Niseme ukweli, yanga sc mmeniudhi sana leo..!!!

Niseme ukweli, yanga sc mmeniudhi sana leo..!!!

SALOK

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2011
Posts
3,364
Reaction score
2,001
Hello Mashabiki wa Yanga, popote pale mulipo, kunjeni ngumi, pigeni kifuani kisha hewani huku mkitamka 'Wananchiiiiii...!!!'
Ahsante sana, mmeliheshimisha Taifa.


Yap.. kwa kila mwanayanga leo ni siku kubwa mno, siku ya kufurahi.. Aliyekutenda, na wewe mtende! Yanga kamtenda zaidi CR Belouizdad, safi sana hiyo imeenda!

kwetu sisi Mashabiki kazi ndio kwanza inaanza! Pongezi kwa Rais wa Yanga, Benchi la ufundi, wachezaji pamoja na mashabiki wooote wakiongozwa na shabiki namba moja Mr. Gsm.

Pamoja na furaha iliyoje, Ilipasa Mwarabu apigishwe Mnara 🖐
ikiwa ni zawadi spesho kwa ndugu zetu waleeee.... wakome kudandia dandia magari mabovu!
 
Mooo kasema Samsung Galaxy atakula 10
 
Mooo kasema Samsung Galaxy atakula 10
 
Mudahir
Aziz Ki
Musonda
Guede

4G mnara unasoma.... Mwarabu habari wanayo hio ni history na haifutiki
 
Aliyebuni Sheria ya H2H anaakili sana, ajengewe mnara makao makuu ha CAF pale mbele kabisa ya Ofisi kuu...!!
 
Hello Mashabiki wa Yanga, popote pale mulipo, kunjeni ngumi, pigeni kifuani kisha hewani huku mkitamka 'Wananchiiiiii...!!!'
Ahsante sana, mmeliheshimisha Taifa.


Yap.. kwa kila mwanayanga leo ni siku kubwa mno, siku ya kufurahi.. Aliyekutenda, na wewe mtende! Yanga kamtenda zaidi CR Belouizdad, safi sana hiyo imeenda!

kwetu sisi Mashabiki kazi ndio kwanza inaanza! Pongezi kwa Rais wa Yanga, Benchi la ufundi, wachezaji pamoja na mashabiki wooote wakiongozwa na shabiki namba moja Mr. Gsm.

Pamoja na furaha iliyoje, Ilipasa Mwarabu apigishwe Mnara 🖐
ikiwa ni zawadi spesho kwa ndugu zetu waleeee.... wakome kudandia dandia magari mabovu!
jana walitakiwa kufunga magoli 6, lile alilokosa aziz ki la wazi kabisa, na lile ambalo pacome alitaka afunge mwenyewe wakati watu watatu walikuwa sehemu ya wazi kufunga angewapa pasi tu walikuwa wanafunga kirahisi mno. ingekuwa 6 - 0 ingekuwa historia nzuri sana zaidi ya hii. though ata hii tuwapongeze, mwarabu kupigwa 4 bila ni historia mbaya sana kwao, na wakirudi kwao lazima kocha afukuzwe.
 
Back
Top Bottom