Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

u said it all

 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ha ha ha....

 
Mie naomba kuuliza ili niuanze mwaka mpya 2019 nikiwa updated.
Kuna sensa ilifanyika humu kujua idadi ya wanawake ni wangapi na wanaume ni wangapi??
Nimepitia comments za watu wanaodai kua wanawake wa humu wengi ni hao aliosema mtoa mada (wangapi) na wachache wanaojielewa (wangapi).

Msaada please [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Daahhh.... Huu uzi unanifungia mwaka. NISEME UKWELI KUWA GUDUME YOU DIDNT FOOL ME KWA ZILE NYUZI ZAKO. nlikuja kugundua we jamaa una akili sema unapenda kujitoa akili kwa makusudi flani. Nlijifunza mengi sana kwako.uandishi wako ni wa pekee ambao ulinifanya nihisi huyu jamaa ni akili kubwa ila anapenda kuchezea uelewa wa watu.

Haya uliyoandika ni kweli. Humu ndani wapo makahaba. Wapo sana na mimi kuna moja lilitaka niingiza mjini nikalizidi maarifa dka za mwishoni kabisa.

Mkuu....uishi milele. Umenifunua sana macho maana kuna mtu kanifuata pm kuwa natoa siri zaksiri zake akidhani nmekwambia kumbe wala maskini ndo nikagundua kuwa hili jiwe limewagonga wengi.

Dada zanguni mtulie. Na sisi wanaume mafisi tutulie pia.
 

Ha ha ha!

Happy Sunday.
 
Naunga mkono hoja yako... Karibu Instanbul...

Sent from Ottoman empire Servers
 
NGOJA NISEME UKWELI NA MIMI

Mkuu ulichoandika ni kweli kwa asilimia 100. Kama kuna watu ambao walikuwa wanakuchukia humu ndani basi MIMI NILIKUWA NAMBA MOJA KWA KUMCHUKIA GUDUME. Nakumbuka nlishaandika sana nyuzi za kumlaani na kusema nitamtanya jambo flani.

Nlibadili ID yangu nikatafuta sababu ya kuonana naye ili nijue nifanye nini. Jamaa anionana nami lakin katika namna ambayo alikuwa na umakini flani nilikuja jifunza baadaye. Tulionge sana posta karibu na jengo la NIDA kuna mgawahawa wasomali mzuri.

Jamaa nligundua ni mtu smart, anajiamini na ana uelewa mkubwa sana.tulipiga stories ni tofauti na anavyoonekana humu ndani.TOFAUT SANA. alinisaidia kwa jambo ambalo nlikuwa nmejifanya kama ni tatizo ila alinipa namna ya kutatua ambayo nikasema ningekuwa na hilo tatizo kweli angekuwa amenisaidia sana.

Nje ya JF hapendi kuzungumzia JF. nlishangaa kwa nini. Nje anasema yeye si Gudume.so leo nmeelewa sana. Humu JF KUNA WATU WANA AKILI NA UELEWA MKUBWA. NASHUKURU SANA SINA CHUKI NAYE na yule dada kahaba ambaye alisababisha haya nimemsamehe ila ajifunze kitu pia. Maana hakufanikiwa hata kwa gudume.
 
Juzi juzi nliandika uzi humu kuhusu jambo hili. Bro umelisema kama ambavyo nliliwazia kabisa. Mimi ni mmoja ya watu ambao wanavutiwa sana na nyuzi zako na aina yako ya uandishi. Ndo ulinifanya nijiunge JF na pia somebody Hanga kwa sasa.

Nmekutana na makahaba humu. Wapo na pia hata MASHOGA WAPO tena wengi sana. Hawa walikuwa wananifuata na kunishauri niachane mademu pasua kichwa kama vipi waniungnishe ni mtu anayeweza nipa raha mpka basi. Wamo humu mashoga. Wengi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…