Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Lakini na nyie. Members wengine muwage basi mnajitahidi kupitia pitia kwenye majukwaa mengine basii

Yaani nyinyi kila siku ngono tu kweli "

Binafsi huwaga nakuja MMU kwaajili ya kupata Ucheshi " nasio vinginevyo maana comments za watu wa jukwaa hili huwa ni zawatu wanao onyesha kwamba wamevurugwa mno aise ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna usemi unasema "unachokiandika asilimia 70 kinaonesha wewe ni mtu wa namna gani"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly!!! Yaani humu ni chuo cha mafunzo!!!akili kumkichwa ukilemaa umeachwa feri
Umeongea vyema " sana ... binafsi Jf imenifanya niweze kuijua vyema Jamii ya watu wetu ilivyo " huko nje watu wengi wana ishi maisha yao " kwa ku-fake maisha " ila uhalisia wa maisha yao upo humu .... huko nje wana jifanya ni watu smart sana "

Ila wakiwa humu ni waropokaji wakubwa " watukanaji ..wazinzi .malaya wa level ya PHD mbaya zaidi sasa kuna wanao fake huko nje mpaka humu wana fake lakini pm zao zimejaa mataka taka yote kiasi kwamba hata mods wakiyapitia wanabaki kuachama midomo wazi (gossshhh si fulani huyu !!!!!)

Hii ndio sababu iliyonifanya niupende huu mtandao kwa sababu watu wako real zaidi " tofauti na jinsi walivyo katika maisha ya kawaida .... ina saidia kuweza kukufanya uielewe vyema jamii yako ... hata ikitokea siku ukisikia mtakatifu fulani kabaka hauwezi kushangaa kwa sababu utakuwa umeshajua kwamba ule utakatifu aliokuwa amejipachika haikuwa rangi yake halisi bali ni fake tu ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu humu wanashinda Siasani tu,intelligence na jf palace ila mabingwa wa PM kwa wadada [emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]yaani hao wanacheza na PM tu humkuti MMU au chit chat hata siku1

Kuna wengine wana I'd za MMU na hayo majukwa. Mengine[emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38]pia..mnayosema ya great thinkers!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NGOJA NISEME UKWELI NA MIMI

Mkuu ulichoandika ni kweli kwa asilimia 100. Kama kuna watu ambao walikuwa wanakuchukia humu ndani basi MIMI NILIKUWA NAMBA MOJA KWA KUMCHUKIA GUDUME. Nakumbuka nlishaandika sana nyuzi za kumlaani na kusema nitamtanya jambo flani.

Nlibadili ID yangu nikatafuta sababu ya kuonana naye ili nijue nifanye nini. Jamaa anionana nami lakin katika namna ambayo alikuwa na umakini flani nilikuja jifunza baadaye. Tulionge sana posta karibu na jengo la NIDA kuna mgawahawa wasomali mzuri.

Jamaa nligundua ni mtu smart, anajiamini na ana uelewa mkubwa sana.tulipiga stories ni tofauti na anavyoonekana humu ndani.TOFAUT SANA. alinisaidia kwa jambo ambalo nlikuwa nmejifanya kama ni tatizo ila alinipa namna ya kutatua ambayo nikasema ningekuwa na hilo tatizo kweli angekuwa amenisaidia sana.

Nje ya JF hapendi kuzungumzia JF. nlishangaa kwa nini. Nje anasema yeye si Gudume.so leo nmeelewa sana. Humu JF KUNA WATU WANA AKILI NA UELEWA MKUBWA. NASHUKURU SANA SINA CHUKI NAYE na yule dada kahaba ambaye alisababisha haya nimemsamehe ila ajifunze kitu pia. Maana hakufanikiwa hata kwa gudume.
Doooh jaman
 
Exactly!!! Yaani humu ni chuo cha mafunzo!!!akili kumkichwa ukilemaa umeachwa feriKuna watu humu wanashinda Siasani tu,intelligence na jf palace ila mabingwa wa PM kwa wadada [emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]yaani hao wanacheza na PM tu humkuti MMU au chit chat hata siku1

Kuna wengine wana I'd za MMU na hayo majukwa. Mengine[emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38]pia..mnayosema ya great thinkers!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa full ku-fake mamaee " ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wadangaji wapo mpk intelligence sasa nkuambie!!!!msione mkadhani

Sent using Jamii Forums mobile app
Najua najua " ... mtoa mada hajaongelea udangaji tu pekee amezungumzia " Uwezo wa kufikiri kwa baadhi ya members pia "kuwa ni mdogo " na wao wapo humu humu wana vimba kwamba ni ma-great thinkers kwamba inapotokea wakakutana huko " huwa wana discuss utumbo badala ya kuonyesha u-great thinkers wao walionao " .... Imagine kuna jamaa hapo nimeona ametoa mchango wake kwamba kuna manzi alikutana nae humu akawa anamtumia mpaka clip akiwa anafanyana na mchepuko wake (huyo manzi ni mke wa mtu) so waweza kuona kwamba humu pia kuna watu wenye akili za namna gani " !!!

Hahahaaa kwani aliye kwambia kwamba " (MA-INTELLIGENCE HAWA DANGI NI NANI )



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom