huyo ni fundi kwa mambo ya elimu na hajivungi kukusaidia katika elimu ikufaayo so hata hayo naona ilikuwa katika kujenga, namwelewa sanaWewe kuna sehemu nilishagakuona unaongelea mambo ya taxation, sijui inflation, na manini yale sijui mengine.
Nikajisemea kimoyomoyo....kumbe baby mama si haba!
Bora iwe ivo mkuu kwa maan dunia imebadilika saan
Shukrani mkuu.huyo ni fundi kwa mambo ya elimu na hajivungi kukusaidia katika elimu ikufaayo so hata hayo naona ilikuwa katika kujenga, namwelewa sana
Kama mimi. Yani kuna sehemu nasoma najiona mbona kama mimi halafu nasoma tena najiona. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo nlikuwa naamini wanawake walioko JF ni big brains, smart ones. Nikajiaminisha kwamba hapa ndo mahali pazuri pa kupatia mchumba.
Sikuwahi kuandika uzi wa kutafuta mchumba, but nimewafuata wale wanaotafuta kwenye PM zao sana. Nikaja kubahatika kumpata mdada mmoja ambaye niliona atanifaa kwani tulikuwa tunaendana kwa % kubwa plus tunatoka mkoa mmoja.
Tulianza mahusiano vizuri kabsa ambayo yalidumu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Lakini mateso aliyokuja kunipa sitokaa niyasahau kamwe maishani mwangu. Mateso aliyonipa yule mwanamke yalikuw makubwa mnoo kwani yaligusa kila nyanja ya maisha yangu mpaka kazi yangu. Kwa funzo alilonipa yule mwanamke sidhan km kuna mwanamke atanipa shida tenaa maishan mwangu.
All in all namtakia maisha mema na Mungu ambariki.
Sikuelewagi unapoita wenzio viazi,yaan kwamba wewe una akili mno auGudume mimi nakuelewa sana, ni mmoja wa watu wenye kichwa humu na moyo wako, watu tu mavichwa ngumu hawakuelewi.
Ila hao wadada uliowasiliana nao wapuuzi sana kuna mmoja kiazi sana ila nashangaa sana aina ya wanaume anaowasiliana mpaka nasema sasa hawa huwa mnaongea nini? kuna vichwa humu nkisikia picha zao zinasambazwa na wadada, wanaongelea mambo ya kifala sielewi nabaki nashangaa.
Kuna siku nilimuuliza mmoja wewe, gudume, na k .. nawaaminia sana lakini ilikuwaje mkamzoea yule mama? oneni sasa anavyowatendea.
Akanijibu "sisi wanaume akili zetu tunazijua wenyewe, huwa anatushika pabaya"
Mimi haujaniona kweliNnavyoendelea kusoma
Kuna picha za wadada zinakuja
Yaan ukimtaja huyu nafikiria flani , sijui kichwa changu kipo sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...mie akuuu
Pole mwaya.Mwanzo nlikuwa naamini wanawake walioko JF ni big brains, smart ones. Nikajiaminisha kwamba hapa ndo mahali pazuri pa kupatia mchumba.
Sikuwahi kuandika uzi wa kutafuta mchumba, but nimewafuata wale wanaotafuta kwenye PM zao sana. Nikaja kubahatika kumpata mdada mmoja ambaye niliona atanifaa kwani tulikuwa tunaendana kwa % kubwa plus tunatoka mkoa mmoja.
Tulianza mahusiano vizuri kabsa ambayo yalidumu kwa kipindi cha mwaka mmoja. Lakini mateso aliyokuja kunipa sitokaa niyasahau kamwe maishani mwangu. Mateso aliyonipa yule mwanamke yalikuw makubwa mnoo kwani yaligusa kila nyanja ya maisha yangu mpaka kazi yangu. Kwa funzo alilonipa yule mwanamke sidhan km kuna mwanamke atanipa shida tenaa maishan mwangu.
All in all namtakia maisha mema na Mungu ambariki.
Bwana akutangulie..Hata sijui kaka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wenzetu si unajuaga hawana mapungufu??huu uzi leo wanaume wote leo ni boraaa..hawapo desperate,hawana shida kbs na maisha yao ya ndoa[emoji23][emoji23][emoji23].omamaaa