Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Kutokana na ubusy na kazi yangu mara nyingi nlijikuta si mtu ambaye nina muda wa kukaa na mwanamke au kumchunguza mwanamke.nlichelewa sana kuoa lakini pia hata kupata mtu wa kumwita mchumba maana nlisha date sana wanawake wa kila aina.

Nikatangaza natafuta mchumba JF na sifa nikaziweka hadharani.ile thread ipo humu.hapo ndo nlikuja kuchoka sana.

Asilimia kubwa ya wanawake waliomo humu ni Single Parents.
Asilimia kubwa nyingine ni waliotendwa
Asilimia kubwa nyingine ni walioshindikana uraiani
Asilimia kubwa nyingije ni wasio na mvuto kwa wanaume.
Asilimia kubwa nyingine ni walio desperate.

Pamoja na kuwa niliweka vigezo kwenye tangazo nlikuja kuonana au kutumiwa picha na watu ambao hawana hivyo vigezo.mpaka nikawa mawauliza ina maana hamkuelewa ile thread? Maana upeo wa mtu unaanzia hapo.

Wengi ni form four leavers na wengine wakapata certificate au diploma flani.but ni elimu ambayo haikuwasaidia maana unapowasiliana nao unagundua hawana uelewa mzuri.

Wenye watoto bila waume ni wengi na wengi hawana akili isipokuwa nilikutana na wawili ambao hawa walionesha wamejifunza kitu na wanataka kufanya maisha.niliwapenda wakawa marafiki hatukuzungumzia habari ya mapenzi tena.nikawaheshimu.

Wengine wengi kama saba walikuwa ni wanawake ambao wanaweza zalishwa tena wakaachwa.and trust me wengi wanachoandika humu ndo akili zao zilivyo hata nje ya jukwaa. Yaani ni hopeless sana.

Nlifurahi kupata wadada wawili ambao mmoja yupo mkoani na mwingine yupo hapa. Tulipeana namba za simu.tukawa marafiki sana hasa tukishirikishana katika bizinez.hawa wadada mmoja amebadili ID yake.huyu ni mdada mwenye akili anafanya biashara flani halali na anatumia JF KWA KUFAHAMIANA NA WANAUME WENYE AKILI.

Mwingine ameajiriwa na anafanya biashara tukawa tunapeana sana ushauri na kusaidiana ktk namna mbalimbali. Yeye hata ID yake aliyotumia humu nliisahau maana tukawa tunawasiliana kwa siku zaidi na si mchangiaji sana MMU.

Nikapata wanne ambao hawa ni makahaba. Wawili wapo mikoani wawili wapo dar.wa mikoani tulizoeana nami nlikuwa na lengo la kujua kama wanachoandika humu ni kitu halisi au ni kuigiza kama wengi wafanyavyo.mmoja wa mkoani alinitumia picha zake mpaka za uchi na nlizihifadhi sehemu.tulizoeana akanambia mengi sana.mpaka alio date humu JF. Huyu hakuniomba pesa

Mwingine wa mkoani tulizoeana sana.akawana ananitaka nimtembelee au nimlete dar.akanambia kama sitojal tutumiane picha.nlimtumia akanitumia.akanambia kama nitampa pesa atanitumia hata picha za uchi wake ili nione kama unafaa au siyo.ninayo namba yake mpaka leo.but ni mdada ambaye asilimia 99 ya thread zake ni abt sex. Alinambia alisoma certificate flan.ila mpaka muda huo hakuwa ameajiriwa.

Dar alikuwepo single parent/mother mwingine. Alinambia amesoma sehemu flani na anafanya kazi.but nlipokuja onana naye nlipata mtizamo mwingine.kuwa huyo dada anajiuza.hasa baada ya kuona rafiki zake kadhaa ambao mmoja jamaa yangu alinambia ashamnunua mara kadhaa bar mbili tofauti. Wazungu wnasema show me your friends i will tell your character

Kuna wadada na wakaka wenye kujiheshimu JF wachache sana na wengi huwapati sana MMU. Kuna wanawake walioolewa ila wana matatizo na ndoa zao. Wanakuja kushinda humu ili wapewe faraja na vijana wadogo kwa kusifiwa n.k

Hao pia nawafahamu. Kuna mengi nlikuwa najifunza na kuyaandikia kitabu from social media.so nlikuwa na sura tofaut tofaut kwa malengo tofaut tofaut.mimi umri wangu mkubwa.nina familia kwa sasa. Nawashauri vijana wa kike na wakiume.social media zina mambo mengi.

