Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Niseme Ukweli. Katika kutafuta mchumba humu mitandaoni nlikutana na watu wa ajabu sana

Haki ya ndugu vile sijapata ona povu kama la leo humu ndani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ VIBWAIGWA WOTE WAMETOKA MAFICHONI KUJA KUUSHAMBULIA UZI.halafu mhusika sijui kaenda wapi mshenzi huyu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tushawajua mafisi wapo humu nao wanamendea mendea mizoga iliyobaki baki... Hawa ndo huwa wanajidai wana huruma kwa wanawake mizoga ili wawale kirahisi.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Afadhali rafiki yangu demiss cha wote naye amepata support kutoka kwa mtafutaji mabwana mashuhuru humu ndani. Weeeeee GuDume rudi huku.
 
Demiss hilo bumunda lako nami nahitaji mama... Usigawe kiuchoyo... Mimi nakula tu hata kama kiporo...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Unawagawia wengine wenye hela za kutupa sisi wenye pesa ndogo ndogo je inakuaje? Nikuzukie Dom? Nami nataka nipate ladha yake umepewa bure toa bure mama ya nini kuchaji watu wakati raha mtapata wote....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Nyooooooooooniweke screen[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu aliyezaa tayari K YAKE INAKUWA WAZI... IMEACHAMA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kweli kabisa wanawake wa humu ni wale waliomaliza maisha yao ya ujana ukiomba mke humu majanga jitu linakuja lina watoto 3 au wale wabaya wabaya ndio wako humu demu mkali huwez kumkuta humu jamii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NJOONI KWANGU NINYI NYOTE MLIODHARAULIWA NA WANAUME NAMI NITAWAPUMZISHA

Single mothers njooni kwangu msikae kulalamika tu humu na kupeana support leteni vitoto vyenu niwasaidie kulea...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜
 
Teh teh teh

Mwamba ngoma huvutia kwake
Nimeshakonnecti dot. Ngoja nitiririke kivyangu. Wewe ni miongoni mwa mliojitokeza kuchangamkia offer ya huyu bwana, fainali akagundua unajiuza na hii ni baada ya kuwaona rafiki zako, isipokuwa ulimpa alichoomba, ila kibamia chake kikakukera ukammwaga, na yeye kapaniki, leo tunae hapa jamvini anamwagika.
 
Binafsi nisingeweza kuelezea Hali halisi ilivyo kama mleta mada.

Kuna watu humu wako machachari Sana lakini ukifanikiwa kuonana nao ni watu waliokata tamaa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] siyo ya kucheka haya kabisa daah.. Unasema kwamba amekata tamaa lakini humu Ni machachari hakuna mfano.. Labda ndo anakopata faraja tuvumiliane tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom