Shule zinazotumia mitaala ya nje lkn zinasajiliwa hapa nchini na serikali yetu zinaongezeka kila uchwao.
Lakini cha kushangaza ni kwamba waliopewa dhamana ya kutoa usajil kwa shule hizo (wizara ya elimu) hawajisumbui kukagua kwa undani kilichomo ndani ya mitaala hiyo.
Kilichotokea Kilimanjaro wala siyo kosa la walimu wa shule husika. Walimu wanafundisha kinachopaswa kufundishwa ambacho kimeelekezwa na mtaala. Na mtaala huo umeruhusiwa na serikali kupitia wizara ya elimu. Sasa kosa la walimu liko wapi?
Kama kuna kosa basi wa kwanza kuwajibishwa waitwe ni waziri wa elimu na timu yake, waziri wa jinsia na timu yake pamoja na waziri wa mambo ya ndani na timu yake.
Wasitufanyie maigizo ya kufanya vikao vya dharura kuonesha kwamba wanachapa kazi. No! No! No! Waondoke!
Lakini cha kushangaza ni kwamba waliopewa dhamana ya kutoa usajil kwa shule hizo (wizara ya elimu) hawajisumbui kukagua kwa undani kilichomo ndani ya mitaala hiyo.
Kilichotokea Kilimanjaro wala siyo kosa la walimu wa shule husika. Walimu wanafundisha kinachopaswa kufundishwa ambacho kimeelekezwa na mtaala. Na mtaala huo umeruhusiwa na serikali kupitia wizara ya elimu. Sasa kosa la walimu liko wapi?
Kama kuna kosa basi wa kwanza kuwajibishwa waitwe ni waziri wa elimu na timu yake, waziri wa jinsia na timu yake pamoja na waziri wa mambo ya ndani na timu yake.
Wasitufanyie maigizo ya kufanya vikao vya dharura kuonesha kwamba wanachapa kazi. No! No! No! Waondoke!