Dont think unaweza pata mwanamke serious huko. Wachache sana.wachache sana narudia. Asilimia kubwa ni wenye matatizo.mwanamke mwenye kujiheshimu hawezi shinda MMU 24/7 huo muda anachat na anajifunza nini?

Nikajaribu kumuunganisha mke wangu MMU (nlitaka kumpima uelewa wake) alisoma threads za watu kadhaa akasema yeye si wa daraja hilo.haoni jambo la maana huko.

Nlimshawishi sana.akanigomea kabisa .akablock id yake sasa anasoma tu majukwaa ya biashara,siasa,intellejensia n.k

Nachosema ni kuwa si mbaya mwanamke kusoma au "sometime" kuingia MMU lakini huwezi pata mwnamke SERIOUS anajibishana na watu huko. Huyo hafai. Nawaambia wadogo zangu kutokana na uzoefu wangu.nmewahi date wanawake wenye akili na kujifaham tabia zao zinafanana kwa kiasi kikubwa

Nimewah date wanawake wasio na uelewa nao hufanana na wengi nimewaona kwenye Jukwaa Hili. MMU. I am sorry kama ntakuwa nmewakwaza.ila naamini katika kuongea ukweli.

Wanawake wengi walioshindikana na kushindwa na maisha wapo humu.wanawake wengi wanaojiuuza wapo humu,wanawake ambao wameshindwa kwa wanaume wao wamo humu.

Mwanamke mwenye staha huwez mpata humu.na kama yupo ni mmoja katika 100. Utaona hata mchango wake na lugha anayotumia.utaona hata avatar anayotumia.

Nawashauri vijana tufanyeni kazi.binafsi napenda mwanamke smart sababu mwanamke mpumbavu ni hasara kwa wazazi wake,mume na hata taifa pia.

Nina umri mkubwa wa kutosha kuelewa mambo haya na elimu yangu imenisaidia kuweza ku fit mazingira mengi na watu wa aina tofauti tofaut.

Nmepasua jipu.wengi hamtapendezwa lakini nmesema ukweli watu waweze kupona.mods huu uzi haujamtaja mtu na upo kwa lengo la kushauriana so haina haja ya kuu delete sababu pengine umewakwaza na nyie. Nitasema ukweli daima.fitina kwangu mwiko.
Well said brthr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NGOJA NISEME UKWELI NA MIMI

Mkuu ulichoandika ni kweli kwa asilimia 100. Kama kuna watu ambao walikuwa wanakuchukia humu ndani basi MIMI NILIKUWA NAMBA MOJA KWA KUMCHUKIA GUDUME. Nakumbuka nlishaandika sana nyuzi za kumlaani na kusema nitamtanya jambo flani.

Nlibadili ID yangu nikatafuta sababu ya kuonana naye ili nijue nifanye nini. Jamaa anionana nami lakin katika namna ambayo alikuwa na umakini flani nilikuja jifunza baadaye. Tulionge sana posta karibu na jengo la NIDA kuna mgawahawa wasomali mzuri.

Jamaa nligundua ni mtu smart, anajiamini na ana uelewa mkubwa sana.tulipiga stories ni tofauti na anavyoonekana humu ndani.TOFAUT SANA. alinisaidia kwa jambo ambalo nlikuwa nmejifanya kama ni tatizo ila alinipa namna ya kutatua ambayo nikasema ningekuwa na hilo tatizo kweli angekuwa amenisaidia sana.

