Nishaurini flat Tv ya kampuni gani ni nzuri kununua kwa sasa

Nishaurini flat Tv ya kampuni gani ni nzuri kununua kwa sasa

Zipo madukan boss za south africa huwa wana aandik model number zao na mwish kabisa wanaandika ZA maan ake ni Zuid Afrika kwa ki holanz ni afrika kusini kifupisho chake hizo model ni kuwa mjanj na kusom kweny sehem model number ukiipata toa mpunga
Asante kwa elimu hii mkuu
 
Zipo madukan boss za south africa huwa wana aandik model number zao na mwish kabisa wanaandika ZA maan ake ni Zuid Afrika kwa ki holanz ni afrika kusini kifupisho chake hizo model ni kuwa mjanj na kusom kweny sehem model number ukiipata toa mpunga
Ya mchina inazngua??
 
Nimelipia 80% tv aina ya star X, ila nimeenda kumwambia niongeze pesa nichukue smart ambayo iliyopo ni Rising,
Haya maamuzi ni sahihi au nimekosea??
 
Back
Top Bottom