Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wapelelezi , humu wanapeleleza nini ,hasa kwenye uzi kama huu,oooh gosh sasa nimepata jibu kwanini gudume kafanya utafiti ,haaahaa, demiiis now you want to tell me ur spy in stead of kudangaaa.. Hahahahaa ( joking)Uzuri hakuna mwanamke Jf anategemea wanaume wa Jf usione hivi tuna maisha yetuuu na huku tunakujaga kuzuga wengine wapelelezi kwahiyo kuwa makini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wapelelezi , humu wanapeleleza nini ,hasa kwenye uzi kama huu,oooh gosh sasa nimepata jibu kwanini gudume kafanya utafiti ,haaahaa, demiiis now you want to tell me ur spy in stead of kudangaaa.. Hahahahaa ( joking)
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa poa, i love you the way urr..!Mtu anashinda jf masaa 24 jiulize anakula saa ngapi anapata wapi hela ya bundle kuwa makini[emoji23][emoji23][emoji23]utaliwaaaa
Alafu hii vita huwez ielewa wajanja tupo kimyaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dude, trust me, im more of a socially akward loser...I bet you are anything but 3. I'm number 3...LOSER to be precise.
Hapana mkuu, yaani nimejikuta tu nauliza maana sijui kama humu kuna Ke...[emoji45] [emoji45]
Hahahahah... Braza... Mara kadhaa nimeona post zako za wasiwasi wa hizi jinsia...Hapana mkuu, yaani nimejikuta tu nauliza maana sijui kama humu kuna Ke...[emoji45] [emoji45]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, ujue misijawahi kujiona na member yeyote wa jf. Sasa hii inanipa wakati mgumu sana kuamini kama kweli jf kuna Ke.Hahahahah... Braza... Mara kadhaa nimeona post zako za wasiwasi wa hizi jinsia...
Kuna siri unaijua nini?
Hahahahah...Hapana mkuu, ujue misijawahi kujiona na member yeyote wa jf. Sasa hii inanipa wakati mgumu sana kuamini kama kweli jf kuna Ke.
Ama kwa lugha nyepesi, mimi ni tomaso na hadi nione ndipo nitaamini mkuu, maana humu jf people are very janja sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenishinda tabia ulikuwa wapi hujaona madongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamaya maana yake ni nn?Hahaa naona kuna na aliyekufungulia uzi kabisaHivi we GuDumee utaacha lini tabia ya kumfungulia nyuzi humu kila mwanamke aliyekuchuna? - JamiiForums
Hahahaha, nilikua ktk ugimbi, kwangu mm week end km hii ugimbi ndio muhimu
Ila ni ya kweli haya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mwanamke niache kabisa,
Hivi unajua nyie ndo mlituletea dhambi hapa duniani
Shetani niepushe kabisa
Mimi sijawahi kukutongoza humu ujue kwanza
Niache kabisaaaaaaa
Endelea kutafuta wanaume ila mimi niache kabisaaaaaa
Mimi siyo type yako kabisaaa
Natembea na wanawake wasafiiiiiii
Type kama zari vileeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Umefurahi sana,dada asiyeishiwa hamuHahahahhahahhahhahhahahhahahhahahhahahahhahahahhahahahhahahahahhahahhahahhahahhahhahhhaaaaaaaaaaa