Nje ya JF hapendi kuzungumzia JF. nlishangaa kwa nini. Nje anasema yeye si Gudume.so leo nmeelewa sana. Humu JF KUNA WATU WANA AKILI NA UELEWA MKUBWA. NASHUKURU SANA SINA CHUKI NAYE na yule dada kahaba ambaye alisababisha haya nimemsamehe ila ajifunze kitu pia. Maana hakufanikiwa hata kwa gudume.
Naona leo mnakuja wotee!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na ubusy na kazi yangu mara nyingi nlijikuta si mtu ambaye nina muda wa kukaa na mwanamke au kumchunguza mwanamke.nlichelewa sana kuoa lakini pia hata kupata mtu wa kumwita mchumba maana nlisha date sana wanawake wa kila aina.

Nikatangaza natafuta mchumba JF na sifa nikaziweka hadharani.ile thread ipo humu.hapo ndo nlikuja kuchoka sana.

Asilimia kubwa ya wanawake waliomo humu ni Single Parents.
Asilimia kubwa nyingine ni waliotendwa
Asilimia kubwa nyingine ni walioshindikana uraiani
Asilimia kubwa nyingije ni wasio na mvuto kwa wanaume.
Asilimia kubwa nyingine ni walio desperate.

Pamoja na kuwa niliweka vigezo kwenye tangazo nlikuja kuonana au kutumiwa picha na watu ambao hawana hivyo vigezo.mpaka nikawa mawauliza ina maana hamkuelewa ile thread? Maana upeo wa mtu unaanzia hapo.

Wengi ni form four leavers na wengine wakapata certificate au diploma flani.but ni elimu ambayo haikuwasaidia maana unapowasiliana nao unagundua hawana uelewa mzuri.

Wenye watoto bila waume ni wengi na wengi hawana akili isipokuwa nilikutana na wawili ambao hawa walionesha wamejifunza kitu na wanataka kufanya maisha.niliwapenda wakawa marafiki hatukuzungumzia habari ya mapenzi tena.nikawaheshimu.

Wengine wengi kama saba walikuwa ni wanawake ambao wanaweza zalishwa tena wakaachwa.and trust me wengi wanachoandika humu ndo akili zao zilivyo hata nje ya jukwaa. Yaani ni hopeless sana.

Nlifurahi kupata wadada wawili ambao mmoja yupo mkoani na mwingine yupo hapa. Tulipeana namba za simu.tukawa marafiki sana hasa tukishirikishana katika bizinez.hawa wadada mmoja amebadili ID yake.huyu ni mdada mwenye akili anafanya biashara flani halali na anatumia JF KWA KUFAHAMIANA NA WANAUME WENYE AKILI.

Mwingine ameajiriwa na anafanya biashara tukawa tunapeana sana ushauri na kusaidiana ktk namna mbalimbali. Yeye hata ID yake aliyotumia humu nliisahau maana tukawa tunawasiliana kwa siku zaidi na si mchangiaji sana MMU.

Nikapata wanne ambao hawa ni makahaba. Wawili wapo mikoani wawili wapo dar.wa mikoani tulizoeana nami nlikuwa na lengo la kujua kama wanachoandika humu ni kitu halisi au ni kuigiza kama wengi wafanyavyo.mmoja wa mkoani alinitumia picha zake mpaka za uchi na nlizihifadhi sehemu.tulizoeana akanambia mengi sana.mpaka alio date humu JF. Huyu hakuniomba pesa

Mwingine wa mkoani tulizoeana sana.akawana ananitaka nimtembelee au nimlete dar.akanambia kama sitojal tutumiane picha.nlimtumia akanitumia.akanambia kama nitampa pesa atanitumia hata picha za uchi wake ili nione kama unafaa au siyo.ninayo namba yake mpaka leo.but ni mdada ambaye asilimia 99 ya thread zake ni abt sex. Alinambia alisoma certificate flan.ila mpaka muda huo hakuwa ameajiriwa.

