Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Kabisaaa snaga habariii mm[emoji23][emoji23][emoji23]ccm mbele kwa mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mmepambana wanawake mliochangia huu uzi,mimi naona kama mmevuliwa nguo flani hivi,hasa mtu kwa mtu aliyetoa huu uzi kujinadi kuwa na umri mkubwa! Angekuwa middle age ni sawa. Busara haikutumika,hata kama kuna ukweli! Sidhani kamavmkewe ni mkamilifu,mbona hakutupia tips chache za upungufu wa mkewe,mi naona kiki flani hivi,na wanaume wasiojiamini pekee ndio wamesapoti hii slend. Mi najiondoa .faragha ibaki kuwa faragha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunywaa soda Jf kichaka cha gizaaa
Ila mmepambana wanawake mliochangia huu uzi,mimi naona kama mmevuliwa nguo flani hivi,hasa mtu kwa mtu aliyetoa huu uzi kujinadi kuwa na umri mkubwa! Angekuwa middle age ni sawa. Busara haikutumika,hata kama kuna ukweli! Sidhani kamavmkewe ni mkamilifu,mbona hakutupia tips chache za upungufu wa mkewe,mi naona kiki flani hivi,na wanaume wasiojiamini pekee ndio wamesapoti hii slend. Mi najiondoa .faragha ibaki kuwa faragha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesu gani unae kwa maneno hayo unayoandika? Sio kila kitu lazima ushabikie.yesu mwenyewe aliheshimu wanawake sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mwanamke niache kabisa,

Hivi unajua nyie ndo mlituletea dhambi hapa duniani

Shetani niepushe kabisa

Mimi sijawahi kukutongoza humu ujue kwanza

Niache kabisaaaaaaa

Endelea kutafuta wanaume ila mimi niache kabisaaaaaa

Mimi siyo type yako kabisaaa

Natembea na wanawake wasafiiiiiii

Type kama zari vileeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mmepambana wanawake mliochangia huu uzi,mimi naona kama mmevuliwa nguo flani hivi,hasa mtu kwa mtu aliyetoa huu uzi kujinadi kuwa na umri mkubwa! Angekuwa middle age ni sawa. Busara haikutumika,hata kama kuna ukweli! Sidhani kamavmkewe ni mkamilifu,mbona hakutupia tips chache za upungufu wa mkewe,mi naona kiki flani hivi,na wanaume wasiojiamini pekee ndio wamesapoti hii slend. Mi najiondoa .faragha ibaki kuwa faragha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu anaungia Jf kwa bundle lake bna
Kila mtu ana Uhuru wa kuandika atakacho.
Uzuri hatuishi humu Jf.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyooooooooooniweke screen[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mwanamke niache kabisa,

Hivi unajua nyie ndo mlituletea dhambi hapa duniani

Shetani niepushe kabisa

Mimi sijawahi kukutongoza humu ujue kwanza

Niache kabisaaaaaaa

Endelea kutafuta wanaume ila mimi niache kabisaaaaaa

Mimi siyo type yako kabisaaa

Natembea na wanawake wasafiiiiiii

Type kama zari vileeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom