Sidhani labda mtu afunge masikio asiwasikilize ila kutongozwa kupo.Kweli ila niulize maana sijui kuhusu hili,,
Hivi wakati mwingine kuna age ukifika au kulingana na life style uliyo nayo au iliyo kuzunguka ni ngumu sana kutongozwa tongozwa kitaa???
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaumwa mm madanga nitayapata wapi nikipigwa ban fekero langu lipo kazin siwez kulitumia
Sasa si ungefungua Uzi tu mkuuhabari zenu jamani
Tukumbuke kumwomba Mungu , kipindi , hiki cha kuelekea mwisho
Wa mwaka kuliko kutupiana madongo yasiyo na lazima
Tumwombe mungu msamaha kwa uzinzi mbali mbali tuliofanya , mimi nusura nimsaliti mke wangu nlkua nshavua kila kitu when i rememberd my hunny's face , i steped out frm that ideal
GOD is mercifully kwa makosa yetu kwa dini zetu zote , ingawa mimi naamini uwepo wa mungu ila dini mmmh !!
MWAKA ujao ukawe wa mafanikio kwetu , tu avoid vitu vya kipumbavu ambavyo havitoteletea msaada wowote
Mfano jamani wakina kaka na baba, tujitahidi kuzitunza family zetu kuliko side chicks , tafuta negotiation yeyote uishi vizuri na yule unayempenda. Huyo side chick she will just use you hafu you know what , the day you get a problem ni family yako itakua na wewe
Onyesha upendo sio kwa wife tu start with your children , do things to them as your responsibility ...
Mimi kwa mfano kila jumamosi , nyumba ni kubwa , mimi my son swalehe (not his real name )na dada ake na mama ake huwa tunacheza kombolela yaani serious kombolela na michezo mingine mingi sana
Mimi kupika mboga kama mama swalehe kapika wali is an easy thing
We love each other , we care each other , tunachukuliana mapungufu yetu
Na kwa wadada na wanawake nadhani kinachowaponza sana ni mdomo mdomo mdomo maweee ma dears mdomo , hakuna mwanaume anayependa mdomo kutoka kwa mwanamke , simaanishi ukionewa ukae kimya ila tafuta best way ya kuleata negotiation , sio kumfokea hubby wako ka mtt
Huu uwe mwaka wa kuketa tumain jipya kwetu sote watanzania , tufanye mambo yetu kwa umakini , tukitumia akili zetu kwa usahihi
Nawapenda mno wana jf , sina chuki na mtu humu , zaidi zaidi nimekuwa ni mtu wa matani sana
Naomba mniombee wakuu nimalize phd yangu salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasoro mm ujueNina sms 27 zoteee za wanaume wa Jf kama haupo hapaaa jiangalie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 981764
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina sms 27 zoteee za wanaume wa Jf kama haupo hapaaa jiangalie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 981764
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila kuliwa ni raha acha watuonee wivu tu. Ukiona mwanaume anaona mwanamke kuliwa ni big deal ujue anatamani na yeye angekua analiwa tatizo hana [emoji197][emoji197][emoji197]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wii usiingie kwenye mtego wao. Ya pm yaache usilete ushahidi ila wajue tunawachoraNina sms 27 zoteee za wanaume wa Jf kama haupo hapaaa jiangalie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 981764
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdharau huyo..I'd yake inajielezea ..mwanaume hawezi andika ushubwada kama huo
Mbona unajitetea Julius subiri tuone unavyojilalamisha. Sema wewe hata ukipewa haina shida hutusemagi wadangaji. San sana anaekuletea mdomo unampa dudu anakaa kimya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sipo hapo! [emoji817]% fact!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitaumwa mm madanga nitayapata wapi nikipigwa ban fekero langu lipo kazin siwez kulitumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani labda mtu afunge masikio asiwasikilize ila kutongozwa kupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kuwa unavyotaka kuwa usiwe mnafki. Huku watu wanafki sana. Kuna mwanaume anajifanya mstaarabu sijui hatongozi lakini kuwa anashinda pm kwa wadada. Au mwingine anakua na ID mbili moja anajifanya mtu wa busara ila nyingine ni takataka ambayo hata jalala haiitaki kwa uchafu wake.
Ukiishi huku kuwa wewe. Usifuate mkumbo. Usiwe mnafki au kujiona wewe ndio msafi sana. Kutwa kunyooshea wengine vidole. Kusema sema wanawake wanadanga wakati ndo unashinda pm zao. Na sisi tunawachoraga tu mnavyojishaua huku ila pm mnajitumisha mimeseji
Sent using Jamii Forums mobile app
Oou oouk Naona mnarusha mashambulizi kwa mbali mbali.. Muhimu msogee karibu karibu tufunge mwaka..[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahhahaha yani acha tu piemu watu wanashinda huku ila ni watakatifu tunawachora tu shweeenzy nyieeee
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]NMEAMIANI ALICHOSEMA MLETA UZI. Kuna makahaba toka jana yanazunguka zunguka humu kujikosha na kujisafisha. Yameacha kulea au sijui hayana kazi. Yanacheka cheka na kusupportiana kwa namna mbalimbali
Mwanaume FISI AKIJA KWA AKILI NDOGO TU KWENYE HUU UZI ATAONDOKA NA MIZOGA MINGI. imo inazunguka zunguka tu kutafuta mabwana. Halafu mnakuja kulalamika hakuna waoaji siku hizi. Utaolewaje huna hata heshima na sisi waoaji tunataka mwanamke anayejiheshimu?
Mimi kwenye huu uzi nimeunganisha dots. Wahusika kwa asilimia 95 bado wamo humu humu kwenye uzi wanazunguka zunguka huku nao wakizungukwa na inzi.
Yeye mtoa mada ameendelea na maisha yake.katuachia sisi mafisi [emoji23][emoji23][emoji23] (sometime) na mizoga yetu imo humu humu. Wanawake wenye akili wamejibu mara moja then wamekuwa busy na maisha yao.
kumbe huwa unanichora honey!Hapana kuwa unavyotaka kuwa usiwe mnafki. Huku watu wanafki sana. Kuna mwanaume anajifanya mstaarabu sijui hatongozi lakini kuwa anashinda pm kwa wadada. Au mwingine anakua na ID mbili moja anajifanya mtu wa busara ila nyingine ni takataka ambayo hata jalala haiitaki kwa uchafu wake.
Ukiishi huku kuwa wewe. Usifuate mkumbo. Usiwe mnafki au kujiona wewe ndio msafi sana. Kutwa kunyooshea wengine vidole. Kusema sema wanawake wanadanga wakati ndo unashinda pm zao. Na sisi tunawachoraga tu mnavyojishaua huku ila pm mnajitumisha mimeseji
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezi kufika huko. Tunawaheshimu kaka zetu japo nyie mnajiona malaikaOou oouk Naona mnarusha mashambulizi kwa mbali mbali.. Muhimu msogee karibu karibu tufunge mwaka..[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana wewe sio kama hawa ndegelesi wengine.
Mbona unajitetea Julius subiri tuone unavyojilalamisha. Sema wewe hata ukipewa haina shida hutusemagi wadangaji. San sana anaekuletea mdomo unampa dudu anakaa kimya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Heheheheeeeee!
Hakika ushanijulia vizuri saaana!
Sasa hii heshima itakua yakinafki tupeane black and white..Hatuwezi kufika huko. Tunawaheshimu kaka zetu japo nyie mnajiona malaika
Sent using Jamii Forums mobile app