Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Mwanaume anaetangaza kutafuta mchumba kama anaangiza gari kwanza ni domo zege pili hana akili...mke hatafutwi kama mnada bora uende hata badoo ujichagulie wapo malaya na wapo waliotulia.!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tatizo hujatoa ushahuri sisi madomo zege tutumie njia gani ili tuondokane na udomo zege
 
[emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]huyo manzi sio mzima kwa kweli hizo sio akili matope!!!
Najua najua " ... mtoa mada hajaongelea udangaji tu pekee amezungumzia " Uwezo wa kufikiri kwa baadhi ya members pia "kuwa ni mdogo " na wao wapo humu humu wana vimba kwamba ni ma-great thinkers kwamba inapotokea wakakutana huko " huwa wana discuss utumbo badala ya kuonyesha u-great thinkers wao walionao " .... Imagine kuna jamaa hapo nimeona ametoa mchango wake kwamba kuna manzi alikutana nae humu akawa anamtumia mpaka clip akiwa anafanyana na mchepuko wake (huyo manzi ni mke wa mtu) so waweza kuona kwamba humu pia kuna watu wenye akili za namna gani " !!!

Hahahaaa kwani aliye kwambia kwamba " (MA-INTELLIGENCE HAWA DANGI NI NANI )



Sent using Jamii Forums mobile app
Vitu vingine hata std 7 failure hafanyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuonana naye but anaonekana ni Bonge la Mdada anayejua kuishi maisha yake asiyefake mkweli na si mnafiki.
[emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]acha kabisaa...Mimi nampendaga sana mzigua,sanaaaaa....she is she,herself and her...no pretending....!!! Luv her!!!Bonge La mdada,akili nyingi!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom