Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Kutokana na Kampeni za Mazingira na kuhakikisha nchi haziendelei kuharibu Dunia yetu, Kuna kiwango fulani ambacho kimewekwa katika viwanda (hususan katika nchi zinazotoa / zalisha sana Carbon) kwamba wasizidi kiasi fulani.
Sasa kuna nchi kama Tanzania yenye misitu na haizalishi sana Carbon inaweza kuwauzia hivyo viwanda (wazalishaji wa carbon) ili kiwango chao cha kuchafua kiongezeke (kama uchafuzi wao umezidi, hivyo wanaweza kununua credit kutoka pengine na mwisho wa siku kuonekana kwamba wapo within kiwango)
Sasa kutokana na Ushauri wangu wa hapo nyuma ambapo nilionyesha kwamba kwa nchi yetu moja ya Nishati safi kabisa ni Umeme
www.jamiiforums.com
Na nikaongezea kwamba Tanesco inaweza kuingia ubia na wazalishaji vifaa vya umeme (majiko) na kuwauzia watu kwa ruzuku ili waweze kutumia
www.jamiiforums.com
MAPATO ZAIDI (TANESCO / UMMA / WATANZANIA) WANAVYOWEZA KUPATA KUTOKANA NA NISHATI SAFI
Sasa utaona kwamba kutokana na TANESCO / WATANZANIA kuweza kuwauzia watu hivi vifaa vya kupikia watakuwa wame offset kwa kiasi kikubwa sana Carbon Emmissions, hivyo kuwa certified kama mpunguzaji mkubwa wa CARBON, hivyo kwa kuuza hizo Credit itakuwa ni njia mojawapo ya kupata Kipato ambacho kinaweza kusaidia katika Ruzuku za kuwapa watu majiko.
Sasa kuna nchi kama Tanzania yenye misitu na haizalishi sana Carbon inaweza kuwauzia hivyo viwanda (wazalishaji wa carbon) ili kiwango chao cha kuchafua kiongezeke (kama uchafuzi wao umezidi, hivyo wanaweza kununua credit kutoka pengine na mwisho wa siku kuonekana kwamba wapo within kiwango)
Sasa kutokana na Ushauri wangu wa hapo nyuma ambapo nilionyesha kwamba kwa nchi yetu moja ya Nishati safi kabisa ni Umeme
Nishati Safi ya Kupikia, Mwarobaini tunao na ni Bora kuliko Gesi
Baada ya kuona kwenye Habari Serikali imeanzisha Mfuko wa Nishati Safi ya Kupikia nikaona ni vema tuangalie kwa nchi Yetu Nishati hio ni ipi na ni vipi itatufaa, ili tusije kuingia gharama ambazo zitakuwa hazina manufaa kwetu. Nishati zilizopo: Kwenye kila kaya aina ya Nishati inayotumiwa...
Na nikaongezea kwamba Tanesco inaweza kuingia ubia na wazalishaji vifaa vya umeme (majiko) na kuwauzia watu kwa ruzuku ili waweze kutumia
Nishati Safi ya Kupikia (PPP tunayohitaji Kuingia)
Private Public Partnership inafaa pale tu ambapo kuna mtu binafsi ana kitu ambacho serikali haiwezi kufanya, au anaweza kukifanya kwa ubora; Win Win Situation. Sasa katika Suala la Nishati Safi ya Kupikia kuna majiko ya kisasa ya Induction Cooker ambayo yana ufanisi wa percent 90; Yana Ufanisi...
MAPATO ZAIDI (TANESCO / UMMA / WATANZANIA) WANAVYOWEZA KUPATA KUTOKANA NA NISHATI SAFI
Sasa utaona kwamba kutokana na TANESCO / WATANZANIA kuweza kuwauzia watu hivi vifaa vya kupikia watakuwa wame offset kwa kiasi kikubwa sana Carbon Emmissions, hivyo kuwa certified kama mpunguzaji mkubwa wa CARBON, hivyo kwa kuuza hizo Credit itakuwa ni njia mojawapo ya kupata Kipato ambacho kinaweza kusaidia katika Ruzuku za kuwapa watu majiko.
Tuanzia Tulipo, Tutumie Tulichonacho, Tufanye Tunachoweza