Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Nakutumia inbox, usiulize nimeipata wapintakugawia hela akintumia uyo mwamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakutumia inbox, usiulize nimeipata wapintakugawia hela akintumia uyo mwamba
Nakutumia inbox, usiulize nimeipata wapintakugawia hela akintumia uyo mwamba
nasubirNakutumia inbox, usiulize nimeipata wapi
Umefunga PMnasubir
We have got to be honest by the tools we use to survive too!!Unachokifanya ndo kinachokufanya usifanikiwe
Ubunifu zero.
Hizi bukubuku za wanyonge kuwa uwasukie mikeka haziwezi kukufanya kufanikiwa.
Vijana mnabidi mbadilike honest is key of life.
Njoo kitambaa cheupe leo usiku mwenyeweSawa mkali, unatuacha achaje sasa hapa
Kitamba cheupe njoo leo dadaAisee una ukwasi wa kutosha jamaa tutazame na sisi masikini
😁😁😁Nikupe namba ya mpesa au Airtel money
Sawa bossMotivation speaker.. Dunia ya sasa kwenye suala la teknolojia hakishindikani kitu kutengeneza hiyo picha. Lipia tangazo
acha kutafta sababu ushashindwaUmefunga PM
Nashukuru kwa ushauriHaya jamani tangazo la kujiunga kwenye group lake kupata odds hilo hapo kiingilio buku tano😁😁😁😁
Ila kama sio tangazo basi HONGERA ..... HIYO HELA NUSU NUNUA KIWANJA .... eneo la maana kama goba ..... maana hela kama hiyo kupotea ni dakika mbili na nyingi utairudisha huko huko betting .. nyingine fanyia biashara
.narudia tena NUNUA kiwanja hata useme nilishinda nikanunua kitu cha maana ... umeshindwa kabisa nunua hata bajaj .. yaani nunua asset yeyote
Lipia tangazo betPawa acha janja janja za nyani
Motivation speaker.. Dunia ya sasa kwenye suala la teknolojia hakishindikani kitu kutengeneza hiyo picha. Lipia tangazo
We have got to be honest by the tools we use to survive too!!
Kijana betting imemtoa mwache atambe nayo!! Wasiwasi wangu ni kuwa inaweza isiwe route sahihi kwa kila mtu, wengi wamefilisika kwa kamali.
Mimi ni Wilfred, mfanyabiashara kutoka Wilaya ya Temeke. Nilibeti TSh1,900 kwenye mechi 25 (24 kati yao zilikidhi masharti ya Bonasi ya Ushindi) na kushinda TSh25,417,020.10.
Ushindi wangu uliongezeka kwa 140% kwa Bonasi ya Ushindi ya betPawa na malipo yangu ya mwisho baada ya kodi yalikuwa TSh54,902,663.41. Hii ni hadithi yangu…
Nilianza kutumia betPawa mwaka 2019 na nilishinikizwa na rafiki yangu. Nilifanya bashiri yangu kwenye mechi 26 (moja ilihairishwa). Kwenye kubeti kwangu nilizingatia timu KUBWA ambazo zinapigania nafasi za juu kwenye msimamo wa mashindano.
Nilipopata habari kwamba nimeshinda, nilikuwa na furaha sana na mtu wa kwanza niliyemwambia alikuwa mke wangu. Pesa nilizoshinda zitanisaidia sana na zitaniwezesha kuendeleza biashara zangu na kuzifanya ziwe KUBWA zaidi.
Nafurahishwa na Bonasi ya Ushindi ya 1000% na mfumo mzima wa kubeti wa betPawa kwa sababu ni mrahisi kutumia. Ningependa kuwaambia wale ambao bado hawajaanza kutumia betPawa waje kujaribu bahati zao huku maskani ya washindi ambapo inalipa papo hapo.
Binafsi, huu ndio ushindi WANGU MKUBWA ZAIDI. Nitawashauri watu wengine wasikate tamaa ila wazingatie kubeti kwa uwajibikaji.
View attachment 2969183
View attachment 2969200