Dar alikuwepo single parent/mother mwingine. Alinambia amesoma sehemu flani na anafanya kazi.but nlipokuja onana naye nlipata mtizamo mwingine.kuwa huyo dada anajiuza.hasa baada ya kuona rafiki zake kadhaa ambao mmoja jamaa yangu alinambia ashamnunua mara kadhaa bar mbili tofauti. Wazungu wnasema show me your friends i will tell your character

Kuna wadada na wakaka wenye kujiheshimu JF wachache sana na wengi huwapati sana MMU. Kuna wanawake walioolewa ila wana matatizo na ndoa zao. Wanakuja kushinda humu ili wapewe faraja na vijana wadogo kwa kusifiwa n.k

Hao pia nawafahamu. Kuna mengi nlikuwa najifunza na kuyaandikia kitabu from social media.so nlikuwa na sura tofaut tofaut kwa malengo tofaut tofaut.mimi umri wangu mkubwa.nina familia kwa sasa. Nawashauri vijana wa kike na wakiume.social media zina mambo mengi.

Dont think unaweza pata mwanamke serious huko. Wachache sana.wachache sana narudia. Asilimia kubwa ni wenye matatizo.mwanamke mwenye kujiheshimu hawezi shinda MMU 24/7 huo muda anachat na anajifunza nini?

Nikajaribu kumuunganisha mke wangu MMU (nlitaka kumpima uelewa wake) alisoma threads za watu kadhaa akasema yeye si wa daraja hilo.haoni jambo la maana huko.

Nlimshawishi sana.akanigomea kabisa .akablock id yake sasa anasoma tu majukwaa ya biashara,siasa,intellejensia n.k

Nachosema ni kuwa si mbaya mwanamke kusoma au "sometime" kuingia MMU lakini huwezi pata mwnamke SERIOUS anajibishana na watu huko. Huyo hafai. Nawaambia wadogo zangu kutokana na uzoefu wangu.nmewahi date wanawake wenye akili na kujifaham tabia zao zinafanana kwa kiasi kikubwa

Nimewah date wanawake wasio na uelewa nao hufanana na wengi nimewaona kwenye Jukwaa Hili. MMU. I am sorry kama ntakuwa nmewakwaza.ila naamini katika kuongea ukweli.

Wanawake wengi walioshindikana na kushindwa na maisha wapo humu.wanawake wengi wanaojiuuza wapo humu,wanawake ambao wameshindwa kwa wanaume wao wamo humu.

Mwanamke mwenye staha huwez mpata humu.na kama yupo ni mmoja katika 100. Utaona hata mchango wake na lugha anayotumia.utaona hata avatar anayotumia.

Nawashauri vijana tufanyeni kazi.binafsi napenda mwanamke smart sababu mwanamke mpumbavu ni hasara kwa wazazi wake,mume na hata taifa pia.

Nina umri mkubwa wa kutosha kuelewa mambo haya na elimu yangu imenisaidia kuweza ku fit mazingira mengi na watu wa aina tofauti tofaut.

Nmepasua jipu.wengi hamtapendezwa lakini nmesema ukweli watu waweze kupona.mods huu uzi haujamtaja mtu na upo kwa lengo la kushauriana so haina haja ya kuu delete sababu pengine umewakwaza na nyie. Nitasema ukweli daima.fitina kwangu mwiko.

Mimi pia kinachonipa mashaka na JF ni jinsi baadhi ya wajumbe wanavyo jinasibu kwamba umri wao ni mkubwa lakini mambo wanayo yafanya na michango yao lazima yatakuacha mdomo wazi.

pole sana kwa yaliyo kukuta Mkuu
There is Huge different between real life and internet
 
Daahhh.... Huu uzi unanifungia mwaka. NISEME UKWELI KUWA GUDUME YOU DIDNT FOOL ME KWA ZILE NYUZI ZAKO. nlikuja kugundua we jamaa una akili sema unapenda kujitoa akili kwa makusudi flani. Nlijifunza mengi sana kwako.uandishi wako ni wa pekee ambao ulinifanya nihisi huyu jamaa ni akili kubwa ila anapenda kuchezea uelewa wa watu.

Haya uliyoandika ni kweli. Humu ndani wapo makahaba. Wapo sana na mimi kuna moja lilitaka niingiza mjini nikalizidi maarifa dka za mwishoni kabisa.

