juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
- Thread starter
-
- #21
Sina team,na hata hapa nishawahi kuweka uzi huu kukemea mambo ya team kwenye muziki,,lakini pia hata huyo diamond nishaweka uzi hapahapa nikijiuliza hivi watu wanapendea nini muziki wake mbona ni mibovu,,mimi sishabikii msanii bali naangalia wimbolazima utakua team mond
basi ushafeli ndugu pole! nyimbo nzuri labda we unaipima kwann ?badirika bas
hapana sinaga mambo ya utimu huoteam diamond bwana
habari ndo hiyo mziki mzuri sasa he! tusisemeSina team,na hata hapa nishawahi kuweka uzi huu kukemea mambo ya team kwenye muziki,,lakini pia hata huyo diamond nishaweka uzi hapahapa nikijiuliza hivi watu wanapendea nini muziki wake mbona ni mibovu,,mimi sishabikii msanii bali naangalia wimbo
Khaa,haya maana kila mtu na upendo wako ila pole kwa kutojua muziki,siku ukisikiliza miziki mizuri utajilaumu sana ulichelewa wapi na utagundua kwamba ulikuwa ni mshambahabari ndo hiyo mziki mzuri sasa he! tusiseme
nashukuru kwa ufafanuzi,nachukia sana uteamSina team,na hata hapa nishawahi kuweka uzi huu kukemea mambo ya team kwenye muziki,,lakini pia hata huyo diamond nishaweka uzi hapahapa nikijiuliza hivi watu wanapendea nini muziki wake mbona ni mibovu,,mimi sishabikii msanii bali naangalia wimbo
chuki pia ni aina ya uchawai tambuaNina utaratibu kwamba nikiisikia nyimbo kwa mara ya kwanza kama sijaupenda basi usitegemee ntaupenda tena,yaani nilivo huwa sio mtu wa kulazimishwa kama watu wengine ambao ili aupende wimbo ni lazima asikilize mara nyingi ndio ataupenda(wanakalilishwa hadi wanakalili).jana niliposikiliza nyimbo yao hiyo kiukweli ni mbaya saaaaana,midundo ni mibovu na hata sauti zao ni mbovu kupindukia hata Hawasikiki maana ni full sound effect.sasa kwa hali hii tutashindana na akina wizkid,dovido kweli?