samua
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 1,029
- 708
Hali zenu wanajf natumai nyote hamjambo.....nisaidieni mwenzenu nisiwe na mawazo mda wote nakosa raha sili nkashiba silali kwa raha nnachotaka sikijui naona vurugu tuuu pesa ipo bf yupo mtoto nnae sasa sijui nna nini.....
Nisaidieni waungwana........maneno ruksa macho yangu tuu nibakishieni......
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisaidieni waungwana........maneno ruksa macho yangu tuu nibakishieni......
Sent using Jamii Forums mobile app