Mkuu....uishi milele. Umenifunua sana macho maana kuna mtu kanifuata pm kuwa natoa siri zaksiri zake akidhani nmekwambia kumbe wala maskini ndo nikagundua kuwa hili jiwe limewagonga wengi.

Dada zanguni mtulie. Na sisi wanaume mafisi tutulie pia.
Mkuu,
Embu jaribu kunishawishi kuwa wewe sio sehem ya matatizo yakoo...

Unajua nn,
Mi kama sijamwelewa demu na nikaona huyu ni chenga, huwa nakata mawasiliano palepalee...

Sasa ww, unajua huyu ni chenga na bado unang'ang'ania, mwisho wa siku anakuumiza alafu unalalamika...

Sometimes we have to be real Man.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na ubusy na kazi yangu mara nyingi nlijikuta si mtu ambaye nina muda wa kukaa na mwanamke au kumchunguza mwanamke.nlichelewa sana kuoa lakini pia hata kupata mtu wa kumwita mchumba maana nlisha date sana wanawake wa kila aina.

Nikatangaza natafuta mchumba JF na sifa nikaziweka hadharani.ile thread ipo humu.hapo ndo nlikuja kuchoka sana.

Asilimia kubwa ya wanawake waliomo humu ni Single Parents.
Asilimia kubwa nyingine ni waliotendwa
Asilimia kubwa nyingine ni walioshindikana uraiani
Asilimia kubwa nyingije ni wasio na mvuto kwa wanaume.
Asilimia kubwa nyingine ni walio desperate.

Pamoja na kuwa niliweka vigezo kwenye tangazo nlikuja kuonana au kutumiwa picha na watu ambao hawana hivyo vigezo.mpaka nikawa mawauliza ina maana hamkuelewa ile thread? Maana upeo wa mtu unaanzia hapo.

Wengi ni form four leavers na wengine wakapata certificate au diploma flani.but ni elimu ambayo haikuwasaidia maana unapowasiliana nao unagundua hawana uelewa mzuri.

Wenye watoto bila waume ni wengi na wengi hawana akili isipokuwa nilikutana na wawili ambao hawa walionesha wamejifunza kitu na wanataka kufanya maisha.niliwapenda wakawa marafiki hatukuzungumzia habari ya mapenzi tena.nikawaheshimu.

Wengine wengi kama saba walikuwa ni wanawake ambao wanaweza zalishwa tena wakaachwa.and trust me wengi wanachoandika humu ndo akili zao zilivyo hata nje ya jukwaa. Yaani ni hopeless sana.

Nlifurahi kupata wadada wawili ambao mmoja yupo mkoani na mwingine yupo hapa. Tulipeana namba za simu.tukawa marafiki sana hasa tukishirikishana katika bizinez.hawa wadada mmoja amebadili ID yake.huyu ni mdada mwenye akili anafanya biashara flani halali na anatumia JF KWA KUFAHAMIANA NA WANAUME WENYE AKILI.

Mwingine ameajiriwa na anafanya biashara tukawa tunapeana sana ushauri na kusaidiana ktk namna mbalimbali. Yeye hata ID yake aliyotumia humu nliisahau maana tukawa tunawasiliana kwa siku zaidi na si mchangiaji sana MMU.

Nikapata wanne ambao hawa ni makahaba. Wawili wapo mikoani wawili wapo dar.wa mikoani tulizoeana nami nlikuwa na lengo la kujua kama wanachoandika humu ni kitu halisi au ni kuigiza kama wengi wafanyavyo.mmoja wa mkoani alinitumia picha zake mpaka za uchi na nlizihifadhi sehemu.tulizoeana akanambia mengi sana.mpaka alio date humu JF. Huyu hakuniomba pesa

Mwingine wa mkoani tulizoeana sana.akawana ananitaka nimtembelee au nimlete dar.akanambia kama sitojal tutumiane picha.nlimtumia akanitumia.akanambia kama nitampa pesa atanitumia hata picha za uchi wake ili nione kama unafaa au siyo.ninayo namba yake mpaka leo.but ni mdada ambaye asilimia 99 ya thread zake ni abt sex. Alinambia alisoma certificate flan.ila mpaka muda huo hakuwa ameajiriwa.

