Nisaidieni

samua

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2016
Posts
1,029
Reaction score
708
Hali zenu wanajf natumai nyote hamjambo.....nisaidieni mwenzenu nisiwe na mawazo mda wote nakosa raha sili nkashiba silali kwa raha nnachotaka sikijui naona vurugu tuuu pesa ipo bf yupo mtoto nnae sasa sijui nna nini.....
Nisaidieni waungwana........maneno ruksa macho yangu tuu nibakishieni......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta kanisa la kiroho la karibu nenda omba kuonana na mchungaji au wazee wa kanisa, waeleze watakusaidia.

Ikishindikana chukua biblia soma, vitabu vya injili MATHAYO, MARKO, LUKA, YOHANA.
 
Sorry mm ni muislamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali, neno la Mungu ndani ya biblia halisemi kuhusu dini ya mtu,
Yeyote mwenye matatizo anaweza kusaidiwa....hiyo hali ni kawaida kwa mwanadamu ila ni mbaya sana asipo ishughulikia mapema,

Maneno ya faraja ni kwa kila mtu,

Sitaki kuamini kama uko radhi uendelee kuteseka na hiyo hali kwasababu tu wewe ni muislam.!!!!
 
Hio bibilia hata kuigusa sijawahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bf anakula mzigo vzr,anakutoa out,mnaishi pamoja?!
 
Pole sana sina single maza!

Unamtoto halafu una bf hapo ndipo mawazo yako yanapoanzia, jaribu kufocus katika mambo yako huyo bf wako anakupa mawazo kwanini asikuoe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…