Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kila la kheri mdogo wangu, wengi humu hawajapata hiyo bahati lakini wewe umeipataI'm 25.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheri mdogo wangu, wengi humu hawajapata hiyo bahati lakini wewe umeipataI'm 25.
Sasa si utupe kadi kipenzi, tupo na wewe bega kwa bega since the day you met handsome, tall and dark.🤣🤣 ww ndo huelewi mahi wangu!
Mpe sapoti ndugu yetu huyu😂 😂 😂
Niliahidi kumchangia hata cartons za maji kumbe anazingua tu humu?
Kweli haya ni matumizi mabaya ya akili na muda
Bas kama ni hivyo, nakupa miezi mi 3 tuu, ndoa yenu itavunjika.Alinikuta nayo, yeye ndo aliyepiga Teka akavunja mlango baada ya kufuli kugoma kufunguka.
🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆Ukweli ni kwamba kinachokuvutia ni sherehe tu + heka heka za siku hiyo za kuwaaminisha mashosti kuwa ndo naolewa hivyo,
mwisho: tunamwombea mwanetu ili akili zake za kawaida zirejeee kwa kusogeza mbele hii sherehe au kuishia mitini kabisa😂
Huo Uzi uko wapi ambao nilisema ndoa tamu?? Au ww ndo huelewi??Kule kwingine ulisema ndoa tamu, unajifungia ndani unapata dudu kutoka kwa mwanaume mtamu, huku unawaza harusi......ehuuu wanajf tunavurugwa sana jamani ndo maana kuna muda tunakuaga kama tumechanganyikiwa na kuna muda tunaongea peke etu.
Mbaga Jr ushaandaa suti ya kwendea harusini au utaenda na kanzu??
SawaYaani wewe unafikiria uvae nin au utasimama vipi mbele ya watu. Hivi ni vitu vidogo saana. Kwanza mweke mchumba wako karibu sana maana anaweza asijitokezd siku ya sendoff au hata ya harusi. Hiyo kutoka vipi sio ya maana kwa kuwa wenzio wameolewa na gauni za kawaida bila sendoff, bila gauni za harusi na maisha yanaendelea. Nilikuwa nadhanj ni dume maana hii hofu inaweza kufanya kupungua nguvu za ........ . Hii ni hofu zaidi kwako. Sio harusi wala sendoff.
Ila huyu anakoelekea baada ya harusi atakuja kuomba ushauri jnc ya kulala na mwanaume wake tall mweusi.Kule kwingine ulisema ndoa tamu, unajifungia ndani unapata dudu kutoka kwa mwanaume mtamu, huku unawaza harusi......ehuuu wanajf tunavurugwa sana jamani ndo maana kuna muda tunakuaga kama tumechanganyikiwa na kuna muda tunaongea peke etu.
Mbaga Jr ushaandaa suti ya kwendea harusini au utaenda na kanzu??
Namba ya kutuma mchango my wanguHuo Uzi uko wapi ambao nilisema ndoa tamu?? Au ww ndo huelewi??
Nwei pole sana kwa kuongea peke ako😁
mungu akufanyie wepes uweze kunichangia chochote KUELEKEA siku ya ndoa yangu
Kama alivoniahidi Manyanza
Tayari imeingia au bado tupake tena?I'm 25.
Unateswa na harusi, lakini haufikirii ndoa kipenzi...😊 Unique Flower