Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Tumooo kudanga sio dhambi atii[emoji28][emoji28][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji6][emoji6]Kama kweli vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumooo kudanga sio dhambi atii[emoji28][emoji28][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji6][emoji6]Kama kweli vile
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mwanaume anaetangaza kutafuta mchumba kama anaangiza gari kwanza ni domo zege pili hana akili...mke hatafutwi kama mnada bora uende hata badoo ujichagulie wapo malaya na wapo waliotulia.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nong'oneze ni wajue tafadhaliYaani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kuna watu wanachangia kama malaika vile[emoji1][emoji1]wakati poooooohhh!!ngoja nkae kimya miye...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitu vingine hata std 7 failure hafanyiNajua najua " ... mtoa mada hajaongelea udangaji tu pekee amezungumzia " Uwezo wa kufikiri kwa baadhi ya members pia "kuwa ni mdogo " na wao wapo humu humu wana vimba kwamba ni ma-great thinkers kwamba inapotokea wakakutana huko " huwa wana discuss utumbo badala ya kuonyesha u-great thinkers wao walionao " .... Imagine kuna jamaa hapo nimeona ametoa mchango wake kwamba kuna manzi alikutana nae humu akawa anamtumia mpaka clip akiwa anafanyana na mchepuko wake (huyo manzi ni mke wa mtu) so waweza kuona kwamba humu pia kuna watu wenye akili za namna gani " !!!
Hahahaaa kwani aliye kwambia kwamba " (MA-INTELLIGENCE HAWA DANGI NI NANI )
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji1][emoji1][emoji1]acha kabisaa...Mimi nampendaga sana mzigua,sanaaaaa....she is she,herself and her...no pretending....!!! Luv her!!!Bonge La mdada,akili nyingi!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aheri ya hayo kwa kweli Mimi pia nimeona bora niwe mdogo siku hzHahaaa mie nimechaguaga kuwa mshamba tu huku JF tena nisiye na Backup
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa mbona mna tunyanyapaa sana sisi darasa la 7 tumewakosea nini !!?[emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]huyo manzi sio mzima kwa kweli hizo sio akili matope!!!Vitu vingine hata std 7 failure hafanyi
Sent using Jamii Forums mobile app
100%true!!ukikaa nae 5mins unajifunza kitu!!!nampendaga Mimi!!!Sijawahi kuonana naye but anaonekana ni Bonge la Mdada anayejua kuishi maisha yake asiyefake mkweli na si mnafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
100%true!!ukikaa nae 5mins unajifunza kitu!!!nampendaga Mimi!!!
Zungu la rohooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa mbona mna tunyanyapaa sana sisi darasa la 7 tumewakosea nini !!?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama jukwaa la siasa? ambako kuna watu hata Rais Magufuli akiingia toilet utasikia "hatujawahi kuwa na rais bora kuliko huyu, anaingia toi kwa wakati"
Sent using Jamii Forums mobile app
Bibi w[emoji1][emoji28]acha kabisaa...na tulivyo wabovu sura nzito kama uji wa ulezii!!!!ntakufa hapo hapo
Bibi w[emoji1][emoji28]acha kabisaa...na tulivyo wabovu sura nzito kama uji wa ulezii!!!!ntakufa hapo hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani tukishinda huku mnateseka?Hahaa una wapa backups wenzio wewe watie ujinga tu " wakati wewe haushiriki kuishi kwenye ujinga huo " ...
Nimeshakuona mara kibao kwenye jukwaa la biashara uki-discuss biahara za kuuza viazi na mchele ..
Sent using Jamii Forums mobile app