Nishaurini kuelekea Julai 13 siku ya harusi yangu

🤣🤣 ww ndo huelewi mahi wangu!
Sasa si utupe kadi kipenzi, tupo na wewe bega kwa bega since the day you met handsome, tall and dark.

Naomba kadi dia wangu nije kula ubwabwa nna hamu nao.
 
Ukweli ni kwamba kinachokuvutia ni sherehe tu + heka heka za siku hiyo za kuwaaminisha mashosti kuwa ndo naolewa hivyo,
mwisho: tunamwombea mwanetu ili akili zake za kawaida zirejeee kwa kusogeza mbele hii sherehe au kuishia mitini kabisa😂
🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆
 
Huo Uzi uko wapi ambao nilisema ndoa tamu?? Au ww ndo huelewi??
Nwei pole sana kwa kuongea peke ako😁
mungu akufanyie wepes uweze kunichangia chochote KUELEKEA siku ya ndoa yangu
Kama alivoniahidi Manyanza
 
Sawa
 
Tar 28 naoa mtaniona huko instagram
Najua navokua kauzu watasema nmelazmishwa kuoa
 
Ila huyu anakoelekea baada ya harusi atakuja kuomba ushauri jnc ya kulala na mwanaume wake tall mweusi.

Mm kwenye harusi yake ntakuja kitofaut sana, ntakuja nimevaa taulo na t-shirt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…