Nishaurini accomodation cheapest New York city naenda mwezi wa nane mwaka huu 2023 kwa siku mbili tatu tu

Nishaurini accomodation cheapest New York city naenda mwezi wa nane mwaka huu 2023 kwa siku mbili tatu tu

Wewe kenge unaijua Visa ya USA vizuri? Umeamua kuja kuropoka tu hapa.
hapo uko zako kwa mtogole wala hujaoga uko kwa shemeji umelala baasi unajiona mwaaamba. Na kasimu Kako unajiona warrior mwenyewe. Kila kitu unajua wewe 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wakati unaomba visa hukuulizwa utakapofikia? Barua ya mwaliko ulikuwa nayo? Saa nyingine acha kuota ukiwa macho.
Kuna namna nyingi za kupata visa, watu wana book mpaka hoteli lakini wakishapata visa wanataka wa-sve vijipesa vyao. Kama huyo kijana anataka siku mbili tatu New York pengine ajitowe tongotongo za Tanzania tu aendelee na safari yake.

Vijana wengi siku hizi wanakimbilia Canada, hapo New York inakuwa ni stopover tu.

Kama kuna njia yoyote unaielewa mfahamishe, kama hauna unachokielewa, kaa kimya uwasome wengine.

Tuwe positive, tusiwe wachawi saa zote negativity tu.
 
Tafuta kwenye mtandao sehemu zinaitwa "sleep station", ipo moja maarufu inatwa "Central park sleep station?. Hiyo ni cheap and best.


Pia nakushauri taufuta " Youth Hostels".

Uislam ni mwema sana, ukiwa Muislam unakwenda ofisi za Markaz Tabligh ya Tanzania wanakuunganisha na Markaz Tabligh ya New York, umefunga kazi. Salama, amani na official. Kwingine zinaitwa 'Jamaat Tabligh".
Thanks bi mdada will goggle. Ila hizo za kulala mosque mfano pale airport wakini single out na kuniuliza waenda kaa wapi nkiwaambia Mskitini si ntarudishwa hapo hapo 🤣🤣🤣 joking though can happen no.
 
Kuna namna nyingi za kupata visa, watu wana book mpaka hoteli lakini wakishapata visa wanataka wa-sve vijipesa vyao. Kama huyo kijana anataka siku mbili tatu New York pengine ajitowe tongotongo za Tanzania tu aendelee na safari yake.

Vijana wengi siku hizi wanakimbilia Canada, hapo New York inakuwa ni stopover tu.

Kama kuna njia yoyote unaielewa mfahamishe, kama hauna unachokielewa, kaa kimya uwasome wengine.

Tuwe positive, tusiwe wachawi saa zote negativity tu.
Wewe bibi tunafahamu hayo unayoyasema ila huyu mtu analeta ligi badala ya kufafanua.
 
Kuna namna nyingi za kupata visa, watu wana book mpaka hoteli lakini wakishapata visa wanataka wa-sve vijipesa vyao. Kama huyo kijana anataka siku mbili tatu New York pengine ajitowe tongotongo za Tanzania tu aendelee na safari yake.

Vijana wengi siku hizi wanakimbilia Canada, hapo New York inakuwa ni stopover tu.

Kama kuna njia yoyote unaielewa mfahamishe, kama hauna unachokielewa, kaa kimya uwasome wengine.

Tuwe positive, tusiwe wachawi saa zote negativity tu.
Dah Safi Sana aisee. You have said it all dada akee. Ila huyu kichwa panzi I can bet my life wala hata elewa ulichoandika
 
Wewe bibi tunafahamu hayo unayoyasema ila huyu mtu analeta ligi badala ya kufafanua.
naleta ligi coz umekuja kichwa kichwa alaf mi ni mtoto WA mjini. Matutusa kaa nyie nawapeleka puta kitutusatusa hivyo hivyo mpk akili ziwakae sawa.
 
Pia kijana nakushauri tazama namna ya kuwa unakaa "upstate New York " na ku commute daily kwenda New York. "Upstate" ni vimiji vinavyoiźunguka New York lakini kwa usafiri wa kule ni kama upo New York tu.

Zamani sana nakumbuka watu wakienda USA, Canada au Europe, kulikuwa kuna mpango unaitwa "world packers", huu unawasiliana kabla na unapokwenda, "unabeba boksi" kwa siku unazokuwa hapo, unapata kula na kulala.

