Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu tv za mo electro ?Kama unaweza kupata mtumba TV chukua ila mpya chukua yoyote ila isiwe mchina tu, brand nzuri LG - Korea, Sony - Mjapan, Samsung - Korea, Na zingine brand za Europe au American, hisense kwa mbaliiiii namkubali..... mchina zinakufa sana vioo mikanda yake mara picha inapinduka juu chini... m ni Expert kwenye field za consumer electronics, nina experience ya ufundi na matumizi....
SAwa chief ...kama ni made in china, think twice, labda Spectre TV ni china ila grade yake ya quality anapaleka hadi USA, CANADA ,etc
Mo electro iko je upande wa HD? Me nataka kuvuta hisense tu wadau wanaisifia sana..Mm nilianzaga na tv ya MO ELECTRO INCH 32 kwa budget ndogo kabisa tena nakumbuka bro alieniuzia alinipa na wall tv stend na waya wa HDMI ...ilikua inaonesha vzuri tu..
mm nashauri mtu kama una kipato kidogo anza na tv ndogo yenye budget ndogo ...mdogo mdogo ndio mwendo
Ipo kawaida maana waya wa HDMI unasaidia..Mo electro iko je upande wa HD? Me nataka kuvuta hisense tu wadau wanaisifia sana..
Inayofuata ni Star XTcl ni hatari ...br wangu anayo kubwa since 2018 quality ile ile inaonesha vzur sana
I prefer tcl over hisense
TCL nayo ina balaa sanaInayofuata ni Star X
Nunua MICROMAX, nilinunua miaka sita iliyopita, haijawahi kuwa na kwere! Na ni Smart TV.
Tena nilinunua kwa jamaa wa humu humu yupo Zenji.
Tafuta thread ya TV ina mambo mengi utampata
Hisense akipata ya south africa amekul bingo ni moja ya Tv bora kwa sasaNunua TCL inadumu tofauti na brands nyingine uchakachuaji mkubwa
Sikuhizi Zenji uislamu wote umewatoka, maisha magumu[emoji28][emoji28]Sasa hv zenji wezi wengi bora aende mwenyewe
South Africa naipataje mkuuHisense akipata ya south africa amekul bingo ni moja ya Tv bora kwa sasa
Zipo madukan boss za south africa huwa wana aandik model number zao na mwish kabisa wanaandika ZA maan ake ni Zuid Afrika kwa ki holanz ni afrika kusini kifupisho chake hizo model ni kuwa mjanj na kusom kweny sehem model number ukiipata toa mpungaSouth Africa naipataje mkuu