Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
fala anatuona washamba.Wakati unaomba visa hukuulizwa utakapofikia? Barua ya mwaliko ulikuwa nayo? Saa nyingine acha kuota ukiwa macho.
Nijibu tuhuyu uliyemsapot nimemjibu hapo juu au na we nikujib?
Ndiyo pekee iliyo cheapest!ππ€£π€£π€£π€£majalalaa sio
kweli sijui niliona kwa mtu, najua kidogoπWatu km nyie ambao mnajifanya mnajua halafu hamjui mnaboa kwa hii dunia ***** walai. I wish nakuona live niku....aaargh
Let me mind my own business lest I .....
Kwa nini u-hide your identity?Kuwa huru mkuu.visa zinapatikana kwa njia nyingi mama sio ile unayoijua wewe Tu. To hide my identity I can't share the details hapa
sasa visa umepataje.... au we mtu mzito umetumia njia nyingineSasa mbn unajifanya unajua... au ndio nyie mpewe heading Tu maelezo km wataalam.
Sasa wakati.unatafuta visa mbona hukutushirikisha.?πvisa zinapatikana kwa njia nyingi mama sio ile unayoijua wewe Tu. To hide my identity I can't share the details hapa
Ah wapi wewe...mtu mzito aulize jf?πmtu mzito
Yeye alitaka visa na mkasa.Siyo viza.Sasa wakati.unatafuta visa mbona hukutushirikisha.?π
πππββYeye alitaka visa na mkasa.Siyo viza.
Wanaongea Kisukuma.Wale unaowaona Marekani wote wanaongea ki English kilichonyooka?!
Mf!