Nisaidieni, umasikini wa familia unanitatiza

Naendelea kujifunza .Asante mkuu
 
Usijilinganishe na hao mates zako ambao unaona wamekuzidi; jilinganishe na mates zako ambao wameshafariki, na wengine wakiwa mahospitalini wakipigania maisha yao, na wengine ambao bado wanastruggle kutafuta kazi/biashara; ndipo utaona ni kwa kiasi gani umebarikiwa.
 
Asante , nitazingatia
 
Nimesikia ushauri wako brother
Thanks
 
Tuanze mchanganuo.

Mshahara wako kwa mwezi ni kiasi gani?

Kipato cha jumla kwa wewe na mama watoto kwa mwezi ni kiasi gani?

Matumizi kwa jumla kwa mwezi ni kiasi gani?

Majibu ya haya masuali ndo yatokupa uamuzi ukiope kiasi gani benki.

Kutamka tu watakiwa kuwa na 500k kwa mrejesho wa mkopo bank si sawa.

Ila kukopa hutegemea na stable job kama guarantee na pia insurance endapo lolote litatokea.

Na pia kukopa kuendane na mahitaji halisi na si kufurahisha wazazi au mates walokuzidi kipato.
 
Vyote ulivyoandika viko taken on board bro. But Kuna sense of urgency associated with greater risk for insecurity, poverty circle, and disappointing my family
 
Vyote ulivyoandika viko taken on board bro. But Kuna sense of urgency associated with greater risk for insecurity, poverty circle, and disappointing my family
Then if thats the case itabidi ujitose ukope lakini ukiwa na plan wazitumiaje fedha hizo za mkopo.

Maisha ni mafupi hapa duniani hivyo chukua maamuzi magumu.

Ila 30M haitatosha itabidi uongeze iwe 50M ufahamu moja walipa deni kwa kipindi fulani.

Riba kubwa ndo msingi wa uendeshaji wa mabenki yetu hivyo hili halikwepeki.

Anza biashara ndogo sana ya chini kabisa ile iwe standard na uwe smart.

Sifahamu elimu yako mkuu si vibaya ukidokeza.
 
Yaani wewe unaonyesha ukikopa utakimbia deni
unataka ukope halafu ukae na hela ya taasisi inayofanya biashara kwa miaka saba halafu urudishe kama ilivyo, labda benki za kiislam ambako sidhani kama utarudisha hela jinsi ilivyo
tatizo kubwa unajilinganisha na hao unaowaita mates, kumbuka kila mmoja ametoka kwenye background tofauti
 
Be open bro....I'm trapped in the circle of poverty
Deep inside mapenzi NDIO yanayokuongoza kwenye hili na wala sio uhalisia.

Yaani:

1, Huna poverty yeyote mtu mwenye kufanya rejesho la laki 5 kwa mwezi yaani Sawa na sh mil 6 kwa mwaka

2, Huna poverty yeyote mtu mwenye Mishahara wake mwisho wa mwezi

Nachojiuliza ni haya mawili tu:

Moja, iweje ushikwe tamaa kiasi hicho kutaka kufanya Jambo lililo juu ya uwezo wako kiuchumi ili ulinde fame za watu wengine?

Pili, iweje uwaze kufanya Jambo la kufurahisha watu wengine hata kwa kuchezea hela za watu wengine (mkopo), ina maana hujui watu hao wenye hizo hela (mkopo) nao wametaabika kuzipata?

Sisi kijijini kwetu kuna msemo huna tunasema hv:

"The Road to hell is paved by good intentions"

Sasa kazi kwako bro....!
 
Kujilinganisha utokea mkuu ila nimekuwa na discipline Sana , though Kuna nyakati confidence inaniisha kabisa.

Sina mpango wa kukopa na kukimbia ila riba nayoiona itaniweka kwenye mnyororo wa Umasikini kwa kipindi kirefu.
 
Elimu ni ya kuunga unga tu. Never mind that...

Pesa nayohitaji sio for investimate that's why I'm frustrated

By the way thanks for advise
 
Wafanyakazi wengi nchi hii kipato chao sio zaidi ya 6M kwa mwaka.

Na hivyo hata wakitutumua sana, hawawezi kukopa zaidi ya 15M kwa miaka 7.

Huyu mwenye uwezo wa kufanya matejesho ya Tsh 500,000 kwa mwezi anasema anasema ana po erty circle ni muongo.

Ninachokiona hapa ni TAMAA, kutaka awe kama kina Fulani Overnight wakati watu wanatofautiana.
 
Elimu ni ya kuunga unga tu. Never mind that...

Pesa nayohitaji sio for investimate that's why I'm frustrated

By the way thanks for advise
You are welcome.

Ingia front mkuu jitose na ukipata mkopo ambao si kwa investimate basi linda kazi na ulipe mkopo kidogokidogo.

Mkopo huo usiwe kwa matanuzi yaso na maana.
 
Kujilinganisha utokea mkuu ila nimekuwa na discipline Sana , though Kuna nyakati confidence inaniisha kabisa.

Sina mpango wa kukopa na kukimbia ila riba nayoiona itaniweka kwenye mnyororo wa Umasikini kwa kipindi kirefu.
Kwanini ujilinganishe na mtu sasa? Wewe hama hapo mlipo hamia sehemu yenye hadhi ya uchumi wako!

Haya maswala ya kupanga nyumba Masaki ili uonekane una hela yanawaharibu sana vijana. Unapanga nyumba kodi million 1 kwa mwezi wakati kipato chako sungura😅

Mwishowe ndio kukopa ili ufanye anasa maana kipato hakikidhi! Hamia Temeke hutajilinganisha na mtu.
 
Mkuu uko sahii kwa sehemu . Binafsi ninakula na kulala mjini bila matusi mengi hapa mjini ila background yangu is a disgrace. Ni majanga kwa maana halisi.

Nilipokua Kuna value nulijifunza mojawapo ni tabasamu la mama ni baraka na kheri. But ki uhalisia heshima "the fame of my family is at jeopardy na napaswa kufanya kitu ili tuvuke hapo.

Changamoto ni kwamba situation inahitaji pesa ila mazingira niliyonayo Sina option ya kuziangukia bank au huduma za mikopo.

Hapa ndo njia panda niliyoamua kuileta mnisaidie kimawazo ili niweze kufanya maamuzi nikiwa na positive perspective.

So endelea tu kunipa mwanga as JF community.

We love and care
 
Madhara ya kupanga apartment Masaki haya!

Lazma Crown uione kama Corrolla 110 tu na kujiskia aibu 😂😂😂 maana majirani zako vijana wanapush ma 7 series hamna hamna ni ma Audi RS lazma kichwa kiume! Hujakaa vyema mara mwenyekiti wa mtaa kanunua Bentley Bentyaga ya kuendea coco beach Weekend!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…