Nisaidieni wazazi wangu hawataki nimwoe mmachame

Achana nao wewe si ndo unamtomba hivyo unajua utamu wake!
 

Hapo kwenye red: Naona wazazi watakuwa wanatumia mtazamo huo huo ambao wamachame wako nao dhidi ya makabila (wasukuma) mengine, kwa hiyo mimi naona ngoma drawa.

Back to the topic: Ni juu yako mwenyewe kuamua kuona kipi kinafaa.
 
Mm na dada yangu ni mmachame ameshauwa mme wake wa kwanza sasa tunasubiri huyu msukuma aliyempata tuzike lini ,mwanamke wa kimachame lazima akuue tu tunazaa mabinti ambao ni mafigheter!
 

mimi ni mmachame,dada zetu ni watu ambao wapo very smart katika maisha,wana speed nzuri ya kutafuta fedha,hawalali mpaka maisha yao yawe sawa,sasa inategemea wewe ni kabila gani na speed yako kwenye kutafuta maisha ikoje
 
Mm na dada yangu ni mmachame ameshauwa mme wake wa kwanza sasa tunasubiri huyu msukuma aliyempata tuzike lini ,mwanamke wa kimachame lazima akuue tu tunazaa mabinti ambao ni mafigheter!

ungeandika hivi.sisi ni wamachame dada yako ameshauwa mme wake wa kwanza.mi nafikiri ungefanya haraka kumshauri ampoteze na huyo msukuma kwa sababu wewe unasubri kuzika so nawewe utakuwa ni muuwaji kwa maelezo yako na unaishi na wauwaji.vipi kama wewe ni mmachame MAMA yako alimuuwa BABA yako au? Pole sana mkuu!
 
 
1.Tafuta ndugu zake kama kuna wajane chunguza source ya vifo vya waume zao
2. Wazaz wake ni wawili BABA NA MAMA kama mama yake ni mjane peleleza baba yake alikufa kifo gani .kuwa makini usikurupuke fanya uchunguz .au nenda machame check number ya watoto yatima na wajane waliopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…