Dar alikuwepo single parent/mother mwingine. Alinambia amesoma sehemu flani na anafanya kazi.but nlipokuja onana naye nlipata mtizamo mwingine.kuwa huyo dada anajiuza.hasa baada ya kuona rafiki zake kadhaa ambao mmoja jamaa yangu alinambia ashamnunua mara kadhaa bar mbili tofauti. Wazungu wnasema show me your friends i will tell your character

Kuna wadada na wakaka wenye kujiheshimu JF wachache sana na wengi huwapati sana MMU. Kuna wanawake walioolewa ila wana matatizo na ndoa zao. Wanakuja kushinda humu ili wapewe faraja na vijana wadogo kwa kusifiwa n.k

Hao pia nawafahamu. Kuna mengi nlikuwa najifunza na kuyaandikia kitabu from social media.so nlikuwa na sura tofaut tofaut kwa malengo tofaut tofaut.mimi umri wangu mkubwa.nina familia kwa sasa. Nawashauri vijana wa kike na wakiume.social media zina mambo mengi.

Dont think unaweza pata mwanamke serious huko. Wachache sana.wachache sana narudia. Asilimia kubwa ni wenye matatizo.mwanamke mwenye kujiheshimu hawezi shinda MMU 24/7 huo muda anachat na anajifunza nini?

Nikajaribu kumuunganisha mke wangu MMU (nlitaka kumpima uelewa wake) alisoma threads za watu kadhaa akasema yeye si wa daraja hilo.haoni jambo la maana huko.

Nlimshawishi sana.akanigomea kabisa .akablock id yake sasa anasoma tu majukwaa ya biashara,siasa,intellejensia n.k

Nachosema ni kuwa si mbaya mwanamke kusoma au "sometime" kuingia MMU lakini huwezi pata mwnamke SERIOUS anajibishana na watu huko. Huyo hafai. Nawaambia wadogo zangu kutokana na uzoefu wangu.nmewahi date wanawake wenye akili na kujifaham tabia zao zinafanana kwa kiasi kikubwa

Nimewah date wanawake wasio na uelewa nao hufanana na wengi nimewaona kwenye Jukwaa Hili. MMU. I am sorry kama ntakuwa nmewakwaza.ila naamini katika kuongea ukweli.

Wanawake wengi walioshindikana na kushindwa na maisha wapo humu.wanawake wengi wanaojiuuza wapo humu,wanawake ambao wameshindwa kwa wanaume wao wamo humu.

Mwanamke mwenye staha huwez mpata humu.na kama yupo ni mmoja katika 100. Utaona hata mchango wake na lugha anayotumia.utaona hata avatar anayotumia.

Nawashauri vijana tufanyeni kazi.binafsi napenda mwanamke smart sababu mwanamke mpumbavu ni hasara kwa wazazi wake,mume na hata taifa pia.

Nina umri mkubwa wa kutosha kuelewa mambo haya na elimu yangu imenisaidia kuweza ku fit mazingira mengi na watu wa aina tofauti tofaut.

Nmepasua jipu.wengi hamtapendezwa lakini nmesema ukweli watu waweze kupona.mods huu uzi haujamtaja mtu na upo kwa lengo la kushauriana so haina haja ya kuu delete sababu pengine umewakwaza na nyie. Nitasema ukweli daima.fitina kwangu mwiko.
Braza wanawake wa humu 99% ni rejected..! Mimi nina mifano zaidi ya 10.

Mwenye tabia nzuri kalazimishwa na sura yake.

Mcha Mungu ni baada ya kulemewa na mzigo wa dhambi na masaibu yaliyomsibu (single mothers).

Wasomi wanaongozwa na umame/feminism na ulimbukeni.

Waliobaki wanaongozwa na tamaa na umaarufu uchwara, gurupu la mwisho ni wale wenye akili kiduchu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom