Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

Mwanamke anaweza akawa na mahusiano na Me mwingine endapo...
1.HAKUPENDI.
2.HAPATI HUDUMA TOSHELEVU FROM YOU(Mostly sexual intercourse).
3.ANA TAMAA (Material things or yuko demonized)
 
Mr.Alpha Nakuita mara 3 Upoo! Dalili ya Mvua ni nini?
Au unataka mvua ikunyee kama hii ya Daslade
 
Habari ndugu,
Mwanaume ndyo mchunga na kiongozi Kwa mwanamkee, haya ni maneno ya Mungu kwenye kitabu. Kama mwanamke anapata ujasiri wa kukujibu hvyo lkn pia kukumbuka mahusiano ya nyuma huyo hakufai tenaa...wachana na huyo mwanamke bado mapema Ili asije kuharibia mfumo wa Maisha yako mdogo wangu hapo baadae.huyo bila kupepesa ni Malaya.......,pole sanaaa ndugu.
 
Simple. Kimbia kabla haujapata majanga aidha kujiua, kupata matatizo ya akili, ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa, kuchacha, kuharibu kazi, kuuwa ......
KIMBIA LEO LEO DOGO ...
UTAKUFA...
 
Hili halihitaji ushauri, hili linahitaji faraja tu. Pole sana Mkuu. Karibu jumuia pendwa ya KATAA NDOA.
 
Piga chini. Usipofanya hivyo, atakuumiza kila kukicha, hasa hapo kwenye kuwa na uwezo wa kuwa na wanaume 10..!!
 
Ivi hapo Kuna haja ya kukushauri nn cha kufanya kweli??? Be serious man huyo sio mke wa kuoa huyo
 
Kujikwaa Sio kuanguka babu. As long as mpo kwenye mahusiano hamjaoana baas Kuachana na yenyewe Imoo. Kama kweli hayo ndo majibu bro hakuna Mapenzi hapo Timka zako mwanetu
 
Wanaume wengine mnatuaibisha hili nalo mpaka ushauriwe.
Muoe huyo ndio Mke mwema atakufaa maishani.
Shenz type.
 
Mkuu pole sana huyo mwanamke hakufai hata kidogo, hastahili kamwe. Mtu anaeendekeza mawasiliano na ma ex ni wazi bado wapo moyoni mwake. Tafuta mwanamke mwingine huyo piga chini.
Mkuu Half american unamshauri amuache kizembe hivyo kweli?
Hatakiwi kumuacha huyo mwanamke bhana..
Kwanza mwamba ana makosa ya kimkakati,,
Miaka mitatu na hujampa mimba? Huo ni uzembe mkubwa mkuu
Mbuzi ili umfuge uwe na uhakika wa kamba..
Elewa hapo kwenye kamba na mbuzi tu..
Mwishoni asimuache mwanamke bila mimba..
Ndoa za zamani tunazozisema sana kuwa zilidumu sio kwamba hazikuwa na usaliti hapana bali ni kwamba wazee wetu waliwekèza kwenye familia sisi tunawekeza kwenye hisia kitu ambacho kinavunja sana ndoa..
Mabibi zetu walichepuka kwenye mashamba na vichaka vya visimani na wazee wetu walikaa juu ya miti kuwawinda wake zao na kuwashushia kichapo.
But kwakuwa kuna zaidi ya wake wawili so huyu hata akiamua kukimbilia kwao
Bado atarudi tu maana ni kweli kosa kafanya na mume kajua na adhabu katoa na issue imeisha na maisha yanaendelea na hakuna aibu kwa mume maana ana wake wengi.
Ila sisi kwanza maisha yanatunyorosa na tunahimizwa kuwekeza kwenye uzao wa mwanamke mmoja kitu ambacho kinarudi kututafuna hapa..
Nimefuatilia mada nyingi hapa jamii forum za usaliti wa mwanamke nikaona ushauri wa watu wengi ni kuachana,, Hii inaonyesha jinsi sisi wanaume tunavyowekeza zaidi kwenye hisia kitu ambacho bado hakitusaidii sana sisi..
Yaani unamuacha mke aliegongwa na akina saidi na Hamza kisha unakwenda kuoa mwingine aliegongwa na James na Peter ukijifariji eti ni mpya?
How maana nae ataendelea kugongwa na wengine so ujiandae kuoa na kuacha kila mara sio?
Xi Jinping Natafuta Ajira Zemanda Intelligent businessman
 
We nae Dokta wa mchongo eti?
Wadogo zake na mamaake ni majukumu ya baba yake..
Yeye ajiandalie maisha mema na mtaji mzuri wa malezi ya watoto atakaowaleta duniani..Dokta vipi?
Mshauri azalishe watoto kwa wingi bila kikomo ili akomae kuwatunza maana hao ndio mtaji atakaouacha hapa duniani kuendeleza DNA yake.
Wadogo zake ni mali ya baba yake
Na mama yake vivyo hivyo japo kwa unusu wake..
Mimi nikizalisha wanawake simaanishi wamekuwa mali zangu bali hao watoto tu ndio mali yangu ..
Wanawake hata nisipowahudumia najua kuna mafala kibao yanawahonga ili yapewe mbususu hata kama naishi nao
So wao wanayo means of survival tofauti na wanangu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…