Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Tupo sare sare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha humu leo pamechafuka Mkuu " ....Mzee wa chombeza ushafika
[emoji1][emoji28][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
"Chizi katoa wazo"...…..kama mawazo ya chizi tu yanaheshimiwa kwa nini ya mlevi yapuuzwe.Sasa kama ni Maneno yaliyo semwa na mlevi basi haya paswi kutiliwa maanani " .....
Hahaha hii fasihi yako mbona kama ni jiwe gizani hili !!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ni kweliUtaharibu kama una malengo ya kutafuta mtu
Ila siyo kila aliyeko ntandaoni anatafuta mwenza
Wengine wapo kupoteza muda
Lakini na nyie. Members wengine muwage basi mnajitahidi kupitia pitia kwenye majukwaa mengine basii
Yaani nyinyi kila siku ngono tu kweli "
Binafsi huwaga nakuja MMU kwaajili ya kupata Ucheshi " nasio vinginevyo maana comments za watu wa jukwaa hili huwa ni zawatu wanao onyesha kwamba wamevurugwa mno aise ...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji4][emoji4][emoji16][emoji38][emoji38][emoji28]kuna vituko humuuuTunaanza kupangiana mpaka majukwaa ya kwenda?!!!
Hahaa una wapa backups wenzio wewe watie ujinga tu " wakati wewe haushiriki kuishi kwenye ujinga huo " ...Tunaanza kupangiana mpaka majukwaa ya kwenda?!!!
Population yake ni wanawake aliokutana nao wakati anatafuta mke. Mimi hata huo uzi sijawahi kuuona.Kwa hiyo unadhibitisha kuwa upo katika population yake hivyo kuwa na chance ya kufall katika sample zake ? Usisahau population yake ni wadada wa JF alokutana nao
Huyo anawatia ujinga wasio jielewa " wakati yeye muda mwingine una mkuta international forum[emoji16][emoji4][emoji4][emoji16][emoji38][emoji38][emoji28]kuna vituko humuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa una wapa backups wenzio wewe watie ujinga tu " wakati wewe haushiriki kuishi kwenye ujinga huo " ...
Nimeshakuona mara kibao kwenye jukwaa la biashara uki-discuss biahara za kuuza viazi na mchele ..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji4][emoji4][emoji16][emoji38][emoji38][emoji28]kuna vituko humuuu
Sent using Jamii Forums mobile app