Naendelea kujifunza .Asante mkuuPole sana mkuu,ninapitia changamoto kama kama yako,nafikiri unahitaji kumjengea mzazi wako nyumba nzuri,na wewe mwenyewe uwe na nyumba nzuri lakini usitumie nguvu kubwa kuwafurahisha wazazi wako.
Tafuta pesa taratibu,lakini usijiingize kwenye MIKOPO,ukijiingiza kwenye mikopo utachangachanyikiwa zaidi,utakuwa na mikopo mikubwa stress unakuwa nazo za kulipa madeni ya mikopo.
Ukikopa utaishia maisha magumu sana kuliko sasa,achana na mikopo mikubwa ili kuwafurahisha wazazi wako,tafuta pesa taratibu usijiweka kwenye mtego zaidi wa ugumu wa maisha kwa kujiingiza kwenye madeni
Aya mkuuHiyo laki tano ya kulipa mkopo uwe unampa mzazi wako Kila mwezi kwa miaka Saba bila riba uone Kama maisha yake hayatabadilika.
Asante , nitazingatiaUsijilinganishe na hao mates zako ambao unaona wamekuzidi; jilinganishe na mates zako ambao wameshafariki, na wengine wakiwa mahospitalini wakipigania maisha yao, na wengine ambao bado wanastruggle kutafuta kazi/biashara; ndipo utaona ni kwa kiasi gani umebarikiwa.
Nimesikia ushauri wako brotherUsikope pesa kwa ajili ya kuifurahisha familia yako. Tupo tuliofanya hivyo, not only that we were not appreciated but it never brought any change. Na hiyo itafanya waone kuwa una pesa nyingi na utatwisha mizigo mingi.
Rome was not built in a day or a year. It took time. Kaa na mzazi wako, zungumza naye mweleze uhalisia wa kipato chako.
Wajibu wako ni kwa wazazi, mkeo na watoto na wazazi wa mkeo ikiwa hawana wa kuwasaidia, but nawe ni kijna wao unapaswa kuwaangalia. Wengine wote ni mizigo, they will never appreciate you, ukiwandekeza utakuona kama shmba la kuvuna, na mwisho watakucheka.
Find happiness in what you earn and let them know you are strugling. usijibebeshe mizigo.
Kama ni kukopa, kopa. anzisha biashara, faida inayotokana na biashara hiyo ndiyo utamsupport mzazi na kubadilisha mazingira ya mzazi taratibu.
Tuanze mchanganuo.Wakuu habari zenu,
Naomba usiache kuchangia kwenye uzi huu ili niweze kupata msaada wa kukabili changamoto nazopitia.
Case yangu iko hivi: Nina uhitaji wa kiasi cha pesa kisichopungua milioni 30. Pesa hii sina uwezo wa kuipata kwa pamoja based on my job monthly income.
Lakini Kuna sense of urgency pesa hii inahitajika ili kutatua pressing needy inayoikabili familia yangu. (Mniwie radhi sitatoa details za issue yenyewe coz ninao ndugu na jamaa humu JF wasije ona nauvua nguo hadharani ukoo wangu)
Uharaka wa kuipata pesa hii umenifikisha bank kadhaa kuangalia kama naweza pata kiasi hiki cha pesa. Hata hivyo nimeishia kuchanganyikiwa tu coz inatakiwa niwe na pesa ya marejesho isiyopungua kiasi cha laki 6.7 kwa muda wa miaka Saba. Yaani unakopa milioni 32 unarudisha milioni 54.
Mbaya zaidi pesa hii tunayohiitaji ni totally for consumption and liability . Yaani sio ya kuzalisha (not for investimate) ila itatuondolea haibu na kumfanya mzazi wangu niliye naye ajisikie vizuri na ku appreciate uzao wa tumbo lake)
Situation inakua tough coz mimi binafsi nahitaji pesa kama nusu ya hiyo ili kuboresha maisha yangu hapa mjini. Kuna mambo niko nyuma sana ukijilinganisha na mate wenzangu wenye status sawa hali inayopelekea kuninyima confidence and ending up being confused and frustrated.
Wakuu katika situation kama hii
Unazani ni sahii kuchukua mkopo umiza utakaonitesa for seven years?
Je, ni wapi napoweza pata pesa bila riba kubwa? (Ninaweza jicommite kiasi cha laki 5 kila mwezi ili nirudishe principal loarn)
Je, katika situation hii kipi kiwe kipaumbele kurejesha tabasamu kwa mzazi na fame ya familia au nijiokoe mwenyewe kwanza?
Wenye uzoefu wa maisha tafadhari usiache kutoa msaada wako wa kimawazo.
Karibuni wakuu
Vyote ulivyoandika viko taken on board bro. But Kuna sense of urgency associated with greater risk for insecurity, poverty circle, and disappointing my familyTuanze mchanganuo.
Mshahara wako kwa mwezi ni kiasi gani?
Kipato cha jumla kwa wewe na mama watoto kwa mwezi ni kiasi gani?
Matumizi kwa jumla kwa mwezi ni kiasi gani?
Majibu ya haya masuali ndo yatokupa uamuzi ukiope kiasi gani benki.
Kutamka tu watakiwa kuwa na 500k kwa mrejesho wa mkopo bank si sawa.
Ila kukopa hutegemea na stable job kama guarantee na pia insurance endapo lolote litatokea.
Na pia kukopa kuendane na mahitaji halisi na si kufurahisha wazazi au mates walokuzidi kipato.
Then if thats the case itabidi ujitose ukope lakini ukiwa na plan wazitumiaje fedha hizo za mkopo.Vyote ulivyoandika viko taken on board bro. But Kuna sense of urgency associated with greater risk for insecurity, poverty circle, and disappointing my family
Yaani wewe unaonyesha ukikopa utakimbia deniWakuu habari zenu,
Naomba usiache kuchangia kwenye uzi huu ili niweze kupata msaada wa kukabili changamoto nazopitia.
Case yangu iko hivi: Nina uhitaji wa kiasi cha pesa kisichopungua milioni 30. Pesa hii sina uwezo wa kuipata kwa pamoja based on my job monthly income.
Lakini Kuna sense of urgency pesa hii inahitajika ili kutatua pressing needy inayoikabili familia yangu. (Mniwie radhi sitatoa details za issue yenyewe coz ninao ndugu na jamaa humu JF wasije ona nauvua nguo hadharani ukoo wangu)
Uharaka wa kuipata pesa hii umenifikisha bank kadhaa kuangalia kama naweza pata kiasi hiki cha pesa. Hata hivyo nimeishia kuchanganyikiwa tu coz inatakiwa niwe na pesa ya marejesho isiyopungua kiasi cha laki 6.7 kwa muda wa miaka Saba. Yaani unakopa milioni 32 unarudisha milioni 54.
Mbaya zaidi pesa hii tunayohiitaji ni totally for consumption and liability . Yaani sio ya kuzalisha (not for investimate) ila itatuondolea haibu na kumfanya mzazi wangu niliye naye ajisikie vizuri na ku appreciate uzao wa tumbo lake)
Situation inakua tough coz mimi binafsi nahitaji pesa kama nusu ya hiyo ili kuboresha maisha yangu hapa mjini. Kuna mambo niko nyuma sana ukijilinganisha na mate wenzangu wenye status sawa hali inayopelekea kuninyima confidence and ending up being confused and frustrated.
Wakuu katika situation kama hii
Unazani ni sahii kuchukua mkopo umiza utakaonitesa for seven years?
Je, ni wapi napoweza pata pesa bila riba kubwa? (Ninaweza jicommite kiasi cha laki 5 kila mwezi ili nirudishe principal loarn)
Je, katika situation hii kipi kiwe kipaumbele kurejesha tabasamu kwa mzazi na fame ya familia au nijiokoe mwenyewe kwanza?
Wenye uzoefu wa maisha tafadhari usiache kutoa msaada wako wa kimawazo.
Karibuni wakuu
Deep inside mapenzi NDIO yanayokuongoza kwenye hili na wala sio uhalisia.Be open bro....I'm trapped in the circle of poverty
Kujilinganisha utokea mkuu ila nimekuwa na discipline Sana , though Kuna nyakati confidence inaniisha kabisa.Yaani wewe unaonyesha ukikopa utakimbia deni
unataka ukope halafu ukae na hela ya taasisi inayofanya biashara kwa miaka saba halafu urudishe kama ilivyo, labda benki za kiislam ambako sidhani kama utarudisha hela jinsi ilivyo
tatizo kubwa unajilinganisha na hao unaowaita mates, kumbuka kila mmoja ametoka kwenye background tofauti
Elimu ni ya kuunga unga tu. Never mind that...Then if thats the case itabidi ujitose ukope lakini ukiwa na plan wazitumiaje fedha hizo za mkopo.
