Nishaurini kuhusu mpenzi wangu, ana tatizo la kuwa na maji mengi ukeni

yawezekana demu wako ana chemchem kwenye papuchi
 
Sijui nishike lipi niache lipi
Poleee huta ambua kitu hapa maana wengine baada ya kukushauri cha kufanya wanajinadi

Kama hakuwa hivyo mwanzo vunja ukimya mweleze kisha mwende hospitali huenda akawa na maradhi , maumbile yetu wanawake yapo sensitive sana, kama ni maradhi yanaweza sababisha ugumba.
 
Dah... Mie siamini hadi nihakikishe mwenyewe [emoji12] [emoji12]
 
Umeeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…