Sifahamu kama bado upo.

Utafute kwa mtandao.

Njia zipo nyingi sana lakini muda naona hautakotosha kuzifanyia kazi, ungeanza kuuliza mapema tugekupa njia ambazo nnauhakika mojawapo ungeweza kujipatia hata kuishi bure kabisa ukajipatia pocket lmoney kila siku.

Hivi unapafahamu pale Dar YMCA? kama ni wa kike YWCA?

Kama unapafahamu ukifika hapo umeshatatuwa tatizo lako. Nenda kawaone.
 
Pia kijana nakushauri tazama namna ya kuwa unakaa "upstate New York " na ku commute daily kwenda New York. "Upstate" ni vimiji vinavyoiźunguka New York lakini kwa usafiri wa kule ni kama upo New York tu.

Zamani sana nakumbuka watu wakienda USA, Canada au Europe, kulikuwa kuna mpango unaitwa "world packers", huu unawasiliana kabla na unapokwenda, "unabeba boksi" kwa siku unazokuwa hapo, unapata kula na kulala.

Sifahamu kama bado upo.

Utafute kwa mtandao.

Njia zipo nyingi sana lakini muda naona hautakotosha kuzifanyia kazi, ungeanza kuuliza mapema tugekupa njia ambazo nnauhakika mojawapo ungeweza kujipatia hata kuishi bure kabisa ukajipatia pocket lmoney kila siku.

Hivi unapafahamu pale Dar YMCA? kama ni wa kike YWCA?

Kama unapafahamu ukifika hapo umeshatatuwa tatizo lako. Nenda kawaone.
Sawa sawa ntafanyia kazi ushauri wako huu.
Jazāk Allāhu Khayran
 
Tafuta kwenye mtandao sehemu zinaitwa "sleep station", ipo moja maarufu inatwa "Central park sleep station?. Hiyo ni cheap and best.


Pia nakushauri taufuta " Youth Hostels".

Uislam ni mwema sana, ukiwa Muislam unakwenda ofisi za Markaz Tabligh ya Tanzania wanakuunganisha na Markaz Tabligh ya New York, umefunga kazi. Salama, amani na official. Kwingine zinaitwa 'Jamaat Tabligh".
Dini imekufanya umekuwa mjinga sana pumbavu kabisa.

YMCA na YWCA zipo dunia nzima hata Tanzania ndio cheap accommodation na cheap food price, lakini hakuna Mkristo anaweza Ingiza udini kujivunia hilo, mpumbavu mkubwa wewe.
 
Kuna namna nyingi za kupata visa, watu wana book mpaka hoteli lakini wakishapata visa wanataka wa-sve vijipesa vyao. Kama huyo kijana anataka siku mbili tatu New York pengine ajitowe tongotongo za Tanzania tu aendelee na safari yake.

Vijana wengi siku hizi wanakimbilia Canada, hapo New York inakuwa ni stopover tu.

Kama kuna njia yoyote unaielewa mfahamishe, kama hauna unachokielewa, kaa kimya uwasome wengine.

Tuwe positive, tusiwe wachawi saa zote negativity tu.
Tueleze ni kwa nini watu hawakimbilii nchi za kiislamu na wanakimbilia nchi za makafir?
 
August 2023 naenda New York City kushangaa Tu kwa siku kama 3 then nirudi zangu. Niko man alone, nishaurini accomodation cheapest hata kama ni shared accomodation poa tu ilimradi usalama.

Mimi naishi popote sitaki tu semehu zenye violence maana usalama Kwanza.

Asanteni wakulungwa.


www.google.com search: cheap accommodation in NY
 
Tueleze ni kwa nini watu hawakimbilii nchi za kiislamu na wanakimbilia nchi za makafir?
Naona gujafanya homework yako vizuri.

Nchi za Waislam leo hii ndiyo nchi pekee zenye wageni wengi sana tena san wa kutoka nchi za nje kuliko raia wa nchi hizo. Ushahidi:

Screenshot_20230722_061132_Chrome.jpg


Hapo unajionea 90% ni wageni.

Wapi kwengine zàidi ya nchi za Waislam utakuta hayo?

Soma zaidi: United Arab Emirates (UAE) Population Statistics 2023 | GMI
 
Back
Top Bottom