Niseme nini, siwezi kueleza. Stori yangu na betPawa

Unachokifanya ndo kinachokufanya usifanikiwe

Ubunifu zero.

Hizi bukubuku za wanyonge kuwa uwasukie mikeka haziwezi kukufanya kufanikiwa.

Vijana mnabidi mbadilike honest is key of life.
Mkeka umesahihishwa mwezi wa 3/17 ila yeye leo ndo anatujulisha,jiulize mwezi mzima alikuwa wapi??

Acha awatapeli wajinga,na atawafuma
 
Mtu aliekula ml 54 hawezi kuandika gazeti hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…