Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Kwahiyo na mimi nauza au? Kwani kuuza kimya kimya na kuuza hadharani kipi bora?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo na mimi nauza au? Kwani kuuza kimya kimya na kuuza hadharani kipi bora?
Hongera mkuu ntakutumia pesa ya mwaka mpyaMbona hiyo sio siri mkuu? Labda kama unanijua kivingine labda ushanila hivii ila hayo mawili ni kweli kabisa na nasemaga mwenyewe humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuona kwa mbaaaliii,Mimi haujaniona kweli
Wewe hauuzi ni hao wengine mkuu wewe hata pm yako umefungaKwahiyo na mimi nauza au? Kwani kuuza kimya kimya na kuuza hadharani kipi bora?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pm yangu mbona iko wazi kabisa. Nikipata client wa maana nauza yanini niifiche ikaliwe na nyenyere bure
Hata sijui mimi
nyoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mkuu wax embu nitumie akajitundike Msamvu huyu Nile hela zake za rambirambiakituma mie najitundika msamvu
Hahhaha Ameeen kaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mkuu wax embu nitumie akajitundike Msamvu huyu Nile hela zake za rambirambi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayamama umekuja kujitetea, huwa nakuelewa sana, kila member huku huwa analadha yake jamani si wote kufanana wengine kufanya ukasirike wengine uchekee. wengine kukufanya uitafute asubuhi kwa pasi ndefu yani, yani ni raha tupu
Pm yangu mbona iko wazi kabisa. Nikipata client wa maana nauza yanini niifiche ikaliwe na nyenyere bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Mangi nakupenda mimi huyo wifi usisahau kuja naeHizi ndizo akili za kiume,
Unabariki, unasahau nankufanya mengine!!
Habari za kufungua uzi na kushutumu wenzio angali tabia zako hatuzifahamu, bado tutaendelea kukuweka kwenye mabano....
Je GuDume unaweza tushawishi kwa maandishi yako kuwa wewe upo smart?
Tunatumia maandishi mana ndipo tunaweza kukupima, vingune hatuvijui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko hapa kuna mtu anatesekaBebi wa Genta....