Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Hizi ndizo akili za kiume,

Unabariki, unasahau nankufanya mengine!!

Habari za kufungua uzi na kushutumu wenzio angali tabia zako hatuzifahamu, bado tutaendelea kukuweka kwenye mabano....

Je GuDume unaweza tushawishi kwa maandishi yako kuwa wewe upo smart?

Tunatumia maandishi mana ndipo tunaweza kukupima, vingune hatuvijui.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni single mother usibishe nakujua vzr Sana tena upo hapa dar
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…