. Pesa hii sina uwezo wa kuipata kwa pamoja based on my job monthly income.
Lakini Kuna sense of urgency pesa hii inahitajika ili kutatua pressing needy inayoikabili familia yangu. (Mniwie radhi sitatoa details za issue yenyewe coz ninao ndugu na jamaa humu JF wasije ona nauvua nguo hadharani ukoo wangu)
Uharaka wa kuipata pesa hii umenifikisha bank kadhaa kuangalia kama naweza pata kiasi hiki cha pesa. Hata hivyo nimeishia kuchanganyikiwa tu coz inatakiwa niwe na pesa ya marejesho isiyopungua kiasi cha laki 6.7 kwa muda wa miaka Saba. Yaani unakopa milioni 32 unarudisha milioni 54.
Mbaya zaidi pesa hii tunayohiitaji ni totally for consumption and liability . Yaani sio ya kuzalisha (not for investimate) ila itatuondolea haibu na kumfanya mzazi wangu niliye naye ajisikie vizuri na ku appreciate uzao wa tumbo lake)
Situation inakua tough coz mimi binafsi nahitaji pesa kama nusu ya hiyo ili kuboresha maisha yangu hapa mjini. Kuna mambo niko nyuma sana ukijilinganisha na mate wenzangu wenye status sawa hali inayopelekea kuninyima confidence and ending up being confused and frustrated.
Wakuu katika situation kama hii
Unazani ni sahii kuchukua mkopo umiza utakaonitesa for seven years?
Je, ni wapi napoweza pata pesa bila riba kubwa? (Ninaweza jicommite kiasi cha laki 5 kila mwezi ili nirudishe principal loarn)
Je, katika situation hii kipi kiwe kipaumbele kurejesha tabasamu kwa mzazi na fame ya familia au nijiokoe mwenyewe kwanza?
Wenye uzoefu wa maisha tafadhari usiache kutoa msaada wako wa kimawazo.
Karibuni wakuu
Naomba usiache kuchangia kwenye uzi huu ili niweze kupata msaada wa kukabili changamoto nazopitia.
Case yangu iko hivi: Nina uhitaji wa kiasi cha pesa kisichopungua milioni 30. Pesa hii sina uwezo wa kuipata kwa pamoja based on my job monthly income.
Lakini Kuna sense of urgency pesa hii inahitajika ili kutatua pressing needy inayoikabili familia yangu. (Mniwie radhi sitatoa details za issue yenyewe coz ninao ndugu na jamaa humu JF wasije ona nauvua nguo hadharani ukoo wangu)
Uharaka wa kuipata pesa hii umenifikisha bank kadhaa kuangalia kama naweza pata kiasi hiki cha pesa. Hata hivyo nimeishia kuchanganyikiwa tu coz inatakiwa niwe na pesa ya marejesho isiyopungua kiasi cha laki 6.7 kwa muda wa miaka Saba. Yaani unakopa milioni 32 unarudisha milioni 54.
Mbaya zaidi pesa hii tunayohiitaji ni totally for consumption and liability . Yaani sio ya kuzalisha (not for investimate) ila itatuondolea haibu na kumfanya mzazi wangu niliye naye ajisikie vizuri na ku appreciate uzao wa tumbo lake)
Situation inakua tough coz mimi binafsi nahitaji pesa kama nusu ya hiyo ili kuboresha maisha yangu hapa mjini. Kuna mambo niko nyuma sana ukijilinganisha na mate wenzangu wenye status sawa hali inayopelekea kuninyima confidence and ending up being confused and frustrated.
Wakuu katika situation kama hii
Unazani ni sahii kuchukua mkopo umiza utakaonitesa for seven years?
Je, ni wapi napoweza pata pesa bila riba kubwa? (Ninaweza jicommite kiasi cha laki 5 kila mwezi ili nirudishe principal loarn)
Je, katika situation hii kipi kiwe kipaumbele kurejesha tabasamu kwa mzazi na fame ya familia au nijiokoe mwenyewe kwanza?
Wenye uzoefu wa maisha tafadhari usiache kutoa msaada wako wa kimawazo.
Karibuni wakuu