Nishati: Mafuta yashuka Bei bandari za Dar, Tanga na Mtwara

Nishati: Mafuta yashuka Bei bandari za Dar, Tanga na Mtwara

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
Bei ya Bidhaa za Mafuta imepungua kwa Mwezi Septemba 2024 ambapo Bei ya Petroli imepungua kwa Tsh. 91, Tanga kwa Tsh. 88 na Mtwara imepungua Tsh. 162 kwa kila Lita

Dar Petroli itauzwa kwa Tsh. 3,140, Dizeli Tsh. 3,011 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,121. Tanga Petroli Tsh. 3,141, Dizeli Tsh. 3,020, Mafuta ya Taa Tsh. 3,167. Mtwara Petroli Tsh. 3,142, Dizeli Tsh. 3,021 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,194 kwa Lita 1.

Screenshot_2024-09-04-05-45-39-443_com.instagram.android-edit.jpg
Screenshot_2024-09-04-05-46-14-377_com.instagram.android-edit.jpg

Linganisha hapa na bei za Mwezi Agosti 2024.
Screenshot_2024-09-04-06-04-46-168_com.instagram.android-edit.jpg
 
Bei ya Bidhaa za Mafuta imepungua kwa Mwezi Septemba 2024 ambapo Bei ya Petroli imepungua kwa Tsh. 91, Tanga kwa Tsh. 88 na Mtwara imepungua Tsh. 162 kwa kila Lita

Dar Petroli itauzwa kwa Tsh. 3,140, Dizeli Tsh. 3,011 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,121. Tanga Petroli Tsh. 3,141, Dizeli Tsh. 3,020, Mafuta ya Taa Tsh. 3,167. Mtwara Petroli Tsh. 3,142, Dizeli Tsh. 3,021 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,194 kwa Lita 1.

View attachment 3086451View attachment 3086452
Linganisha hapa na bei za Mwezi Agosti 2024.
View attachment 3086454
Hiyo haina impact kwa mlaji wa mwisho sh 88. Ndogo sanaa.
 
Back
Top Bottom