Its almost thereEmbu kuwa muwazi, kama ni case ambayo inaweza pelekea mzazi wako kufia jela kopa tu uondoe hio aibu kwenye familia ila kama ni ku- furahisha familia achana na mikopo mara moja…
Siku zote first born ndio tunabebeshwa mizigo katika familia, pole sana kwa unayopitia kwa sasa…
Ok broJaribu uingie ktk asasi za kiislamu,, hawanaga riba wale. Wako poa sana
Asante kwa ushauriaiseeee.....kwanza pole.....usikope kwa ajili ya kumfurahisha Bin - Adam........kopa kuwekeza......kaa na mzazi mwenzio muangalie njia stahiki.....hata kama ni tiba.......fanya kwa uwezo wako ukitafuta wafadhili.......endelea kujipa moyo mkuu.....penye nia pana njia....jiamini wewe uko vema...mengine mipango....
Noted with thanksNaona unataka kukopa pesa ujengee wazazi ..
Na wewe pia unataka ukpoe nusu ya 40mol ili 'uboreshe maisha yako mjini hapa" kwasababu ukiwaangali "mates zako " wamekupita kimaisha ....
Maisha sio Mashindano, live your life...
You trying too hard to seek social approval
Kila la kheri mkuu
Mkuu, Kwanza pole kwa whatever unachokipitiia, ila firkiri kwa undani zaidi, kukopa milioni 32, kugharamia 'aibu' na 'hadhi' kama kuna thamani sawa na mateso utakayoyapitia kipindi chote cha mrejesho wa huo mkopo!Wakuu habari zenu,
Naomba usiache kuchangia kwenye uzi huu ili niweze kupata msaada wa kukabili changamoto nazopitia.
Case yangu iko hivi: Nina uhitaji wa kiasi cha pesa kisichopungua milioni 30. Pesa hii sina uwezo wa kuipata kwa pamoja based on my job monthly income.
Lakini Kuna sense of urgency pesa hii inahitajika ili kutatua pressing needy inayoikabili familia yangu. (Mniwie radhi sitatoa details za issue yenyewe coz ninao ndugu na jamaa humu JF wasije ona nauvua nguo hadharani ukoo wangu)
o.
Karibuni wakuu
Hawa wazazi wetu muda mwingine huwa wanatuangusha sana, unakuta anakopa kimyakimya bila kukutaarifu, siku marejesho yakikwama ndio unaona simu ukiwabana kuwauliza pesa mliyokopa mmefanyia nini wanabaki wanakuangalia tu..Its almost there
Good SummaryUSIKOPE!
- Hauhitaji pesa kwaajili ya kuwekeza, wewe unahitaji pesa kwaajili ya matumizi. Siku ukimaliza hayo matumizi, utaumia zaidi na marejesho badala ya kupata nafuu. Kopa kwaajili ya kuwekeza au kwa matumizi ya lazima, sio matumizi ya muhimu!
- Kama unaweza kutenga laki tano kwa mwezi kwaajili ya kulipa marejesho ya mkopo, kwanini usiitumie hiyo laki tano kutatua hiyo shida taratibu? With good management, unaweza kufanya kitu kikubwa kwa hatua ndogo ndogo kwa kutumia hiyo laki tano ya kila mwezi na ukabaki kua loan free!
- Acha kujilinganisha na watu wengine. Unajipatia stress zisizo za lazima kwa kujilinganisha na watu ambao hamlingani majukumu, kipato au hata background. Usione watu wanaishi vizuri mjini hapa kaka, kuna mengi nyuma ya pazia. Stay on your godamn lane. Cha msingi ni kupiga hatua hata kama ni taratibu. Being better than yesterday is more than enough!
- kujicommit kwenye mkopo ambao sio kwaajili ya kuwekeza, kwa miaka saba ni hatari. Vipi ukipata shida nyingine hapo katikati? Vipi kuhusu emergency za kila siku? Breaking out of the poverty circle is not a simple thing. Kuna wakati inakubidi upuuzie baadhi ya shida, ili uweze kujipanga na upambane nazo ukiwa tayari.
Peace be upon you!
You're godamn Smart Ghost.USIKOPE!
- Hauhitaji pesa kwaajili ya kuwekeza, wewe unahitaji pesa kwaajili ya matumizi. Siku ukimaliza hayo matumizi, utaumia zaidi na marejesho badala ya kupata nafuu. Kopa kwaajili ya kuwekeza au kwa matumizi ya lazima, sio matumizi ya muhimu!
- Kama unaweza kutenga laki tano kwa mwezi kwaajili ya kulipa marejesho ya mkopo, kwanini usiitumie hiyo laki tano kutatua hiyo shida taratibu? With good management, unaweza kufanya kitu kikubwa kwa hatua ndogo ndogo kwa kutumia hiyo laki tano ya kila mwezi na ukabaki kua loan free!
- Acha kujilinganisha na watu wengine. Unajipatia stress zisizo za lazima kwa kujilinganisha na watu ambao hamlingani majukumu, kipato au hata background. Usione watu wanaishi vizuri mjini hapa kaka, kuna mengi nyuma ya pazia. Stay on your godamn lane. Cha msingi ni kupiga hatua hata kama ni taratibu. Being better than yesterday is more than enough!
- kujicommit kwenye mkopo ambao sio kwaajili ya kuwekeza, kwa miaka saba ni hatari. Vipi ukipata shida nyingine hapo katikati? Vipi kuhusu emergency za kila siku? Breaking out of the poverty circle is not a simple thing. Kuna wakati inakubidi upuuzie baadhi ya shida, ili uweze kujipanga na upambane nazo ukiwa tayari.
Peace be upon you!
Comments yenye maneno machache sana ila imejitosheleza,good adviceUsijilinganishe na hao mates zako ambao unaona wamekuzidi; jilinganishe na mates zako ambao wameshafariki, na wengine wakiwa mahospitalini wakipigania maisha yao, na wengine ambao bado wanastruggle kutafuta kazi/biashara; ndipo utaona ni kwa kiasi gani umebarikiwa.