Nisajili laini gani nyingine tofauti na TTCL na Vodacom?

Nisajili laini gani nyingine tofauti na TTCL na Vodacom?

Ndiyo maana yake. Hali ni mbaya sana kwa sasa.
  • 1000 halotel wanakupa 10dk na 1GB siku 7
  • 1500 Vodacom wanakupa dk 100, sms 40 na 800mb siku 7.
Tigo & Airtel usiguse pamoto sana huko. Laini zao nimeziweka kabatini toka mwaka 2020.
Sasa hivi natumia Vodacom na Halotel (kwa freebasics na sms itakufaa sana Halotel). Kifurushi cha bei kubwa kwa mwezi Halotel ni 1000 tu.
Duuh! Kwahiyo tupambane huku huku mkuu
 
Ndiyo maana yake. Hali ni mbaya sana kwa sasa.
  • 1000 halotel wanakupa 10dk na 1GB siku 7
  • 1500 Vodacom wanakupa dk 100, sms 40 na 800mb siku 7.
Tigo & Airtel usiguse pamoto sana huko. Laini zao nimeziweka kabatini toka mwaka 2020.
Sasa hivi natumia Vodacom na Halotel (kwa freebasics na sms itakufaa sana Halotel). Kifurushi cha bei kubwa kwa mwezi Halotel ni 1000 tu.
Halotel kifurush cha buku wamepunguza MB wanatoa mb600 badala ya gb1
 
Ndiyo maana yake. Hali ni mbaya sana kwa sasa.
  • 1000 halotel wanakupa 10dk na 1GB siku 7
  • 1500 Vodacom wanakupa dk 100, sms 40 na 800mb siku 7.
Tigo & Airtel usiguse pamoto sana huko. Laini zao nimeziweka kabatini toka mwaka 2020.
Sasa hivi natumia Vodacom na Halotel (kwa freebasics na sms itakufaa sana Halotel). Kifurushi cha bei kubwa kwa mwezi Halotel ni 1000 tu.
Kidogo halotel wananivutia kwa buku Gb 1 sio mchezo mkuu
 
Tafuta Tigo mkuu , siumesikia juzi mwanasheria wao anasema siri za wateja wala kwao sio kipaumbele, wale wanaupiga mwingi sana wale wazee wa kwa mpalange
 
Tafuta Tigo mkuu , siumesikia juzi mwanasheria wao anasema siri za wateja wala kwao sio kipaumbele, wale wanaupiga mwingi sana wale wazee wa kwa mpalange
Hahaha tigo sijawahi kuipenda kabisa mkuu
 
Habari wakuu,

Kwa sasa ningependa kuongeza laini nyingine yenye ofa nzuri nzuri za vifurushi, je ni laini gani ingefaaa maana naona nishazichoka voda na TTCL.

Nawasilisha.
Safaricom
 
niko nataka kuongeza halotel ya 3
mimi ni halo , halo na mimi


#watz tusisahau malipo ya serikali hii ni 2025
kama mm tangu hawa jamaa waanze huduma zao zijawahama wala sina hilo wazo

Internet ni [emoji91]

Tz kwenye internet

voda
halotel

wengine wanasindikiza
 
Back
Top Bottom