Maisha ni mafupi hapa duniani hivyo chukua maamuzi magumu.
Ila 30M haitatosha itabidi uongeze iwe 50M ufahamu moja walipa deni kwa kipindi fulani.
Riba kubwa ndo msingi wa uendeshaji wa mabenki yetu hivyo hili halikwepeki.
Anza biashara ndogo sana ya chini kabisa ile iwe standard na uwe smart.
Sifahamu elimu yako mkuu si vibaya ukidokeza.
Wafanyakazi wengi nchi hii kipato chao sio zaidi ya 6M kwa mwaka.Deep inside mapenzi NDIO yanayokuongoza kwenye hili na wala sio uhalisia.
Yaani:
1, Huna poverty yeyote mtu mwenye kufanya rejesho la laki 5 kwa mwezi yaani Sawa na sh mil 6 kwa mwaka
2, Huna poverty yeyote mtu mwenye Mishahara wake mwisho wa mwezi
Nachojiuliza ni haya mawili tu:
Moja, iweje ushikwe tamaa kiasi hicho kutaka kufanya Jambo lililo juu ya uwezo wako kiuchumi ili ulinde fame za watu wengine?
Pili, iweje uwaze kufanya Jambo la kufurahisha watu wengine hata kwa kuchezea hela za watu wengine (mkopo), ina maana hujui watu hao wenye hizo hela (mkopo) nao wametaabika kuzipata?
Sisi kijijini kwetu kuna msemo huna tunasema hv:
"The Road to hell is paved by good intentions"
Sasa kazi kwako bro....!
You are welcome.Elimu ni ya kuunga unga tu. Never mind that...
Pesa nayohitaji sio for investimate that's why I'm frustrated
By the way thanks for advise
Kwanini ujilinganishe na mtu sasa? Wewe hama hapo mlipo hamia sehemu yenye hadhi ya uchumi wako!Kujilinganisha utokea mkuu ila nimekuwa na discipline Sana , though Kuna nyakati confidence inaniisha kabisa.
Sina mpango wa kukopa na kukimbia ila riba nayoiona itaniweka kwenye mnyororo wa Umasikini kwa kipindi kirefu.
Mkuu uko sahii kwa sehemu . Binafsi ninakula na kulala mjini bila matusi mengi hapa mjini ila background yangu is a disgrace. Ni majanga kwa maana halisi.Deep inside mapenzi NDIO yanayokuongoza kwenye hili na wala sio uhalisia.
Yaani:
1, Huna poverty yeyote mtu mwenye kufanya rejesho la laki 5 kwa mwezi yaani Sawa na sh mil 6 kwa mwaka
2, Huna poverty yeyote mtu mwenye Mishahara wake mwisho wa mwezi
Nachojiuliza ni haya mawili tu:
Moja, iweje ushikwe tamaa kiasi hicho kutaka kufanya Jambo lililo juu ya uwezo wako kiuchumi ili ulinde fame za watu wengine?
Pili, iweje uwaze kufanya Jambo la kufurahisha watu wengine hata kwa kuchezea hela za watu wengine (mkopo), ina maana hujui watu hao wenye hizo hela (mkopo) nao wametaabika kuzipata?
Sisi kijijini kwetu kuna msemo huna tunasema hv:
"The Road to hell is paved by good intentions"
Sasa kazi kwako bro....!
Madhara ya kupanga apartment Masaki haya!Wafanyakazi wengi nchi hii kipato chao sio zaidi ya 6M kwa mwaka.
Na hivyo hata wakitutumua sana, hawawezi kukopa zaidi ya 15M kwa miaka 7.
Huyu mwenye uwezo wa kufanya matejesho ya Tsh 500,000 kwa mwezi anasema anasema ana po erty circle ni muongo.
Ninachokiona hapa ni TAMAA, kutaka awe kama kina Fulani Overnight wakati watu wanatofautiana.