USIKOPE!
- Hauhitaji pesa kwaajili ya kuwekeza, wewe unahitaji pesa kwaajili ya matumizi. Siku ukimaliza hayo matumizi, utaumia zaidi na marejesho badala ya kupata nafuu. Kopa kwaajili ya kuwekeza au kwa matumizi ya lazima, sio matumizi ya muhimu!
- Kama unaweza kutenga laki tano kwa mwezi kwaajili ya kulipa marejesho ya mkopo, kwanini usiitumie hiyo laki tano kutatua hiyo shida taratibu? With good management, unaweza kufanya kitu kikubwa kwa hatua ndogo ndogo kwa kutumia hiyo laki tano ya kila mwezi na ukabaki kua loan free!
- Acha kujilinganisha na watu wengine. Unajipatia stress zisizo za lazima kwa kujilinganisha na watu ambao hamlingani majukumu, kipato au hata background. Usione watu wanaishi vizuri mjini hapa kaka, kuna mengi nyuma ya pazia. Stay on your godamn lane. Cha msingi ni kupiga hatua hata kama ni taratibu. Being better than yesterday is more than enough!
- kujicommit kwenye mkopo ambao sio kwaajili ya kuwekeza, kwa miaka saba ni hatari. Vipi ukipata shida nyingine hapo katikati? Vipi kuhusu emergency za kila siku? Breaking out of the poverty circle is not a simple thing. Kuna wakati inakubidi upuuzie baadhi ya shida, ili uweze kujipanga na upambane nazo ukiwa tayari.
Peace be upon you!