Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Tupite huko tukagundue nini??? Kama ambavyo vidole havilingani na sisi hatulingani. Kila mtu aingie anapoona atapata pumziko iwe siasa au Jf Palace

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kumbe hata we mzee unaakili, ndio nimejua leo
 
Sasa jeee. Kushindwa jukwaa fulani hakumfanyi mtu kuwa GT au kuwa bora zaidi ya member wengine.
Cha msingi huku sisi watu wazima kila mtu anajua anachokifanya. Kama mtu unamuona kituko sababu anashinda MMU kuna mwenzio anavutiwa nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa mmoja wa waathirika tangazo la mke na uchumba nimeweka ila sasa wanakuja watu wanashangazaa yani nikitoa ushuhuda wa wadada wa6 niliokutanana nao baada ya kuelewana pm inashangaza nataka mke mtu kaja na wenzake 5 aisee first meeting wana vikuku...tatoo...na fegi ju nusura nizimie nikajikaza kiume nikalipa bili baada ya hapo nikawaaga nikiwa nimewaachia konyagi na serengeti lite 3 .3 huyo dada hapo kazalishwa na bado ana akili hiyo jamani wadada mmerogwa vibaya....niko zangu naendeleza usingle kuliko vituko sio domo zege kama mnavotuita ila tuna mambo mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]acha kabisaa...Mimi nampendaga sana mzigua,sanaaaaa....she is she,herself and her...no pretending....!!! Luv her!!!Bonge La mdada,akili nyingi!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Aweeeeeeee. Nakupenda pia mkwe wangu. Mie mwenzio kufake kulinishinda ndio maana siogopi kusema wala kufanya kitu humu na najua wapo rafiki zangu wanaonijua Ile Ile wapo sasa nikiigiza namdanganya nani jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NI KWELI ULICHOANDIKA, KINAENDANA NA UTAFITI WANGU KWA %

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkwe kwani unakaribia kufa? Sio kwa kunisifia huku jamani. Mwanangu anakusalimia kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1] sifi mpk mwanao awe mume wangu nitampriyanka tu hakuna namnaaa!!!

Sijasifu ndo ukweli wenyewe...

Msalimie hendisam wangu wa baadae!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…